Mebuttefly
Senior Member
- Feb 5, 2014
- 114
- 94
Naomba unijibu hiliJe ukoo au mizimu ,unaweza kufanya usifanikiwe chochote ufanyalo?
Naomba unijibu hiliJe ukoo au mizimu ,unaweza kufanya usifanikiwe chochote ufanyalo?
NasubiriKwanini baadhi ya familia hawafanikiwi kwa lolote wanalo fanya mfano ni familia yetu?
Tupe namba ya mkeo .Arsis kwa wale wenye tatizo la nguvu za kiume yaani anawahi kumaliza haraka anamfanya mkewe dakika chache anamwaga mambo mfano dakika 5 tu.!je,mtu kama huyu unamshauri dawa gani atumia walau adumu mda mrefu kwenye tendo la ndoa mfano iwe dakika 30. au weka tiba na dawa yoyote unayoijua kuwasaidia wenye shida hii kuwahi kumwaga nao wafurahie ndoa zao..
Sipendi kujibu kila kitu alichoongea kwa leo. Ila napenda kufahamisha gtu kiuhusu Subian aliowataja. Kwa sababu ipo gfaida kielimu.Tuelezee zaidi tafadhali.
Hizo tiba zake anazo simba, anajua sana. Na jini Bakora, mumuulize yeye kuanzia kesho.Arsis kwa wale wenye tatizo la nguvu za kiume yaani anawahi kumaliza haraka anamfanya mkewe dakika chache anamwaga mambo mfano dakika 5 tu.!je,mtu kama huyu unamshauri dawa gani atumia walau adumu mda mrefu kwenye tendo la ndoa mfano iwe dakika 30. au weka tiba na dawa yoyote unayoijua kuwasaidia wenye shida hii kuwahi kumwaga nao wafurahie ndoa zao..
swali langu hapo kwenye kusafisha nyota je,kweli zinachafuliwa au kuchukuliwa ili kusudi wakupishanishe na njia ya mafanikio uliyowekewa na muumba na namna gani ukinge nyota yako na fitna chafu.? pia kusemwa nyota ndio imebeba kila kitu anachostahili kupata mwanadamu au awe nani kwenye maisha yake hapa duniani je,wewe unasemaje kuhusu hili.?Chumvi ni chumvi haiana ya mawe wala ya mchanga.
Ina kazi kubwa katika tiba. Kusafisha nyota ni jina na njia ya kutafutia pesa tu. Binadam ni wabunifu sana na wanajua sana kucheza na maneno.
Anyway sijui sana ila mbona sauti yake.... Haina athari 🤔🤔Nimejikuta nakucheka wajifanya wajua kumbe hujui.
Na humjui pia,na nisingependa kumuongelea hata yeye tu kujiongelea kujimwambafai kamwe huwezi kuta anaongelea, halafu mbona hata yeye amesema jinn huwa hasemi ukweli asli yake jina Ila kuna hesabu unapata umeishi nao miaka 20 mwenzio kazaliwa kalelewa nao nini yeye kuongea nao mie tu wanijia ndani kwangu naona nao japo wanakuja kwa umbo lake haswa mida ya mchana unakuta kama nalewa usingizi anyways niishie hapa sipo hapa kuongelea habari za mtu nipo kujifunza.weka elimu yako wewe tujifunze kuhusu majinn
Maswali mazuri sana hayo.Arsis je kuna uhusiano kati ya mwezi kuandama na watoto wadogo kusumbua ? Na swali lingine ni Khudam ni viumbe gani?
Uliza tena hapa.Niliku pm na I'd yangu ndefu sana,niliomba msaada kwa Arsis !vipi majibu umepata!!?
Defu
tabia mbaya tu, oa mapema, olewa mapema. Ukiona hali inakuzidi funga. Ikizidi sana Itatoka yenyewe.Arsis embu tupe elimu na maarifa kuhusu madhara ya PUNYETO NA KUJICHUA Kiroho na kinafsi na yote yaliyo nyuma ya kitendo hichi cha punyeto na mfanyaji wake yaani yote yaliyo nyuma ya pazia kuihusu tufungue akili.
Hii la Nabii Suleiman ni somo zuri sna na lina mafundiaho makubwa sana na refu sana.Sijui nimuulize nini Ila natamani kujua kisa cha Malkia Bilqis na Nabii Suleyman alosema nitakuvutia kiti kabla hujafika hapo kama sijakosea kingine.
Kuhusu Haaruta na Maarut
Kuhusu Allien
Kuhusu Majinn wanao fanya watu wawe gay or lesbians or bisexual najua anaelewa.
Na kingine kwanini majini wanapenda mfanyisha mtu mapenzi kwa hisia au kumfanya apige Bakary Nondo Mwamnyeto.
Kwanini majini wanaingilia mke wa mtu mpaka anazaa mtoto nusu jinn nusu binadamu wasizae na majinn wenzao.
Uchawi wa wapi ndo mkali wa wazungu au wa Misr au wa Kindengereko Kimakonde
Kuhusu Lucifer Freemason
Kuhusu Masih Dajjal
Asante basi ngoja nichague ili la watoto ndio unifafanulie zaidi, umesema mtoto anaweza kuona malaika, majini wachawi mpaka afikishe umri gani anakuwa hawezi kuona tena?Maswali mazuri sana hayo.
Kuhusu mtoto ndio, ipo namna mbili matatizo. Namna moja ni kisayansi, wanasema "atmospheric pressure" inabadilika kutokana na mwezi kua wapi. Hii sio watoto tu, hata watu wazima wengine inawaletea tabu. Hata mawingu yanaweza kuleta tabu pressure ikibadilika, hata jua kali au baridi kali. Kawaida sana. Hii inaweza kufanya mtoto kwa kua presha inabadilika akawa anavuta pumzi nyingi na kujaza hewa tumboni halafu haitoki inamuuma, Ikitoka hewa (gas) anakua tayari kapona.
Sababu ya pili. Mwezi ni kipimo cha (mnaita kalenda) kujua idadi ya siku. Kwa hio anaweza kua kwenyue hio nyu,ba kiuna majini wabaya wanatembelea kila mwezi, mtoto anaona vitu vingi watu wazima hawaoni. Mtoto anaona malaika, majini, maruhani, mashhetani, wachawi. Mchawi akiingia mtoto akimuona akianza kulia yule mchawi anamfinya kwa hasira. Soma kuhusu (Lunatics).
Khudam ni viumbe kama viumbe wengine maana ya khudam ni qtumishi, ianweza kua jinni, inaweza rouhan, inaweza kua binaddam.Kila mtu ameandika mambo mengi kuhusu khudam, akiwa mmoja anitwa khadim, wengi ndio khudam.
Hii tunaweza kugtpoa elimu ndafu baadae.
Siku nyingine uliza swali moja, kwa sababu utapata faida nyingi kuliko kuuliza swali zaidi ya moja kwa wakati mmoja.
Balekh.Asante basi ngoja nichague ili la watoto ndio unifafanulie zaidi, umesema mtoto anaweza kuona malaika, majini wachawi mpaka afikishe umri gani anakuwa hawezi kuona tena?