Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hili suala la kuita majini ni refu kidogo kulielezeam hususan kwa mtu ambae hana uzoefu, nitalifupisha sana natumai nitaeleweka.

Kuna kumwita jini ambae unajua ni jini fulani ninae muita lakini hujawahi kumwita kabla...

Hiuli unatafuta chuma kitulivu na uwe peke yako na unamuoita tu kwa kutumia jina lake kwa kua unajua ni fulani, Unamuita siku ya kwanza mpaka soiku saba, kila siku kwa muda uleule na chumba kilekile. Utapata majibu ndani ya siku hizo saba. Majibu hyanaweza kuja kwa njia nne tofauti...

1) Aidha anaweza kukutokea yeye mwenyewe, kama ni jini la kishetani litakuja kwa vitisho, lakini usiogope, ni mapicha picha tu hayo. Utaongea nae sababu zilizokufanya umwite. Akiwa jini mwema atakuja kiupole na atakuja kama mtu yoyote mwenye heshima zake.

2) Inaweza kuja sauti tu ikawa inaongea na wewe. Utaongea nae kwanini umemuita. Hii inaweza kutokea kwa mbaya au mwema, tofauti yake itakua sauti ya vitisho na sauti ya amani.

3) Hii ndio hutoke sana mwanzoni, utaita usipate ishara au jibu lolote lakini atakuja kwenye ndoto, mara nyingi jini mwema atakuja kwa upole, na kukujulisha ulikua unamuita, atakujulisha nanamna zake za kuwasiliana nae. Akiwa muovu atakuja kwa ndoto z kukutisha lakini atakuuliza umemuigtia nini. Na ataanza kukupa masharti ya kumuita.

4) Utaona ishara tu kua kaja, au kwa kuona kama upepo, au vitu kutikisika kwenye chumba, au kama muovu anaweza hata kurusha rusha vitu.

Njia zote hizo ni kwa Jini ambae unamjua au yeye au kaboila lake.

Kwa jini usiemjua kabisa, unamuoita kama hivyo lakini unaweza kusema kwa kitendo kipi alichokiona na unamuitia nini.

Hili ni somo refu kama nilivyosema awali, nakaribisha maswali ya ziada.
Simba.
Mathalani Unamwita Jini mwema. Hiko chumba kiwe tupu au Na kwenye hiko chumba nin kinatakiwa kuwepo au kinyume chake? Na Unamwita jina lake kwa kiswahili na marangapi(idadi) Na ikitokea Amekuja kwanjia ya Hard copy Mkawa mmemaliza Maongezi Yenu Kuna njia ya kumruhusu Aende au Mnaagana Kàwaida Tu?
 
Mathalani Unamwita Jini mwema. Hiko chumba kiwe tupu au Na kwenye hiko chumba nin kinatakiwa kuwepo au kinyume chake? Na Unamwita jina lake kwa kiswahili na marangapi(idadi) Na ikitokea Amekuja kwanjia ya Hard copy Mkawa mmemaliza Maongezi Yenu Kuna njia ya kumruhusu Aende au Mnaagana Kàwaida Tu?
Sijakuelewa "kinyume chake" ndio nini? Inachotakiwa ni chumba au sehemu ya utulivu isiyo na pita pita au muingiliano na watu. Lugha yoyote uijuayo haina neno. Unamwita mara mbili tatu unasubiri matokeo kama dakaika tatu, unamwita tena, hakuna idadi maalum ya kumwita. Sifahamu kwa njia ya "hardcopy" unamaanisha nini? Mnaagana tu kawaida. Chukulia kama mtu uliemwita mkaongea nae mkamaliza.
Simba.
 
Hili suala la kuita majini ni refu kidogo kulielezeam hususan kwa mtu ambae hana uzoefu, nitalifupisha sana natumai nitaeleweka.

Kuna kumwita jini ambae unajua ni jini fulani ninae muita lakini hujawahi kumwita kabla...

Hiuli unatafuta chuma kitulivu na uwe peke yako na unamuoita tu kwa kutumia jina lake kwa kua unajua ni fulani, Unamuita siku ya kwanza mpaka soiku saba, kila siku kwa muda uleule na chumba kilekile. Utapata majibu ndani ya siku hizo saba. Majibu hyanaweza kuja kwa njia nne tofauti...

1) Aidha anaweza kukutokea yeye mwenyewe, kama ni jini la kishetani litakuja kwa vitisho, lakini usiogope, ni mapicha picha tu hayo. Utaongea nae sababu zilizokufanya umwite. Akiwa jini mwema atakuja kiupole na atakuja kama mtu yoyote mwenye heshima zake.

2) Inaweza kuja sauti tu ikawa inaongea na wewe. Utaongea nae kwanini umemuita. Hii inaweza kutokea kwa mbaya au mwema, tofauti yake itakua sauti ya vitisho na sauti ya amani.

3) Hii ndio hutoke sana mwanzoni, utaita usipate ishara au jibu lolote lakini atakuja kwenye ndoto, mara nyingi jini mwema atakuja kwa upole, na kukujulisha ulikua unamuita, atakujulisha nanamna zake za kuwasiliana nae. Akiwa muovu atakuja kwa ndoto z kukutisha lakini atakuuliza umemuigtia nini. Na ataanza kukupa masharti ya kumuita.

4) Utaona ishara tu kua kaja, au kwa kuona kama upepo, au vitu kutikisika kwenye chumba, au kama muovu anaweza hata kurusha rusha vitu.

Njia zote hizo ni kwa Jini ambae unamjua au yeye au kaboila lake.

Kwa jini usiemjua kabisa, unamuoita kama hivyo lakini unaweza kusema kwa kitendo kipi alichokiona na unamuitia nini.

Hili ni somo refu kama nilivyosema awali, nakaribisha maswali ya ziada.
Simba.

Lidafo,

Kama nilivyoahidi hapo juu kua hili somo ni refu, nitaendelea kulileta. Nimeona kuna maelezo mengi yameletwa kutokana nalo na maswali mengi yameibuka, naendela hapa chini na kipande kingine cha hilo somo;

Hio juu ni njia moja ya kuita majini. Njia nyingine ni kutumia mtu wa kati au kitu cha kati, Kingereza wanaita "mediumship" au "channeling", Kiswahili sifahamu tuite mpatanishi au msuluhishi au mtu wakati au wasta? Kiarabu huyu anakua ni "wastat ruhaniya" Kazi yake kubwa ni wasta" baina ya jini / majini na watu au "channeling". Pia inaweza kua ni kitu, sio lazima iwe mtu

Kutumia mtu/kitu wa kati kuna aina tofauti, nitazieleza hapa;

1; Huyu anatakiwa awe tayari kishawahi kua na jini au anapoitwa jini humvaa yeye au huonesha dalili za kua na jini. Dalili kuu, ni kua hua anabadilika alivyo kawaida yake anapoitwa jini. iwewe kaitwa kwake au si kwake.

Akipatikana mtu namna hio inakua wepesi kumuigta jini, kwani ana njia tayari za kuingilia majini.

Tatizo la wasta huyu, linaweza kua akaingia jini ypoyote si lazima awe yule anaeitwa. Au wakaja majini kibao akitika mmoja anaingia mwendine.

2) Ni mwenyewe anaeita majini anakua ni channel, anaweza kupandisha jini/majini na wengine wanaoitwa aidha huyu jini wake akawa mtu kati au akwapisha wakaingia na kuongea wao wenyewe.

3) Kunapia vitu kama karata, bao, mawe au wazungu wanaita "ouija boiard" pia linajulikana kama bao linaloongea, ingawa haliongei kwa sati lakini wanaliita hivyo. Ouija ni maneno mawili, oui ni ndio kwa Kifaransa na ja ni ndio kwa Kijerumani.

Mabao hayomtika yatengenezwe yamepata umaarufu mkubwa kwa zababu ukiyaweka mbele yako yna majibu kwenye hilo na mshale unaotembezwa na jini utakamuita akausogeza. Mara nyingi huwa majibu ni maiwili tu, Ndio na Hapa.

Kuongea kwake ni hizo ndio na hapa, utapomuita jini, anweza kuja akasogeza mShale kweye yes, unajua kaja jini, sasa hapo kila utachomuuliza atajibu Ndio au hapana. Ingawa siku hizi wanyatengeneza aina nyingi na majibu zaidi ya hayo mawili lakini kazi ni hio hio ya kua ni channle ya jini.

Pia hayo mabidi ukishakua na jini fulani ndio liwe lake, basi mkikubaliana anazuia au analiwekea nembo zake za siri akija jini mwwingine halitumii mpaja alitumie yeye tu.

4) Njia nyingine ya kua medium ni mfanO wangu, mimi nawaita majini lakini wale niliokabidhiwa tu, hawapandi kichwani mwangu, awanaweza kuja munashara (live) au kuna amabe haji live lakini anaweza kuongea na mimi hta bila kutoa sauti (telepathically) na pia nikienda sehemu zake alicoxhagua yeye, naweza kuongea nae kwa kusikia sauti kama naongea na mtu lakini yeye simuoni.

Natumai kwa leo yanatosha hayo. Ingawa zipo aina nyingine kadhaa.

Nakaribisha maswali.
Simba.
 
Kutoka PM Arsis

Nimesoma thread yako inaonekana unafaham dawa za mitishamba nzuri.

Mimi nina wake zangu watatu na karibuni natarajia kuongeza wa nne, nataka ku-level up performance kuwapa stahiki zao ipasavyo. Unaujua mtishamba mzuri wa asili kwa ajili hii? Wa kuniongezea performance level ya kuweza kuzunguka nao wote kwa siku moja inapobidi bila kuchoka?
Hongera sana.

Naifahamu aya hii ya Qur'an;

Q 4:3. Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana. 3

Hio aya ndio, hususan kipande nilichokikooza weusi, wanaume wengi wa Kiislam tunapenda kuitumia tunapotaka kuongeza mke, ingawa huo ni mwongozo mrefu, kuupata vizuri inatakiwa tuanze kusoma aya ya 1 na tuendelee kidogo zaidi ya aya hio. Tutapata mwongozo wa kwanini tuoe zaidi.

Tumehalalishiwa wake nne kwa masharti tufanye uadilfu, kwa mujibu wa aya hizo. Tukishindwa kufanya uadilifu basi aya ipo wazi kabisa "mnmoja tu".

Sasa ndugu yangu una watatu, unaona "performace" imepungua, unataka kuiboost ili uongeze wa nne. Mwongozo huo umeutoa wapi?

Kama ni kwenye fikra zako tu, na umekiri unataka kuongeza "performance level" ina maana huridhiki na "performance level yako ya sasa. kwa maana hio inaweza kupelekea ukakosa uadilifu wa kuwaridhisha wale zako. Kama ni hivyo unatakiwa uusome muongozo huo vizuri na uridhike nao na usifate tamaa zako biafsi. Uzuri wa Uislam una mwongozo mwema kabisa kwa kila kitu.

Nakushauri kula vyakula vizuri vya asili na fanya mazoezi, kama utakua na huk unahudumia wake wararu kwa sasa.

Napenda ufahamu wadigo wengi ni mabingwa wa dawa za miti shamba kwa matatizo ya njia za uzazi. Hususan sisi ukoo wa simba, mila na desturi na jadi za koo za Simba ni kujamiina. Tunazifahamu sana dawa za kike na kiume za njia za uzazi.

Utanisamehe sana, kwa suala lako sina cha kukusaidia isipokua ushauri niliokupa hapo juu.
Simba.
 
Hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa, inategemea wapi pa kupata hiyo dawa.
Aisee... Inategemea ni wapi pa kupata hiyo dawa
Hilo ni kweli mia kwa mia. Ni muhimu sana ukawa na imani isio shaka kwa dawa unayopewa /unapopewa.

Nimewahi kusikia watu wanasema, kama huna imani na dawa inakua haifanyi kazi.
Simba.
 
Na mimi ilikuwa hiv hivi nikaacha hapo hapo
Pale bana kwa mujibu wa mtaalamu mmoja mnakuwa mnapata Hallucination tu, badala ya kuhangaika na njia ndefu hivyo, vuta tu skunk ya kutosha ukiwa katika mudi nzuri, lala chali anza kufanya hizo steps zote ndani dakika 5 utafika huko kote
 
Arsis ni mtu kama sisi lakini mwenyewe anasema anaishi kwenye 'realm" nyingine, akitaka anaweza kuonekana, Ananambia nimeshamuona sana lakini sijui kam ni yeye. Ananichanganya mimi anaposisitiza wewe chukulia mimi naweza kua chochote kasoro Mwyezi Mungu tu.

Nadhani hapo anaongea kiufundi kua ana teknolojia ya kuonekana kwa picha yoyote na sehemu yoyote ile aitakayo. Mwenyewe anaiita mchanganyiko wa VR (virtual Reality na Hologram.

Hizo teknolojia inabidi kila mmoja wetu azitafute mwenyewe ndio zipi.
Simba.
Manager wa hotel ya kifahari huyo ndiyo maana hana makuu.
 
Daah shukran sana ndo namaliza kusoma hapa ulipoishia alfajir hii, napata funzo kubwa sana kuhusu ulimwengu usioonekana. Naamini kabisa hasa kulingana na uzoefu wa nloyapitia mpaka Sasa. Nakusubir
mambo yamefika mbali sana.
Simba.
 
Paragraph ya kwanza, ya pili na ya tatu kuhusu maana ya neno "Imani" ninakubaliana na wewe kwa 90%. Hizo 10 tuzikaushie 🤣. Umezungumza vizuri hakika.

Then hizo paragraph mbili zilizobaki, niseme kwamba sikubaliani na wewe. Hujalielezea dini kama ulivyofanya kwenye maana ya Imani hapo juu. Ni kama umeeleza maana ya dini ya kikristo kwa namna unavyoielewa wewe.

Sasa nikutake urudi kuniambia maana ya neno Dini kama dini... Kwamba Neno "DINI" lina maana gani, kwani kuna dini za aina nyingi ila kabla ya kuingia kwenye aina zake. Tulitafsiri neno lenyewe Dini. Nasema hivyo kwasababu, ukiitumia maana uliyoisema Je dini ya kipagani nayo ni njia ya kuturudisha Eden? So ingependeza kama ukishare maana unayo ijua kuhusu neno Dini kama Dini bila kuingia kwe aina za dini hizo.

Lastly ni kwenye paragraph ya mwisho, kuna kitu kinanipa ukakasi kwenye maelezo yako. Kwamba watu wenye Imani wanazungumza lugha moja ila watu wa dini ndio inakua ngum. Hili silikubali kwasababu mifano hai hata wewe pia unayo na hapa ipo.

Imani zipo tofauti, wewe unaamini katika hili mwingine anaamini katika lile labda itokee katika yale mnayo yaamini kuna kinachofanana hapo ndio mnajikuta mnazungumza lugha moja.

Tunapozungumzia mfumo wa maisha ni unaweza kusema ni kama tamaduni, hapa nieleweke vizuri... Nimesema ni "kama tamaduni". Unakuta kila jamii ina ya kwake, hivo na Dini kila kundi linakua na yao. Ambayo inakua na sheria na taratibu za kufata katika kila aspect ya Maisha.

Ndio ile unasikia "Waislam wakitaka kula hufanya hivi na vile" au "Wakristo katika mavazi yao huvaa hivi na vile" au wapagani katika jambo hili hufanya hivi na vile. Ukirejea hapa ndio nikatoa mfano kule juu niliposema kuna mtu anaweza kua na Iman X ila akaishi kwa kufata dini/mfumo V. Mfano labda mie na Iman ya Kiislam ili siishi kwa kufata mfumo wa maisha ya kiislam. Naamini katika Mwenyezi Mungu Mmoja na kua Muhammad n mtume wake but sisali, nakunywa zangu urabu, kwa kifupi sifati taratibu wala sheria yoyote ya Dini hii (Mfumo huu) wa maisha.

Hope umenelewa ndugu yangu 😊
kwasababu dini ni imani(belief) kwa tafsiri ya general tutasema ni mahusiano ya kuabudu kati ya mtu na kile anachokiamini kuwa kina nguvu na mamlaka kwake hapo ndo zinapatikana dini nyingi za miungu. Ninaposema dini ni njia yenye lengo la kumrejeshea mtu utukufu alioupoteza(kurejesha uhusiano na Muumba wake) namaanisha zile dini zenye mlengo wa imani ya Ibrahimu.

Kuwa na dini fulani haikupi haki ya kuwa na ufalme wa Mungu ndani mwako, ila imani. Watu wenye imani wanaongea lugha moja namaanisha sio kwamba wanakubaliana kwa kila kitu bali wanaelewana(kukubaliana kutokubaliana).
Imani inapimwa kwa matendo, watu wenye imani sawa namaanisha wenye (haki, amani na furaha) sio wale wenye kujiita wana imani lakini matendo yao (action zao, sio performance) zinapingana na wanachosema.
Imani bila matendo imekufa,matendo ya mtu (yaliyobeba nia yake) ndo yatamhesabia haki na sio dini yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom