Mchungaji Daniel Mgogo anasema Sadaka zinatolewa hili ziliwe na wachungaji. Mungu hana account ya kupokelea Sadaka, Wachungaji ndio Meno ya Mungu

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,870
6,275
Pastor Daniel Mgogo anasema sadaka zinatolewa hili ziliwe na wachungaji, maana Mungu hana account ya kupokelea pesa za sadaka.

wachungaji ndio wawakilishi wa Mungu hivyo wana haki ya kuzila sadaka kwa niaba ya Mungu


 
Yupo sahihi nawao ni moja ya wawakilishi wa Mungu,wakiwemo Mafukara,Masikini,Mayatima,Walemavu na wajane.
Wewe kama umeamua kuchagua kumpa yeye usilalame,hayo makundi mengine yapo katika jamii umeshindwa nini kuwapelekea?
 
Yupo sahihi nawao ni moja ya wawakilishi wa Mungu,wakiwemo Mafukara,Masikini,Mayatima,Walemavu na wajane.
Wewe kama umeamua kuchagua kumpa yeye usilalame,hayo makundi mengine yapo katika jamii umeshindwa nini kuwapelekea?

wachungaji hao hao wanapinga ukisema sadaka yako ama fungu la kumi lako unapeleka kwa yatima ama wajane.

unatengwa na kanisa kwamba sio mtoaji wa sadaka, na unajaziwa madeni kanisani kupitia jumuia
 
Sisi masikini inabidi tuombewe Ili tupate sadaka zaidi za kuwapa wachungaji
 
Back
Top Bottom