Nimeacha kutoa sadaka baada ya kusikia kauli hii ya mchungaji

MELEKAHE

JF-Expert Member
Nov 19, 2023
434
1,966
Maneno ya mchungaji yamenivunja sana moyo wa kutoa sadaka.

Nimeacha kutoa sadaka kanisani, maneno ya huyu mchungaji yameniumiza sana. Kwamba sadaka ni chakula cha wachungaji. Mungu hana Account ya kuwekewa pesa.

wanatuambia Toa fungu la kumi , utabarikiwa!!!!, usipotoa umemuibia Mungu. halafu baadae wanasema Mungu hana account ya kupokelea pesa

 
Kwahiyo kumbe siku zote ulijua sadaka zinaliwa na Mungu?

Toa sadata usaidie kupeleka injili kwa watu.

nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya
 
Back
Top Bottom