Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Arsis nimeguswa na swala au changamoto ya madam Farijala wa Farijala kuhusu mumewe,hakika huyo mwanaume mwenzetu anaumia sana lkn na dada yetu anaumia pia,kwasababu si nature ya mwanamke kulea familia,yaan analea lkn ni mzigo mzito kwake sana
Sasa kuna ushauri ulimpa wa ibada na kuacha maasi kitu ambacho ni sahihi kabisa,lkn inajulikana Mwenyezi Mungu ndio suluhisho la kila kitu sisi wengine ni sababu tu,kwahiyo kama kuna sababu ya kumpa kama ni dawa au namna nyingine yoyote basi msaidie ila mponyaji ni Allah

Kwangu mimi nashauri huyo mumeo wakati wa kuoga aweke chumvi ya mawe katika maji yake na iwe sehemu ya zoezi lake la kila siku,hiyo ni dawa ya asili ya kuondoa uchafu mwilini ya kichawi na kishirikina

Ila asiweke imani juu ya hiyo chumvi kwamba itamsaidia ila anapoweka chumvi katika maji anue mfano wa hivi EWE MWENYEZI MUNGU HAKIKA WEWE NDIO ULIYO UMBA HII CHUMVI NA KUIPA NGUVU YA KUONDOA UCHAFU NA.MIKOSI NA MABALAA,NAOMBA KUPITIA HII CHUMVI IWE NI SABABU KUNITAKASA NA MABALAA YOTE YA KICHAWI,NUKSI NA UBAYA WOWOTE ULIO KATIKA MWILI WANGU

Kwa nia hii utakuwa umemtegemea Mwenyezi Mungu na si chumvi kama chumvi

Nakumbuka kipindi fulani pamoja na kufanya ibada nilitumia chumvi kuogea mara kadhaa,kuna matokeo yalionekana ikiwemo kuota usiku kitu kama majini yametoka nyuma ya mgongo wangu na.kusema huku yanapaa kutoka ndani kwenda nje ya nyumba "wewe si unajifanya mjanja sawa " baada ya kuamka niliwaza sana juu ya ile ndoto

Kwa kifupi habar za chumvi kuwa sehemu moja wapo ya tiba ya asili inakubalika sana na si uchawi,ila nasisitiza usiegemeze kuwa chumvi ndio suluhisho la shida zako ila Mungu kwanza na chumvi ni kama sababu tu

Kama vile tunavyokunywa dawa za hospitalini,anayetuponya ni Allah na dawa ni sababu tu

Mwaga elimu.
Simba.
 
Chief hakika andiko lako au maandiko yana maarifa mengi tatizo lugha kiswahili unayotumia ndio shida,yaan ni kiswahili lkn kigumu sana

Mimi huwa ni mbishi wa kutaka kuelewa lkn huwa inaniwia ugumu kuelewa ujumbe wako

Ebu naomba uandike kwa lugha nyepesi,kwasababu inafika kipindi mtu unapoteza hamu ya kusoma kwa lugha iliyotumika
Hakuna namna...

Usikate tamaa, huo uandishi unaongozwa na namna fulani ya ufikirifu--jambo linaloitwa Uono na Ufikirifu Mifumo...

Aina na maneno yanayochaguliwa kufaa 'uono na ufikirifu mifumo' ni maneno sahihi na yenye uwakilishi wa hali ya juu kwa ushahibiano wa mambo...

Hili ndilo linalotaka mtu kuwa na upana wa misamiati na pia uelewa wa lugha...

Tafadhali usikichoke hiki Kiswahili--jamii yetu ina matumizi duni sana ya lugha na ufasaha; sisi sote tunahitaji kulishinda hili janga.

Nione mimi kama ndugu yako niliyokomaa na hili na niko mbali kiasi chake kwenye hili -- lakini hata wewe unaweza kukata shauri ukajikaza na utafika kwenye ujuzi wa lugha...

Hauwezi kuwa mjuzi wa lugha za ufundi na ujuzi wa mawasiliano kwa kuiruhusu na kuiendekeza 'roho ya kuchoshwa na jambo'...

Umahiri wa jambo huhitaji kuyashinda mazoea--mazoea yanayozuia mtu kujijengea uzoefu tofauti na uliobora.

Ninaandika hivi kwa lugha ya Kiingereza kungine, na huko kuna ambao husoma hivi na kujua cha kheri ya hivi--kwa nini kwa jamii ya Waswahili wenzangu ninakutana daima na malalamiko na namna hii ama hivi?

Ninaijua sababu...

Kila mtu anauchukua/atauchukua mzigo wake mwenyewe katika dhamira na kutaka/kupenda kujua ilivyobora...

Kwa upendo ninakusihi, 'jikaze twende zetu'...

Intellect Kiswahili.jpg
 
Ungeweka link tukufate jwenye uzi wako badala ya kuharibu uzi kwa copy and paste.
?

Simba, ukiona siutendei haki huu uzi niambie... Nitasogea.

Nimekupa heshima kwa kuwa kuna ninayoyajua ya 'upande wa pili' kuhusu mwenendo wa huu uzi...

SASA, siwezi kufurahisha kila mtu kwenye huu uzi, na wala hii si nia yangu.

FaizaFoxy, si 'haja yangu' unifuate huku ama kule; ukiona 'copy and paste' inaharibu uzi na mapitio yako tumia 'ignore button' kwenye content/navigation features/tools za hii forum.

Vinginevyo, ninadhamiria kuwa 'mtu rafiki' kwenye mashauri ya humu...

Hmmm
 
...

Meneja; karibuni karibuni, leo baraka kubwa sana kwangu, kutembelewa na wahashemiwa na madaktari.
+Kusema vile nikatama vizuri nikaona na Dokta yupo nao, nisingemjua kabisa, kavaa jeans na T sirt panapa na viatu flani vya mikanda vipo flat kabisa mikanda myembembea sna akama hajavaa kiatu. katikezea huyo mpaka sahulu ikanishika.

H1; Na wewe Simba ndio nini kutifanyia hivyo, kumbe upo huku umejificha?
H2; Eeeh bwana wewe, jana tukakusubiri sana.
MNimi; Nilipata ujumbe wenu lakini jamani mimi sio mtu wa usiku, mimi kama kuku, ikigika saa tatu uasiku nipo hoi bin taabani, nilitamani kweli niwepo lakini suingizi haukuniruhusu.
H1; Tulitaka tukufate hukohuko chumbani kwako, bahar(ti yake Meneja akatuzuwia, akasema yeye yupo na sisi jana, ndio salama yako.
Dokta; Eeh Simba huyu huyu wa Dar yupo hapa? Au sio yeye huyu? Wallahi jana nilihisi nimeona mtu kama wewe lakini nikaona nimekuwaza tu, moyo haudanganyi, kumbe upo kweli Unguja.
Mimi: Kama ni dico basi itakua nilikuwepo kweli kwa ndoto, maana nilikua na hamu napo kweli, lakini nimelala fofofo, leo nimechelewa kuamka.
Dokta: Wala sijakuona hoteli, nimekuona mjini huko sehemu nyeti kweli kweli, lakini moyo tu ulikua unasema.

Mimi: Basi heri kubwa kama unaniona mpaka kwenye moyo wako. Habri za siku mbili tatu?
Dokta" Poa kabisa, nawasikia hawa mabibi wakitaja Simba, simba, simba yuko wapi, haikunijia kabisa kama ni wewe.
H1; Kumbe mnajuana.
Dokta; Kiasi tu, hivi hata gari langu lipo gereji yao. Tena alinambia yule dereva wenu, gari imetenhgezwa na babako iko poa kabisa, mwenyewe anavyomsifu babako, kaanza kumsifu nusu saa nzima ndio akanambia tatizo sio lile waliofikiria wao, babako kalitambua, ananambia sasa gari ipo bomba kuliko mpya. Mie nikajisemea moyoni kigongo cha kichwa hicho kinanisubiri. Bora nilivyokuona hapa Simba, msiniumize jamani.

Mimi; gari kama ipo gereji yetu usiytie shaka kabisa, tena ikiw mkononi kwa mzee ndio kabisa, Hatuchezi na mizani kabisa.

H1; Duni ya sas kwa oesa? tena gereji za magari, mimi ndio sitaki hata kusikia hawa mafundi.
Mimi; Leta gari zako kwetu, utafurahi na roho yako.
H1; labda uoe kwetu uwe mkwe wangu.
H2; Awe mkweo wakati jana usiku kucha unamtamani ulitaka kumfata ukambake chumbani kwake.
H1; Umekumbusha , kwa nza Meneja huyu mwanahizaya yuko wapi> Hapokei simu yake kabisa, bado anayo au kishaitupa? Jana meneja umejiopolea toto, la Kiunguja lipo chakari umelila kama samaki.
Maneja: Yupo ndani, pita tu alikua bafu nadhani kishatoka, akijua wewe upo hapa lazima aje. Ingia tu usijali, chumba cha mwisho kushoto, utamkuta.
H1 twendeni tukamchukue jamani.


Meneja; karibuni karibuni wageni, mpate kupajua na kwangu siku nyingine mkija masiwe wageni.
Akanyanyuka, njooni derinks zipo hukuhuku, njooni jamani, sikubali muishie nje. Wakanyanyka wakamfata, mimi nikabaki nje, nikaona bora ninyooshe miguu beach kidogo wakati wapo ndani, nikashuka chini kuelekea beach nikamwita Jini 1, maa na ndio sasa kawa partner wangu mkubwa wa umbea na kubadilishana mawazo.

Nikasikia naitwa, Simba, simba, kuteza ma namuona Jini 1 yupo beach kwa kulia yangu, nikampungia mkpno aje. akawa anakuja, na mimi nikatiugfa kibanda cha wazi kitupu nikaenda kukaa akaja.
Jini 1: Ungeniita hata bila kutoa sauti, kishike kito cha pete yako uniite naweza kuja hata kama kuna watu mia, na wote wasinione, nikaongea na wewe kwa kichwani tu, bila yeyote kujua kama tunaongea. Hio lakini kama unadharur tu, vizuri ni hivi ugfanyavyo siku zote.

Jini 1; Umeiona mitoto ya Kiunguja?
Mimi; Nimeiona; Inatisha.
Jini 1 wote wale vibuki, asie na mume ni yule yupo ndani tu, mzuri kuliko wote hawa, yule alinza kulewa toka kwa kibuki huko.
Mimi; na dokta ana mume?
Jini 1; Si ana mume wake wa kijini? Umesahau?
Mimi; Usinichanganye.
Jini 1; nikuchanganye nini sasa?
Mimi; Si mlisema anaweza kuolewa sasa?
Jini1; Ndio makubaliano yalivyuo, akipata mchumba aolewe na yeye hata msogelea tena. Lakini si bado jamani, sasa hata akaiwa na mchumba hawezi kumltea tabu tena, Chaza na Arsis wewe?
Mimi; Anayafanya Arsis hayo?
Jini 2; Unafikiri vibuki ynawahu su hayo, na yule mwarabu na yeye anagewekwa sawa na vibuki awaletee mali. Unafikkiri wamatibuliwa kidogo mipango yao? Wewe waone hawa wageni waliokuja, hawajui lolote wao kinacheondelea, roho yao ipo kwenye pesa na starehe tu. Na huyo mwengoine mwaka wa pili huu yupo nao, mke mdogo wa waziri huyo, waziri haoni hasikii hapo. Tena simtaji mpkam wakwambie wenyewe. Huyo kishajenga jumba la kifahari Unguja, sasa ana mipango ya kujenga hoteli ya kitalii, ndio maana namfayta fata sena Meneja amuelekeze, huyo ndio aliwajulisha hao mashkuna wa Dar kwa Meneja. Huyo yupo hapa hapa Unguja.

Mimi; Aah ndio maana Meneja alaisema leo ugeni mziti wa Waheshimiwa na Madota?
Jini; Itakua alimaanisha huyo pashkuna mwengine.
Mimi; Pashkuna tena?
Jini 1; Vibuki huwaelewi wewe, huyo mwanamme gani waziri au mwenye hela asietaka kumla? Hat kama wewe unahela unamla kama kusukuma mlevi.
Mimi; Hela mwanaharamu.
Jini 1; Hela zake huziwezi huyo wewe. Vibuki hao wana masharti makubwa kabla hajakulia chupi, Labda uwakute wamelewa kama jana na hawana wanaume ndio watake wao tena, kwa kudchagua, sio kila mtu.
Mimi; Dah, nilikuita nataka kujua huyu Dokta jana a;iniona? maana pale anaesem kama alinipma sehemu nyeti, na pale chumbani kwa Bi S niliona kama kanitazama sana halafu akgeuza macho.

Jini 1: Alikuona kweli huyo kabda ulijisahau kito kikawa wazzi kidogo, lakini itakua kwa sekunde moja au mboili kama kivuli chako tu kakiona, usiwe na shaka.
Mimi; kanistua, maana jana nilihisi kama kaniona.
Jini 1; Kama hilo usitie wasi wasi wengine hao wamejaaliwa macho mazuri hawajijui tu, Halina neno hilo. Linatokea.

Mimi; haya ngija nirudi wasinitafute.
JINI 1; wenzako washaanza wine na bangi washatoka nje wote, wamekuona upo huku, mimi hawaoni lakini.

Mimi; haya kwaheri wacha nennde nikasikilize mipasho ya H1.

Akaondoka na mimi nikarudi varanda pale.

H 1: Mpeni simba wine na yeye leo anywe.
Mimi; Hapana ahsanteni.
H 1' mpeni ganaja huyo asikae atanusanifyu hapa.
Mimi. Meneja yuko wapi?
H2; kaenda ndani kuwaambie alete chakula, anakuja sasa hivi.

H21; Enhee bwana wewe nambie gereji yenu iko wapi nilete gari zangu.
Mimi; Tupo tabata, lakini gari tunaifata sisi [popo ilipo, mteja mfalme.
H1: Nyie bei zenu si mtatuliza machoizi, ikiwa huduma za kuchukua gari na kuzirudisha juu yenu.
Mimi; Usiwe na wasiwasi kabisa, bei zetu za kihalali kabisa mwenyewe utashangaa, tena mzee hachukui magari kama hakuna nafasi gereji.
H1; hapo nimeelewa kama hakuna nafasi atayaweka wapi?
Mimi; sikumanisha hivo, nimemaanisha nafasi ya kuyafanyia marekebisho, nagasi ya kuweka magari, hapajai pale, ni eneo kubwa sana.
H1: Nimeelewa. jamani huyo ndio Simba, mtu wa Ilala Dar huyu, hawa wenyeji wetu wa Unguja, huyu Bi T na huyu Bi Sh. Dokta mnajuana tayari. Bi T yupo Bank... Bi Sh ana biashara zake mwenyewe na hivi karibuni anaanza kuje nga beach hotel. Eti Bi Sh itakua kubwa namna hii?
Sh; hapana hii inataka matrillioni, niyatie wapi mimi, tuna kiwanja kidogo eka mbili tu kipo beach tumeona badala ya kukaa bure tufanye hotel.

Mara Meneja akarudi, jamani chkula kitakuja ndani ya nusu saa. Miktaka drinks mshjua wapiu pa kuzipata, Simba nikuletee nini?
Mimi; Niko poa Meneja, nikihitaji kitu nitasema tu, nipo sawa.
H 1: Enhee wewe bibi endelea, na mtaalamu yuko hapa na kishakua mkwe wetu huyu.

dah nikawatazama wale wanawake wawili sisio wajua, kweli walikua wazui na yule waliolala kwa Menejea ni bimba hasa wamesema Muunguja lakini ni toto la Kiarabu tena zuri kweli kweli, yaani ni mzuri kweli, nilimtazama mpka aakajua namtazama akapeleka machi chini.

H2; Mkwe wenu kwa nani tutangaze harusi.
H1; na huyu ananikera saa zingine, kama mtoto mdogo, mkwe ewetu kwa T, hukumkuta kaamkia wapi huyo?
H2; Mie nakushangaa weqe unaelazzimisha mambo, wewe hukumkuta chumba cha wageni kile?
H 1; Ina maana wewe hii nyumba unaijua sana, umejuaje kama chumba cha wageni kile?
H 2; Si mwenyewe Meneja kasema jamani alipotupelekea, akili zako zilikua wapi? Au ulikua hujafungua loki bado?
H 1; Kwani chumba cha wageni kinazuwi nini kua mkwe wetu? na leo huyu T tunamuacha hapahapa kazini asubuhi ataju ameneja namna ya kumpeleka, ikiwezekana amalize saba hapahapa, si unaona nyumba kama hii ikiwa na mwanamke inapendeza na Mashaallah T imemsuit kweli hii. Au unasemaje T?

Akabaki kimya anatabasamu tu.
T; Mie hata sijui kinaendelea nini, kwanza jana niligfikaje hapa sijui. mlinilewesha sana kupita kiasi.
H1; Tulikulewesha sisi au hao vibuki wako?
H2; Vibuki wakiwepo kichwani hata unywe vipi hulewi, huyo kalewa mwenyewe tu, msiwasingizie vibuki.
Sh: hebu wacheni mamboi hya vibuki wengine wapo karibu muda wote mkiwataja watapamda hapa.

Duh si akaanza kupiga kelele yule Sh. Mara kapandisha kweli.

Sh' Salaam, salaam, salaam. Sikilizeni, mimi sitaki kusem manenoi mengi jana nilikuwepo kwenye kikao na Bi S. hapa mgfanye heshima sana, mpo na watu wakubwa sana, msiongee hovyo mambi ya vibuki, msitaje hata kidogo. kwaherini. kama akajivuta nyuma.
Sh: jamani hawajawi hawa hoivyo hoivyuo shauri lenu.
H 1; Watusamehe bure tu. Haya tuelezee habari ya hoteli yako mpya na menejea yiko hapa.
Sh; Meneja anajua kila kitu na kanifahamisha cha kufanya na hivi hata ramani zinayoxhorwa anawapa ushauri wachoraji mara kwa mara, Sema Meneja lile wazo lako zuri sana, sema nalo linataka pesa nyingi sana. Bira lile la pili tupambane na vishoka wa hapahapa mjini.

H 1: Tuelezeni na sisi tukitaka kujenga hoteli tuelewe.

Sh: Waeleze wewe Meneja.

Meneja: Huyu bibi kuna mamboi mawili, mimi nimemshauri ajenge hotel ndogo lakini hya kisasa ingie mkataba na kampuni kama yetu imfnyoe management, atakua hana wasoi wasi wa kusimamia kazi. Njia nzuri ni yeye awakodishe kwa muda mrefu wakiingiza faida au hasara yeye haimuhu, wao wanamlipa tena mbele kila mwaka, Hilo ana wasiwasi nalo kwa kua anasema pesa za ujenzi wa namna hio ni gharama kubwa hana pesa hizi, nikwamambia tukiongea nao wanaweza wao wakatafuta neki ya kuwakopesha, itakua kila mweii wanampa kifuta jaso jasho kidigi mpka deni liishe au atafute wabia kama BH hivi aingize pesa wajenge.

H1: mambo si hayo bwana, pesa ngapi zinatakiwa, tena tunae banker hapa hapa. au sio T?

T. Inawekqnq inategmea hamana zake ni nini na mkopo kiasi gani?
Meneja; Akiingia na kampuni yetu hana haja ya kutafuta dhamana, kamu)pyuni yetu ni kubwa, wana mabeni yao wana dili nayo miaka sasa, hilo suala la dhamana wala litakua halipo, dhana ni hio hoteli yenyewe.

Na la Pili nilimwabia ujenge ya kikawaida lakini iwe na hadhi japo ya nyota tatu, halafu unatafuta management nzuri wanaojua kucheza na vishoka na kucheza na mitandao watafite masoko, nali linawezekana pia. Wala halina wasiwasi,s ema itabiudi asimame dede kusimamia kila kitu yeye mwenyewe, hoteli zina pesa nyingi zinazozunguka.
H 1: Si akupe wewe usimamie ingia nae ubia?
Menje; Mimi bado kufanya hivyo wazo zuri sana hilo, hata mimi natamani niwe na yangu mwenyewe.
H 1; Hivi tukiuza share kwenye umoja wtu tutakosa nillioni 1 au mbili za kuijenga wenyewe?
Sh; Wazo hilo nililiongea na mume wangu akasema wazo zuri ni hilo namba moja au mbili. Tumeamua tunaanza na hilo namba moja tukiona mambo hayaendi tutamkodisha mtu ypypte afanye yeye, soi mdivo hivoi maneja?
Meneja; sawasawa.

H1; Kumbe msha,maliza yote nawaombea kheri.
Sh; Tuashukuru na michoro inachorwa.
H 1; Mkitaka mbia mimi nimewahi.
Dokta: Na mimi wa pili. naona mawazo ni mazuri.
T; Mimi hta sasa hivi nipo tayari mkyaka mbia, mimi wa tatu, najua wapi pakupata pesa.
H 1: Nyoo, unataka kuiba benki?
T; Thubutu nani afungwe? Sema najua njia za kupatia mkopo benki kwa kuongea wale wale wateje wakubwa.
H 1; Labda uwape kalio hilo la kinyamwezi. Nyoie mliona mwarabu gani na mngazoija akawa na kalio kama la huyu T? Tena tukiisha kula yunaenda kuogelea, Meneja ujionee mali zako.
Meneja; Mtachelewa botu ya mwisho.
H1; Hatujakwambia tumeshaambia resepsheni wataufanyie booking ya ndege ya kesho asubihi kuanzzia saa nne kuendelea, sitaki kuamka alfajiri mimi. Leoi tupo, tu vcancel kuondoka leo hakuna mwwajiriwa.
Dokta; Mimi jamani Mwajiriwa, naondoka leo saa kumi, tukishakula tu hapa maana inabidi nieneee kwetu nikawaage. Simba usishau kuongea nao wasiniumize bei.
Mimi; Dokta sina haja ya kuongea nao mie najua nidhamu za kwetu, hakuumizi mtu, na ukiona umeumizwa waambie hii analipa Simba, mimi nitawalipa.

Domkta;; Unajua nishmabia detreva wenu anifate na gari boti ya mwisho, ana b)vituko alichonijibu yule mwehu yule.
Mimi; Kakujibu nini tena?
Dokta: Kasema kwa wewe dokta hata ukitaka nikakungoje bandarini kuanzia sasa hivi mimi nitakusubiri.
H 1: Kakuzimikia huyo Dokta, huyo si ndio akutengezee gari bure?
Dokta:;Miaka yote niliokaa kusoma itakua na faida gani, nikitegemea kulipiwa hata matengezo ya garI?

Nilifurahishwa sana na jibu la Dokta, meza ikabaki kimya kama tumemwagiwa maji ya naridi.

Meneja; Chakula naona kipo gtayari, tutakula ndani humu kuepusha wadudu na nzi hapa nje.
H 1: Umenikumbuhsa swali langu hujajibu Meneja, ile supu yenu ya kithai, mlfalme wa supu zote mnaitia ni na nini ile?
Meneja: kanini uanuliza hivhyo, umeipenda?
H 1: Upwiru, inazidisha mwasho ile.

Meneja ni mtu wa aibu sana akanyanyuka akaingia ndani.
Sh; Huo upepo wa karafuu wala sio supu, Unguja mdarisalama wewe, gtafuta mue wa Kiunguja.
H 1: Nitafutieni, wala si uongo si ipo Muta?

Meneja akatoka, chakula kinakuja ndani ya dakika tano, wagtapitisha nyuma huko kwa jikoni nimewawachia wazi.
H1: mwenye haraka huyo Daktari ndie anawahi boti na kuwaaga nduguze sisi wengine wote leo tupo hapa? Au sio T na Sh?

Sh; Twende wapi Jumapili yote hii? Tupo hapa mpka kesho nyie mnaondoka na sisi tunawapeleka airport tunaenda makwetu.
H2: Huyo T sawa hana mume na wewe mumeo utamwachi bi mkubwa leo?
H2: Thubutu, anakuja hapahapa, nimnyonye damu yote akitoka hapa hata akienda kwa bi mkubwa sina shaka. Huyo T ndio wakumuuliza ana ruhusa ya nini?
T; Nani wa kumuoba riuksa mimi?
Sh; Si lile zee direator la benki?
T; Mnakisia tu, wala hana habari na mimi yule, anayake na mimi na yangu, tunafanya kazi pamoja tu. Ndio haypo anayosema Dokta faida gani ya kwenda shule?

Maneja haya chakula tayari twendeni tukale tutaongea huku tunakula.

Tukanyanyuka tukaingia ndani.

...
...
Chakula kilikua kimewekwa jikoni na kuna wahudumu wawili wanatupakulia kabisa kila mtu, kinyumbani ile sio kihoteli. Tukawa kila mtu anachukua sahani yake anakaa sehemu ya kulia, ilikua meza kubwa gtu ya watu 10.

Bi H1; Leo Meneja naona kinyumbani kabisa, mambo ya T ni haya?
Sh; sasa hapa kwani hoteli jamani, hapa nyumbani kwake, yeye kaweka ordrer tiu hoteli kama mteja yeyote mwingine.

Tukawa tunaongea hapa na pale, kila mmoja na leke...
Mimi: Manager, mimi tukisha kula na safari ya kwenda mjini sijawaona wenyeji wangu mjini naona roho hainipi.
Dokta; mjini sehemu gani?
Mimi; hata sijiu dio Kikwajuni pale wenhgine wanasema Mwebeladu.
Sh; Yote moja hio, hapoo kwa hjapo tu.
Dokta; Kama mnaenda na gari mnishushe Mombasa mana muda umekwenda, maana hawa mabibi washasema wao hawaondoki leo.
Meneja; Sawa naona Simba, njia ndio hio hio. Nisalimie sana huko sowezi kwacha wageni peke yao, tungekwenda wote, leo nimejipa off.
Simba; Poa.

Tulipomaiza kula.

Dokta; Nyie mabibie kuna vitu vyangu chumbani kwenu twendeni mkanipe.
H 1; Twende mpenzi umepata ji Simba leo nisikucheleweshe, anawez kuwahi cha kuahgana.
Meneja: Simba hupigi kahawa kabla hujaenda?
Mimi; Haina haja, huko ni kahawa mwanzo mwisho, Ahsante sana Meneja, nitakujulisha nitaporudi.
Sh; Tena tunakungoja huku, usichelewe.
Mimi; haya kwaherini jamani, tukatoka na wote wakatusingiza hatua mbili tatu nje wengoine wakarudi, tukaenda na Dokta na Bi H wote. Njiani tukaachana, chumba chao kiko upande wa baharini kabisa, wakaenda kushoto, mimi nikaenda moja kwamoja, chumba changu kilikua hakipo beach kabisa lakini sio mbali. nikaingia chumbani kuatazaama simu yangu miss calls kibao.
Nikaanza ya babu. Tkasalimiana pale.
Babu; Vipi Unguja, njema?
Mimi: njema tu babu.

Babu; mbina hupatikani kwenye simu, umeshaoa nini huko?
Babu; Niliiwacha simu ina chaji, mimi nilienda kwa maneja alinilika chakula, ndio kwanza narudi.
Babu: Sheikh... ana wasiwasi anakupoigia hupatikani kuanzia asubuhi, kidogo amtume mwanae akufate hoteklini, mimi ndio nimemzuwia. Nimemwambia sio kawaida yako labda simu tu au ntwork msijitie gharama ya kumtuma mtu. Wapigoie basi.
Mimi: Okay, poa babu, hivi nilikua nakwenda kwao, usiwapigie nim surprise Sheikh.
Babu; Mpigie halafu msurprise, gfanaya yote mawili.
Mimi; Okay, sawa babu, tugtaongea nikirudi.

Nikampigia Sheikh nikamweleza kama nilivyomweleza babu, sikumwambia nakewwenda kwake.Nikamuuliza swahiba yangu yupo. Aksema usingepiga alikua anakuja huko akutafute. Nikacheka. Nikamwabia tutaongea zaidi baadae. Tukaagana.

Nikatoka resepshen nikakuta tayari mabibie wapo resepsjen, Dokta alafata handbag yake tu chumbani kwao, nikawaambia reception gari. Wakanambi ipo hapo nje ukitoka tu akikuona anakufata hapo hapo mlangoni sisi tunampigia. Tukatoka wote wanne nje, mabibie wakaagana na dokta ytukapanda gari tukaondoka.
Dokta; Huwa unakuja mara kwa mata Unguja?
Mimi; hapana hii mara yangu ya pili.
Dokta: umeuja kwa kazi?
Haana: kutembea siku mbili tatu tu, ilikua leo niondoke lakini wenyeji wangu wamenizuia.
Dokta" Au umeshapata totoz ya Kiunguja?
Mimi; Hapana Dokta, mke wangu mmoja kwa sasa ananitosha.
Dokta: tena Waunguja ukiwaambia una mke ndio wanafanya makusudi, kama wanaume zao, ukiwaambia mke wa mtu ndio wanajishaua wanajifanya wao wanaume sana.
Mimi: Dokta unaongea kama sio Muunguja?
Dokta mi e nishakua mbara, hata mambo hya Kiunguja nimeyasahau.
Mimi; jasiri haachi asili.
Dokta; Asili haiondoki, ipo tu. Unafikiri nakutania, si unaona wale wawili wamebaki kwa ajili yako na Meneja. Na hawa wa mbea wa Dr mpaka waujue mwisho. Nikaona nibadilishe topic, hua sipendi kuongelea watu amabao hawapo na sisi.
Mimi; Dokta umemkubusha dereva?
Dokta; Nitampigia nikiondoka tu na boti. Tena kaniagiza halwa, nikienda bandarini nitapita kumchukulia Darajani pale.
Mimi; Ooh, umenikumbusha, na mimi nitanunua, zawadi nzuri hio.

Ikawa karibia tunafika kwao, akasema hapo mbele ingia kulia, kuna shortcut, dereva akaingia, mbele kidogo akamwabia nyumba ile inayokutazama. Si ungenambia kwa Tall pale. Hakuna asiemjua, mtu mrefu Ungija nzima. nani wako?
Dokta: mdogo wangu.

Ikawa tumeshafika tukaagana na Dokta.
Dokta: Muhimu sana tuonane Dar ukija nijulishe tafadhali.
Mimi; sawa. safari njema.

Nikaondoka moka kwa Sheikh. baada ya kusalimiana pale, kama alijua nilipoisikia halwa njiani ikanijia hamu.
Sheikh, hebu leteni halwa ile bado haijapoa, bahati kuna mtu alipita akaikuta ndio imetoka kuopolewa akaituletea, imekua na wewe rizki yako Simba.

Tukawa tunapiga kahawa na halwa. Mimi nimekuja kukuaga Sheikh, kesho naondoka asubuhi. Ilikua niende leo nikaona si vizuri bila kukuaga.
Sheikh: Nimeabiwa na jamaa zake yule binti, jana kamaliza ada yao ya Kingazija vizuri kabisa, Wamasema anaonesha yupoo vizuri kabisa. Tumuobee dua awe salama. Maana amebeba mizigo mizito, lakini hawa vibuki ma afriti siwaamini kabisa.

Mimi; Kwanini sheikh?
Simba: Kile kimekua kama chama, haoa Unguja kuna wacheza kibuki wengi tu, lakini cha Bi DS ndio kubwa lao, hawa wenye vibuki wadogo wote pale ndio makao makuu. Hapo ni ma biga biss wote wenye noti zao, pale kila mwanamke au ana kazi nzuri na cheo serikalini, au mke wa mkubwa fulani au mke wa mfanya boiashara, wengina mabishara yao. Mpaka mashoga wapoo wana vibuki, lakini sio mashoga njaa, hawaruhusiwi hata kusogea. Mishoga ile yenye fedha zao.

Mimi; Wote wangazija?
Sheikh: Wengi wangazija lakini wapo kila kabila waarabu,m wahindi, watu wa kila aina, lakini ukiwaona kwa bibi yule ujue ni watu wenye hali nzuri za Kimaisha. pale Sheikh mwanamke ailikwa tu ni lazima aende na lazima alipe millioni moja. Mbali mambo yao mengoine ya mapombe na mbali moichango chango ya mingine. Hapao kama hana millioni hajaenda. Na hawakosi wakilikwa.
Mimi; Siku hana?
Sheikh: hawajui hana wale, hilo tunajua sisis Simba. Wale watu wana majina yao. Sijasikia wakisem "sina" labda ni aibu kwao. Ni watu wa kujifaharisha sana, ninao jirani zangu wawili hapa, wanakuja sana hapa kwangu kulketaleta sadaka zao aza madfrasa na kufanya dua. wamezoeana sana na mke wangu. Hao ni mabopar kweli kweli wanawake wa Kiarabu hao, hawana hata chembe ya Ungazija lakini wana vibuki.

Mimi; Nimemuona yle Dokta leo hoteli na wenzake wanne, akanijulkisha anao wawili wa Dar, lakini sijuani nao. Na wawili wa hapa, walikuja kula hoteli kule.
Sjeikh; Si unaona Simba, hoteli la kitalii lile, ndio mambo yao hayo, hawaendi vihoteli vya hovyo hoivyo wale, pesa hizo Sheikh. baso wote hao wanachama wa kibuki cha Bi S, tena hizo za ibuki afadhali. Akiwa na harusi mmoja wao. Mchango wa chini kabisa ni million 10 kila mtu. Harusi zao za Kingazija zinajulikana Sheikh, siku saba mfululizo, sasa fikiroia pesa ngapi, na sherehe zao ni kama mashindan, Huyu akichapiisha kadi za harusi Dubai, yule akifanya yake zitatoka Ufaransa, mambo yao ndio hayo Simba.
Mimi basi kuzuri kuoa huko, kama wana pesa namna hio?


Sheikh: huko wale wangazija ukioa kwanza lazima ukafanye harusi ya ada kwao huko, unaijua hio Sheikh?
Mimi; Hapana.
Sjeikh: hio bwana ukioa kama hujaifanya huna hadhi huko, ukiifanya ndio unapoata hadhi kweli kweli, na kilemba unapewa, wana vilemba spesho vinafumwa kwa mkono vya aiana ya peke yake, Ijumaa au siku za sherehe lazima ukipige hicho basi ulipiga hicho hata kama sehemu ya kuingoa kwa kadi wewe huulizwi, kwa kilemba tu ushajialika.

Hiyo kama huna fedha huifanyi bwana. Kwanza harusi ya ada hukoi lazima wadondoshe ng'ombe mmoja wawili kila siku, kwa siku zote za harusi, kama una uwezo hata watatu, sio ng'omb hawa wa kawaida. Ng'ombe wale wanatoka sijiui batra ipi kwenu huo, wanapemne kun)bwa akuliko ng'ombe wote. Wana bei hao. Na mwiko kupata nbei wakiuzwa wale, wanauzwa kwa mnada, halafu harusi za ada ili washindane vizuri zote zinakua mwezi wa saba na wanane, basi zinaongozana Sheikh, mpaka wanaogopa kufanya siku moja inabodi waambizane ili zisikutane, maana zikikutana mmoja anaweza akakosa watu wakaenda kwa mwingoine, hio aibu kubwa kwao.

Nikapigwa story nyingi nyingi tu, mwisho nikaaga. Swahiba yangu akaniwahi usiagoze gatoi hya hoteli, mimi nakupeleka leo. Nikamwabia itakua vizuri nikakupe mke wa Kingazija huko. Huku tunaondoka zegu kwenye gari. Ile kuingia tu ndio akajibu...
Swahiba; Nitawaweza wapi maskini mimi?
Mimi; Wana pesa zao hao si mchezo.
Swahiba: Wapo rafiki zangu ameolewa huko, kweli wanaoa huko, lakini kule ni kuolewa. na wale wanawake wa kibuki mradi awe na mume jibna yu, ni sifa kwao na njia yao ya kupatia pesa.
Mimi; Kivipi?
Swahiba: Wale washagundua siri ya wanaume wenye pesa. Mwanamme mwenye pesa sheikh yupo tayari kutoa mamilioni amle mke wa mtu, sijui wana siri gani na wake za watu. hao vibuki Simba, wanajuloikana Unguja nzima hii mambo yao. hakuna mwanamke wa kibuki mwenye mume mmoja, anakua na memu mmpoja jina tu awe na pesa asiwe na pesa, wlaiobaki micheppuko, ile fedha zao, miwili mitatu, wananyang'nyiana wenyewe kwa wenyewe.
Mimi; Na wanaume hawayajui hao waliowaoa kama mji mzima wanayajua?
Swahiba: Kuna mawili Simba; wengi wao wanajua lakini ndio wanzidiwa nguvu na majini a kibuki, wanaku hawana kauli. Ma wale amao hawana hela ndio wafanye nini? Wazikose raha na starehe za pombe na bangi kila siku. Kula vizuri kulalavizuri, wanaona wacha akaliwe, mtradi yuangu yananiendea. Yaani Simba ni ushetani mtupu.

Swahiba; Hujaona sikuil kwa ytule ibi anamuuliza mumewe mbele yetu kwa ukali kabisa, kwanini umeondoka? na jama yuko poa tu. Sasa unafikiri kiduka kile nidi kinejenga fahari ya jumba lile? Na unaambiwa ana majumba kila sehemu zuri ya Unguja bibi yule, ana nyumba hata 20 zinafika. Wao vibuki mimi nawapendea hapo, wao wanashindana kujenga tu, na mjumba yao majumba kweli kweli, hata wanaokodisha sana makampuni ya kigeni au wageni au serikali, mabenki.

Mimi; Wana akili basi.
Swahiba; Wana akili ya kujenga kuliko mchwa. Kw ahilo tu huwawezi. Simba huwezi kuamini, majumba yote wanayokodisha serikali, ya mawaziri, wakurugenzi, ya maafisa, yote ni ya wanawake wa vibuki. hilo soko lao wamelishika.

Tukafika hoteli, nikamwambia shuka Mwamba tukanywe kahawa.

...
 
?

Simba, ukiona siutendei haki huu uzi niambie... Nitasogea.

Nimekupa heshima kwa kuwa kuna ninayoyajua ya 'upande wa pili' kuhusu mwenendo wa huu uzi...

SASA, siwezi kufurahisha kila mtu kwenye huu uzi, na wala hii si nia yangu.

FaizaFoxy, si 'haja yangu' unifuate huku ama kule; ukiona 'copy and paste' inaharibu uzi na mapitio yako tumia 'ignore button' kwenye content/navigation features/tools za hii forum.

Vinginevyo, ninadhamiria kuwa 'mtu rafiki' kwenye mashauri ya humu...

Hmmm
Binafsi na enjoy, najifunza Kiswahili ambacho sikielewi, lakini wengi wape, kuna wengi wamecomment kuhusu lugha, mimi nashauri fupisha post halafu chini yake weka link, kama alivosema FF, ya uzi wako tutazifata kusoma hukohuko. Una madini mwengi na haitakua vyema madini yako yakabadili mwelekeo wa uzi huu.
Simba.
 
Arsis ni mtu kama sisi lakini mwenyewe anasema anaishi kwenye 'realm" nyingine, akitaka anaweza kuonekana, Ananambia nimeshamuona sana lakini sijui kam ni yeye. Ananichanganya mimi anaposisitiza wewe chukulia mimi naweza kua chochote kasoro Mwyezi Mungu tu.

Nadhani hapo anaongea kiufundi kua ana teknolojia ya kuonekana kwa picha yoyote na sehemu yoyote ile aitakayo. Mwenyewe anaiita mchanganyiko wa VR (virtual Rality na Hologram.

Hizo teknolojia inabidi kila mmoja wetu azitafute mwenyewe ndio zipi.
Simba.
Kwahiyo Arsis ni UFO?
 
?

Simba, ukiona siutendei haki huu uzi niambie... Nitasogea.

Nimekupa heshima kwa kuwa kuna ninayoyajua ya 'upande wa pili' kuhusu mwenendo wa huu uzi...

SASA, siwezi kufurahisha kila mtu kwenye huu uzi, na wala hii si nia yangu.

FaizaFoxy, si 'haja yangu' unifuate huku ama kule; ukiona 'copy and paste' inaharibu uzi na mapitio yako tumia 'ignore button' kwenye content/navigation features/tools za hii forum.

Vinginevyo, ninadhamiria kuwa 'mtu rafiki' kwenye mashauri ya humu...

Hmmm
Chief kuna namna ya kuandika kwa kiswhili fasaha. Unachitumia hakina ufasaha wowote. Ni tafsiri ya akili mnemba hiyo. Kiswahili hakiko hivyo ndugu. Kingekuwa hivyo kingechosha, wala kisingepata wateja
 
Chief kuna namna ya kuandika kwa kiswhili fasaha. Unachitumia hakina ufasaha wowote. Ni tafsiri ya akili mnemba hiyo. Kiswahili hakiko hivyo ndugu. Kingekuwa hivyo kingechosha, wala kisingepata wateja
Na madaktari wakitumia kingereza chao, na wanasheria waje na kingereza chao kilichochanganyika na Kilatini sijui kama patakalika hapa.
 
Binafsi na enjoy, najifunza Kiswahili ambacho sikielewi, lakini wengi wape, kuna wengi wamecomment kuhusu lugha, mimi nashauri fupisha post halafu chini yake weka link, kama alivosema FF, ya uzi wako tutazifata kusoma hukohuko. Una madini mwengi na haitakua vyema madini yako yakabadili mwelekeo wa uzi huu.
Simba.
Simba binafsi sijaridhika na majibu yako kwa dada Farijala wa Farijala

Sasa mimi naomba Arsis mwenyewe ndio ajibu swali hili au hata bakora atuelekeze miti shamba ya kuondowa nuksi.
 
Mbona hii anayotoa ndio solution ya kila kitu ndugu....🤔
Narudia tena hii ndio solution ya kila kitu🤝🤝
Naweza nikakuthibitishia hilo kwa vitendo!!!
Sema sijui namna ya kuweka sawa hii kitu, ila ningetoa somo lisilo rasmi kuhusu namna ya kuwa connected na Mungu direct!!!
Ila naogopa sabb elim yangu ndogo sana (maana mm ntaongea kutokana na experience wala sitotumia vitabu na uthibitisho wa hadithi sana.... Mm ntaongea kinachonitokea, Sasa mwisho ntajitukanisha hapa maana ntashindwa kutoa ushahidi🤝🤝

Na Kama ujuavyo humu wenye elim ni wengi 🚶🚶

(Ila ukiishi kama watu wa zamani ni rahisi Sana kumpata Mungu na kuuona ukubwa wake, hii nimeijaribu kwa baadh ya vitu ni really kabisaaaa
Funguka mkuu , elimu ni bahari huenda tukajifunza kitu
 
Simba binafsi sijaridhika na majibu yako kwa dada Farijala wa Farijala

Sasa mimi naomba Arsis mwenyewe ndio ajibu swali hili au hata bakora atuelekeze miti shamba ya kuondowa nuksi.
Kitu cha kwanza cha kuondoa, nuksi, hasad, uchawi, kijicho au chochote kile kibaya ni sala na kuacha maasi.

Kuna mdau juu hapo Mwami Atale kaelezea kidogo kuhusu mtu na muumba wake kua "connected", mimi nasema hakuna zaidi ya sala. Kuna nguvu ipi nyingine kubwa zaidi ya kua na mawasiliano ya moja kwa moja na Muumba wako?
Simba.
 
kaingia kwenye ukumbi mose ana mada nzito na uhakika atakua na majibu mazito.

Tustahamiliane tu.
Simba
ni kweli mose yeye anacopy na kupest na kiswahili chake cha google inaonyesha hata yeye hana hajualo mfano hata ukimuuliza swali hajibu yeye bali anauliza AI akijibiwa huko ndo anacopy na kupest hilo jibu la AI maana kiswahili hakieleweki hadi mtu unajua AI ndo imejibu sio yeye..bora aache kucopy tu hiyo AI au afanye summary haoni kina Arsis na Lidafo wanavyoandika.!
 
Kitu cha kwanza cha kuondoa, nuksi, hasda, uchawi, kijicho au chochote kile kibaya ni sala na kuacha maasi.

Kuna mdau juu hapo Mwami Atale kaelezea kidogo kuhusu mtu na muumba wake kua "connected", mimi nasema hakuna zaidi ya sala. Kuna nguvu ipi nyingine kubwa zaidi ya kua na mawasiliano ya moja kwa moja na Muumba wako?
Simba.
I ngekuwa ni hivyo basi jini bakora asingeenda kule hotelini kwa meneja kumsafishia hoteli nzima kwa mitishamba na madawa. Arsis jipange uje na majawabu
 
...
Chakula kilikua kimewekwa jikoni na kuna wahudumu wawili wanatupakulia kabisa kila mtu, kinyumbani ile sio kihoteli. Tukawa kila mtu anachukua sahani yake anakaa sehemu ya kulia, ilikua meza kubwa gtu ya watu 10.

Bi H1; Leo Meneja naona kinyumbani kabisa, mambo ya T ni haya?
Sh; sasa hapa kwani hoteli jamani, hapa nyumbani kwake, yeye kaweka ordrer tiu hoteli kama mteja yeyote mwingine.

Tukawa tunaongea hapa na pale, kila mmoja na leke...
Mimi: Manager, mimi tukisha kula na safari ya kwenda mjini sijawaona wenyeji wangu mjini naona roho hainipi.
Dokta; mjini sehemu gani?
Mimi; hata sijiu dio Kikwajuni pale wenhgine wanasema Mwebeladu.
Sh; Yote moja hio, hapoo kwa hjapo tu.
Dokta; Kama mnaenda na gari mnishushe Mombasa mana muda umekwenda, maana hawa mabibi washasema wao hawaondoki leo.
Meneja; Sawa naona Simba, njia ndio hio hio. Nisalimie sana huko sowezi kwacha wageni peke yao, tungekwenda wote, leo nimejipa off.
Simba; Poa.

Tulipomaiza kula.

Dokta; Nyie mabibie kuna vitu vyangu chumbani kwenu twendeni mkanipe.
H 1; Twende mpenzi umepata ji Simba leo nisikucheleweshe, anawez kuwahi cha kuahgana.
Meneja: Simba hupigi kahawa kabla hujaenda?
Mimi; Haina haja, huko ni kahawa mwanzo mwisho, Ahsante sana Meneja, nitakujulisha nitaporudi.
Sh; Tena tunakungoja huku, usichelewe.
Mimi; haya kwaherini jamani, tukatoka na wote wakatusingiza hatua mbili tatu nje wengoine wakarudi, tukaenda na Dokta na Bi H wote. Njiani tukaachana, chumba chao kiko upande wa baharini kabisa, wakaenda kushoto, mimi nikaenda moja kwamoja, chumba changu kilikua hakipo beach kabisa lakini sio mbali. nikaingia chumbani kuatazaama simu yangu miss calls kibao.
Nikaanza ya babu. Tkasalimiana pale.
Babu; Vipi Unguja, njema?
Mimi: njema tu babu.

Babu; mbina hupatikani kwenye simu, umeshaoa nini huko?
Babu; Niliiwacha simu ina chaji, mimi nilienda kwa maneja alinilika chakula, ndio kwanza narudi.
Babu: Sheikh... ana wasiwasi anakupoigia hupatikani kuanzia asubuhi, kidogo amtume mwanae akufate hoteklini, mimi ndio nimemzuwia. Nimemwambia sio kawaida yako labda simu tu au ntwork msijitie gharama ya kumtuma mtu. Wapigoie basi.
Mimi: Okay, poa babu, hivi nilikua nakwenda kwao, usiwapigie nim surprise Sheikh.
Babu; Mpigie halafu msurprise, gfanaya yote mawili.
Mimi; Okay, sawa babu, tugtaongea nikirudi.

Nikampigia Sheikh nikamweleza kama nilivyomweleza babu, sikumwambia nakewwenda kwake.Nikamuuliza swahiba yangu yupo. Aksema usingepiga alikua anakuja huko akutafute. Nikacheka. Nikamwabia tutaongea zaidi baadae. Tukaagana.

Nikatoka resepshen nikakuta tayari mabibie wapo resepsjen, Dokta alafata handbag yake tu chumbani kwao, nikawaambia reception gari. Wakanambi ipo hapo nje ukitoka tu akikuona anakufata hapo hapo mlangoni sisi tunampigia. Tukatoka wote wanne nje, mabibie wakaagana na dokta ytukapanda gari tukaondoka.
Dokta; Huwa unakuja mara kwa mata Unguja?
Mimi; hapana hii mara yangu ya pili.
Dokta: umeuja kwa kazi?
Haana: kutembea siku mbili tatu tu, ilikua leo niondoke lakini wenyeji wangu wamenizuia.
Dokta" Au umeshapata totoz ya Kiunguja?
Mimi; Hapana Dokta, mke wangu mmoja kwa sasa ananitosha.
Dokta: tena Waunguja ukiwaambia una mke ndio wanafanya makusudi, kama wanaume zao, ukiwaambia mke wa mtu ndio wanajishaua wanajifanya wao wanaume sana.
Mimi: Dokta unaongea kama sio Muunguja?
Dokta mi e nishakua mbara, hata mambo hya Kiunguja nimeyasahau.
Mimi; jasiri haachi asili.
Dokta; Asili haiondoki, ipo tu. Unafikiri nakutania, si unaona wale wawili wamebaki kwa ajili yako na Meneja. Na hawa wa mbea wa Dr mpaka waujue mwisho. Nikaona nibadilishe topic, hua sipendi kuongelea watu amabao hawapo na sisi.
Mimi; Dokta umemkubusha dereva?
Dokta; Nitampigia nikiondoka tu na boti. Tena kaniagiza halwa, nikienda bandarini nitapita kumchukulia Darajani pale.
Mimi; Ooh, umenikumbusha, na mimi nitanunua, zawadi nzuri hio.

Ikawa karibia tunafika kwao, akasema hapo mbele ingia kulia, kuna shortcut, dereva akaingia, mbele kidogo akamwabia nyumba ile inayokutazama. Si ungenambia kwa Tall pale. Hakuna asiemjua, mtu mrefu Ungija nzima. nani wako?
Dokta: mdogo wangu.

Ikawa tumeshafika tukaagana na Dokta.
Dokta: Muhimu sana tuonane Dar ukija nijulishe tafadhali.
Mimi; sawa. safari njema.

Nikaondoka moka kwa Sheikh. baada ya kusalimiana pale, kama alijua nilipoisikia halwa njiani ikanijia hamu.
Sheikh, hebu leteni halwa ile bado haijapoa, bahati kuna mtu alipita akaikuta ndio imetoka kuopolewa akaituletea, imekua na wewe rizki yako Simba.

Tukawa tunapiga kahawa na halwa. Mimi nimekuja kukuaga Sheikh, kesho naondoka asubuhi. Ilikua niende leo nikaona si vizuri bila kukuaga.
Sheikh: Nimeabiwa na jamaa zake yule binti, jana kamaliza ada yao ya Kingazija vizuri kabisa, Wamasema anaonesha yupoo vizuri kabisa. Tumuobee dua awe salama. Maana amebeba mizigo mizito, lakini hawa vibuki ma afriti siwaamini kabisa.

Mimi; Kwanini sheikh?
Simba: Kile kimekua kama chama, haoa Unguja kuna wacheza kibuki wengi tu, lakini cha Bi DS ndio kubwa lao, hawa wenye vibuki wadogo wote pale ndio makao makuu. Hapo ni ma biga biss wote wenye noti zao, pale kila mwanamke au ana kazi nzuri na cheo serikalini, au mke wa mkubwa fulani au mke wa mfanya boiashara, wengina mabishara yao. Mpaka mashoga wapoo wana vibuki, lakini sio mashoga njaa, hawaruhusiwi hata kusogea. Mishoga ile yenye fedha zao.

Mimi; Wote wangazija?
Sheikh: Wengi wangazija lakini wapo kila kabila waarabu,m wahindi, watu wa kila aina, lakini ukiwaona kwa bibi yule ujue ni watu wenye hali nzuri za Kimaisha. pale Sheikh mwanamke ailikwa tu ni lazima aende na lazima alipe millioni moja. Mbali mambo yao mengoine ya mapombe na mbali moichango chango ya mingine. Hapao kama hana millioni hajaenda. Na hawakosi wakilikwa.
Mimi; Siku hana?
Sheikh: hawajui hana wale, hilo tunajua sisis Simba. Wale watu wana majina yao. Sijasikia wakisem "sina" labda ni aibu kwao. Ni watu wa kujifaharisha sana, ninao jirani zangu wawili hapa, wanakuja sana hapa kwangu kulketaleta sadaka zao aza madfrasa na kufanya dua. wamezoeana sana na mke wangu. Hao ni mabopar kweli kweli wanawake wa Kiarabu hao, hawana hata chembe ya Ungazija lakini wana vibuki.

Mimi; Nimemuona yle Dokta leo hoteli na wenzake wanne, akanijulkisha anao wawili wa Dar, lakini sijuani nao. Na wawili wa hapa, walikuja kula hoteli kule.
Sjeikh; Si unaona Simba, hoteli la kitalii lile, ndio mambo yao hayo, hawaendi vihoteli vya hovyo hoivyo wale, pesa hizo Sheikh. baso wote hao wanachama wa kibuki cha Bi S, tena hizo za ibuki afadhali. Akiwa na harusi mmoja wao. Mchango wa chini kabisa ni million 10 kila mtu. Harusi zao za Kingazija zinajulikana Sheikh, siku saba mfululizo, sasa fikiroia pesa ngapi, na sherehe zao ni kama mashindan, Huyu akichapiisha kadi za harusi Dubai, yule akifanya yake zitatoka Ufaransa, mambo yao ndio hayo Simba.
Mimi basi kuzuri kuoa huko, kama wana pesa namna hio?


Sheikh: huko wale wangazija ukioa kwanza lazima ukafanye harusi ya ada kwao huko, unaijua hio Sheikh?
Mimi; Hapana.
Sjeikh: hio bwana ukioa kama hujaifanya huna hadhi huko, ukiifanya ndio unapoata hadhi kweli kweli, na kilemba unapewa, wana vilemba spesho vinafumwa kwa mkono vya aiana ya peke yake, Ijumaa au siku za sherehe lazima ukipige hicho basi ulipiga hicho hata kama sehemu ya kuingoa kwa kadi wewe huulizwi, kwa kilemba tu ushajialika.

Hiyo kama huna fedha huifanyi bwana. Kwanza harusi ya ada hukoi lazima wadondoshe ng'ombe mmoja wawili kila siku, kwa siku zote za harusi, kama una uwezo hata watatu, sio ng'omb hawa wa kawaida. Ng'ombe wale wanatoka sijiui batra ipi kwenu huo, wanapemne kun)bwa akuliko ng'ombe wote. Wana bei hao. Na mwiko kupata nbei wakiuzwa wale, wanauzwa kwa mnada, halafu harusi za ada ili washindane vizuri zote zinakua mwezi wa saba na wanane, basi zinaongozana Sheikh, mpaka wanaogopa kufanya siku moja inabodi waambizane ili zisikutane, maana zikikutana mmoja anaweza akakosa watu wakaenda kwa mwingoine, hio aibu kubwa kwao.

Nikapigwa story nyingi nyingi tu, mwisho nikaaga. Swahiba yangu akaniwahi usiagoze gatoi hya hoteli, mimi nakupeleka leo. Nikamwabia itakua vizuri nikakupe mke wa Kingazija huko. Huku tunaondoka zegu kwenye gari. Ile kuingia tu ndio akajibu...
Swahiba; Nitawaweza wapi maskini mimi?
Mimi; Wana pesa zao hao si mchezo.
Swahiba: Wapo rafiki zangu ameolewa huko, kweli wanaoa huko, lakini kule ni kuolewa. na wale wanawake wa kibuki mradi awe na mume jibna yu, ni sifa kwao na njia yao ya kupatia pesa.
Mimi; Kivipi?
Swahiba: Wale washagundua siri ya wanaume wenye pesa. Mwanamme mwenye pesa sheikh yupo tayari kutoa mamilioni amle mke wa mtu, sijui wana siri gani na wake za watu. hao vibuki Simba, wanajuloikana Unguja nzima hii mambo yao. hakuna mwanamke wa kibuki mwenye mume mmoja, anakua na memu mmpoja jina tu awe na pesa asiwe na pesa, wlaiobaki micheppuko, ile fedha zao, miwili mitatu, wananyang'nyiana wenyewe kwa wenyewe.
Mimi; Na wanaume hawayajui hao waliowaoa kama mji mzima wanayajua?
Swahiba: Kuna mawili Simba; wengi wao wanajua lakini ndio wanzidiwa nguvu na majini a kibuki, wanaku hawana kauli. Ma wale amao hawana hela ndio wafanye nini? Wazikose raha na starehe za pombe na bangi kila siku. Kula vizuri kulalavizuri, wanaona wacha akaliwe, mtradi yuangu yananiendea. Yaani Simba ni ushetani mtupu.

Swahiba; Hujaona sikuil kwa ytule ibi anamuuliza mumewe mbele yetu kwa ukali kabisa, kwanini umeondoka? na jama yuko poa tu. Sasa unafikiri kiduka kile nidi kinejenga fahari ya jumba lile? Na unaambiwa ana majumba kila sehemu zuri ya Unguja bibi yule, ana nyumba hata 20 zinafika. Wao vibuki mimi nawapendea hapo, wao wanashindana kujenga tu, na mjumba yao majumba kweli kweli, hata wanaokodisha sana makampuni ya kigeni au wageni au serikali, mabenki.

Mimi; Wana akili basi.
Swahiba; Wana akili ya kujenga kuliko mchwa. Kw ahilo tu huwawezi. Simba huwezi kuamini, majumba yote wanayokodisha serikali, ya mawaziri, wakurugenzi, ya maafisa, yote ni ya wanawake wa vibuki. hilo soko lao wamelishika.

Tukafika hoteli, nikamwabia shuka tukanywe kahawa.

...
Tukashuka, swahiba mtoto wa Sheikh. Mtoto wa Sheikh aliikua ni kijana wa mjini kabisa Unguja, hakua amezubaa na mambo ya mjini anayafahamu kweli kweli kwa mtazamo wangu, ni kama kijana yeyote wa mjini Dar. Mfano kijana aliezaliwa na kukulia Ilala Dar huwezi mfananisha na kijana alie zaliwa na kukulia Kimara au Gongo la mbpoto Dar.Wana tofauti za muono na mpaka za maongezi.

Huyu alikua kijana wa katikati ya jiji la Unguja. Alikua amesoma vizuri kwa viwango vyetu, na alikua amesomea fani yangu ya umeme wa magari. Alienda chuo cha ufundi cha serikali Unguja kafaulu vizuri akaenda DIT Dar akafanikiwa kupata shahada yake ya mwanzo. Hivi alipo Unguja ana 'duka lake" mwenyewe, karakana yake ya umeme anaiita duka. Kwa kua licha ya kua fundi umeme wote kuanzia magari pikipiki mpaka majumbani, pia alikua anauza na kutengeza laptops na PCS aina zote. Alikua maarufu sana Unguja, hilo utalijua kwa simu zake ambazo, mara nyingi nimeona akiwa na mimi anaiweka simu silence na hapokei akiendesha.

Kufika to hoteli nikachukua kadi yangu ya mlango rresepshen nikamwabia karibu uvione vyumba vya hii hoteli, hujaviona wewe. Akanambia poa. Tukingia ndani. Akasema ni vizuri nimependa hii art ya Kizanzibari ya vigtanda na makochi humu ndani. Hata dirisha naona ni asrgt ya Kizanzibari iliowekwa kissa zaidi. Wamepatia sana.

Nikamwabia si hata Menejea umemuona ni Mzanzibari? Nimemuona, namjua yule Unguja, toka mimi bado mdogo sema ndio alipotea miaka kuibuka kaibukia huku
Mimi: ndio maisha.

Tukatoka nikamwabia twende pale beach saa hizi pazuri sana. Tukaenda kiukaa tunatazama beach, nikaagiza kahawa tukaletewa. Huku tunakunywa kahawa...
Swahiba: Simba hebu nielezze, juzi nimekupeleka kwa yule Bi S. lakini nimeona toka umekuja kwa Sheikh maongei yenu yamelenda sana vibuki, saa zingine mpaka mnaenda kuongea siri. Mna siri gani na vibuki wewe naSheikh? Au swahiba umepata jiko la pili huko?
Mimi; hapana, labda Sheikh anataka kukupatia wewe mke huko? Tukacheka wote.
Swahiba: Unajua leo ndio mlikua wazi kuonhgea mbele yangu mkaongelea Dokta, unajua mimi namjua huyo Dokta mnaemuongelea, yule kwao ni karoibu kabisa na pale kwetu sema siku hizi wamehamia Mombasa lakini mjomba yao bado yuko pale, ni maarifu sana na mkewe ni maarufu sana kupita kiasi.

Mimi; Huyo Dokta ndie alifanya nije kuwatemmbelea Unguja. Babu yangu ni swahiba sana na Sheikh, nadhani nia yao yule binti nimuoe, wameona njia ya kumsaidia ni kuolewa yule, kwani ana mambi ya kwao huko ya vibuki.
Swahiba: Yule usimwache wala usikatae, yule mtaani hapa wote wanamjua wanamsigfu ile mnbaya, yule unaa,biwa toka shule ya msingi mpaka anaenda chuo hajawahi kuchukua namba mbili. Yule mpaka serikali inamtambua uwezo wake. Yule kishapewa ofa na serikali hapa mara kibao lakini sijui chuo kikuu gani huko cha Marekani ndio kimemzuia, kimefungulia ofisi Dar na hapa anakuja sana yule kiazi, akija lazima aende kwa mjombake pale jirani yetu, kwao sasa yule ndio mwembe ladu orijino. Yote ni Kikwjuni lakini kwao pale ndio mwembe ladu.

Mimi; Sasa mwamaba umenitisha na watu wa kibuki hawa, mimi siyawezi, kua mume mwenza na wanaume wenzangu mwamba?
Swahiba; Yule msomi hayuko hivo labda wamemrpga ndio anakwend kutafutaytiba, maana kasomewa dua na Sheikh nyumbani, kila akija Unguja anakiuja japo siku mpoja kusomewa rokia.
Mimi: Mwamba kwanini humuoi wewe, ukimwambiaSheikh ni kama kusukuma mlevi.
Swahiba; Mimi mkubwa sana kwangu yule usimuone vile, simpati hata kwa dawa, yule kaolewa mimi niko primary.
Mimi: Kwani umei ni nini bwana Mbina mtume mke wa kwanza alikua mkubwa sana kwake?
Swahiba; Yule nipo tayari kumuoa hata sasa hivi, mwabie Sheikh na wewe nakupoa kazi mnipelekee posa kwao. Usiondoke kesho mnipelekee posa.
Mimi; Ongea na Sheikh hata kwa simu akikubali tupeleke posa mimi navunja safari.
Swahiba: Ongea na wewe Sheikh, mimi nikimwambia yule mzee atanitolea njiani, wenyewe washaniwekea kinbinti hicho hivi wanangoja kimalize chuo tu, wanisukumie.
Mimi; Wakusukumie tena?
Swahiba: Si unajuamke wa kupewa hujaongea nae hata siku moja, wazee wanasema tu, si ndio kusukumiwa huko?

Mimi; Ngoija swahiba, naona wewe una hamu wya kuoa, lakini huyo mtoto anakuchelewesha mpaka amalize chuo.


Nikachukua simu yangu nikapoga namba ya hoteli nikwaambi mimi fulani nataka kuongea na Meneja. wakaniunganisha nae.
Meneja: Nimerudi nipo hapa na swahiba yangu tunapiga kahawa beach hapa.
Menje; Njooni, njooni haraka, watanibaka huku.

Alivoonge mapaka mimi nkacheka.

Mimi; Mwaba twende nikakupe mke sasa hivi, huyo hurushi kabisa, umei wako, msomi. toto, toto kweli, sema ndio hao vibuki, usiseme sijakwambia, Huku tunaenda kwa meneja.
Swahiba; Tukatie macho Nuru, hawa vibuki bila kuwajua wana mambo makubwa, hao Sheikh sijui?

ulipogika kwa Meneja walikua kwa ndani, lakini Meneja naona katuona kwa dirishani tunavofika, akafungua mlango wa nje.

Meneja; Karibuni karobuni, mwamba hujaonekana tena? Hujaipenda hoteli yetu?
Swahiba: Nimeipenda sana sema mashughuli mengi na Simba hataki kuniita nije kumchukua.
Meneja: Jamani, mijimama ilikua inacheza nyimbo za mduara, maana kuna mziki mnene kwa Meneja, sio kawaida. H2 na T walikua wamejifunga kanga kinoni walipotiuona, wakazifungua.
H1; Simba, na usingetrudi leo, kesho usingeaondoka Unguja hii, umeleta ji handsome lingine?
Sh; Usijidai biutre mwache mtoto wa Sheikh... huyu fundi wangu huyu wa laptop yangu.
Meneja; Bwana wewe fundi wa computers?
Swahiba: ndio kazangu, si unamsikia bi Sh hapo, mimi electrical na electronidcs zpte kasoro mambo hya simu tu siyapendi, maana simu raha yake uwe na duka la simu, sio kutengeza tu.
Meneja: Unajua kuzitengeza?
Swahiba; Naijua lakini sijabobea huko kwa hio sina uazoefu nazo lakini ni simple, basics ni zile zile, hazina ugumu wowote kutengeza kwa kwake.
Meneja: Tukimaliza hapa tutaongea kazi.

Nikaona swahiba kamkodlea macho kila dakika anamytazama T. Meneja yiko sharp sana.
Meneja: Huyu boi Sh mnajiana, huyu hapa boi H na huyu Bi H, hawa wametokea Dar. Na huyu hapa Malkia T. huyu wa hapa haa Unguja mjini.
Swahiba; Mimi nafahamu sana mpka kwao, labda yeye hanifahamu.
T; Sura zako sio ngeni kabisa. Kwama wa Unguja nitakukumbuka tu si unajua saa hizi kukumbiuka shida huku anaonesha chupa za vinywaji.
Swahiba: Ukipenda nitakukumbusha.
Meneja; Twendeni nje, hapa mziki huu una kelele umenizbua masikio, halafu Simba anapenda kahawa yake bila kelele. Tukatoka nje, mimi meneja na mwamba, Meneja akarudoi ndani kidogo, kumbe kulikua kuna mhudumu wamemleta mdio anahudumia. Meneja akaja kukaa na sisi.

Mhudumu: Niwaletee nini wageni?
Meneja: mgeni mimi gtu hapoa, hawa wote wenyeji.
Mimi; Niletee juisi ypohyote ile fresh, hyakiwepo machiungwa nitafurahi sana.
Swahiba; Na mimi kama Simba hapo.
Meneja: Waletee na kahawa, hawa watu kahawa.

Ile tunaletewa vinywaji na mhudumu na miijimama ikatoka yote, wote wamebeba vnywaji vyuao wakkaa juu ya meza.

H1: Simba tueleze kuhusu mwenzio, usiwasikilize hawa Waunguja kama wao wanamjua sisi hatumjui.
Sh; Mkomenii kijana wa watu, hii mali yetu Unguja, hamumuoni alivyo spicey?
H1: hebu koma wewe, wacha dada zako tukiongea wewe sikiliza tunataka kusema nini. Sikiliza kijana, mimi ulivyotaja wewe fundi computers ndio nimekua interested, mimi nazileta sana laptop used kutoka Marekani na Uingereza, ndio biashara yangu kubwa Dar. Kuna soko hapa Unguja?
Sewahiba: Soko la hapa gumu sana la la[ptops, hutowez bei za hapa, watu wa bara wankuja kuchukua hapa tena kwa bei ya rehareha ya hapa wanakuja kuziuza Dar. Kuna kijana mmoja yupo Mgomeni, nampelekea sana laptos, yeye ana mtu wake hapa anamuuzi, mimi zinaletwa kwangu niweke software zile za awali na nihakikishe zinafanya kazi vizuri ndio namtumia, bei gani ananunua kwa huyo mtu sijui, mimi nazifanyia mamboi technical tu.
H1: Ndio wapo wengi wanaleta laptops kutoka huku, lakini hilo lisikutie wasiwasi, kma kunasoko huku, naweza kuzishusha mpoja kwa moja huku bila kuzilegta Dar. Kule napeleka mzigoi wao na hapa nashusha mzigo wa hapa. Umeongea la maana sana, fundi ni muhimu kua nae maanake karibu zote zinakuja hazina siftware kabisa, lazima ziwekewe na zifanyiwe marekebisho madogo madogo, mimi ndio hapo ninapoumizwa faida.
Swahiba; Kwanini?
H 1; Nawauzia watu wa jumla tu kwa sababu sina mtu reliable wakuzitia software na kuzifanyia marekebisho, watu wa jumla wanachukua hivyo wanazifanyia wenyewe halafu wanaziua.
Swahiba: Wewe ndio uko pale Kariakoo lile jengo chini wanauza matairi?
H1 ; Haswaa ndio mimi.
Swahiba: Vijana wa chuo nilichosoma dar ndio wanunuzi wako wakubwa wa jumla, hata mimi nishanunu amara mbilki kwako.
H1; Wewe umesoma DIT? Swahiba akajibu ndio.
H1; Bila nyinyi naifunga biashara. Na ukare wenu nimewawekea totpo linalowauzia lina tako hilo hata T kasingiziwa, hampindui wala hampatani.

Wote tukacheka. Njoo dar ufungue biashara ya rejareja ya laptops tufungue na duka la simu tuwe partners, inalipa sana.
Swahiba: Mie jiji lile haswa siliwezi, nimepata ofa nyingi.
Sh; Bora ubaki Mwamba, sasa wote mkihamia Dar, sisi nani atatungeneza kompyuta zetu zikiharibika?
H 1: Si mtazileta Dar?
Sh; Wewe ongea na T pale anatafuta biashra za kufanya, fungua nae duka la simu. pesa zimelala hapo hazina kazi za kufanya.
Meneja; na mimi nitawekeza.
Sh. Unaona mambo hayo? halafu wanataka kutuchukulia talents zetu zote wazihamishie bara.
Mimi: Tena mwamba ndio mke huyo, mashaallah, mabo yote yanjipa hapa hapa.
Sh: hawa Masheikh hawatutaki sisi, naogopa kusema yasiwe mengine hapa.
H 2: Mradi T ,wenyewe na Mwamba hapa wakikubaliana sisi tutasherehekea tu. Simba si tutakuja harusini?
Mimi; Tena mimi ndio bestman wake.
Sh; Unaona Meneja toto linakutoka hivi hivi unaliona.
H 1: Meneja kasema ana mchumbake na kila kitu tayari, mwache ajae huyo mzungu awe groupo letu. hatuna mzungu hivyo?
H2; Kweli hatuna labda aje kama mgeni tu, walishawahi kuja wageni wananihii hukumbiuki, wale wazungu wawili walikua wizara gani sijiu akawaleta kuwaonas(ehsa shughuli yetu kama utamaduni wa Kizanzibari.
SH; Wale wangekua wanakaa hapa wangekua members walipenda sana, maana lilikua ttamasha lile sio sherehe, watu kugtoa Dunia nzima ilikua July mwisho mwisho ile.
T; Si namimi ndio niikua siku ya kwanzaa yangu?
H1; Hswaaaa nimekumbuka sasa.

Meneja; Tuoingee ya maana sasa kabla sijasahau. Mwamba wewe ukipata nafasi njoo tuongee unafanya elecyrical works na electtronics zote? Swahiba akajibu, ndio.
Meneja; Njoo tuongee tuna kazi nyingi, sasa hivi tuna mkataba na kampuni ya Kenya ndio inafanya maintanace zote za umeme wa AC na DC, ia kitu. Wnapiga pesa nyingi sana. Bira hizo pesa zibaki kwetu hapa.
H1; Hii ndio faida ya vijana wetu kusoma. Usiiachie chance hio, Nyota ya jaa shida kuonekana, leo umeiona mapemaaaa. Umesoma dua gani ulipotoka kwenu, nifundishe na mimi peke yangu, hawa wengine shauri lao.
H2; kwanini na sisi tusiijue?
H2; Si unaona hapa, kila mmoja anagtaka kua partners na wewe na T pale kakaa kimya kama inaletwa posa tayari, ujuba wote umemuondoka, anatamani useme utamuoa. Meneja kisha mtolea nje live, bika chenga.
Meneja; Jamani sijakataa, nani atakikataa kiumbe kizuri namna hii, sema nimeshajicommigt na nimecommit mtoto watu anasoma Uislam sasa hivi. Kishaan kuujua kuliko mimi.
H1 anausome wapi huo Uislam?
Meneja; Hukohuko kwao Ulaya.
H1: Wazungu wanatushinda wite kwa Uislam siku hizi.
Sh; Unguja watalii kibao wa kizungu huwajui kumbe ni Waislam, utajuwa time za kusali, wanaingia misikitini. Na ukimuona mwanamke wa kizungu katitanda Kiunguja hata awe mtalii ujue huyo Muislam.

Meneja; Jamani kie nimefurahi mlivokuja Simba, naomba kaeni na wageni, mie napiuga raundi za kazi kidogo kama lisaa limoja nitakua nimeshatudi. Mnisamahe sana wageni.
Mimi; Poa, lakini wageni tumalizane nao habari ya ndoa ya T na mwamba hapa.


Meneja akaenda zake tukabaki na mijimama ya kibuki.

...
 
Chief kuna namna ya kuandika kwa kiswhili fasaha. Unachitumia hakina ufasaha wowote. Ni tafsiri ya akili mnemba hiyo. Kiswahili hakiko hivyo ndugu. Kingekuwa hivyo kingechosha, wala kisingepata wateja
Unajua 'Akili Mnemba' inavyofanya kazi?

Ndiyo, ninawakilisha mawaidha kwa sifa na hadhi ya algorathimu za 'Akili Bandia'...

Kiswahili Fasaha--OKAY, muktadha akilifu wa fasaha kwangu ni kile kwa kiingereza hutajwa ni sifa na hadhi ya 'Clarity':

noun: clarity

1. the quality of being coherent and intelligible.
"for the sake of clarity, each of these strategies is dealt with separately"

Yanayolingana:
lucidity

lucidness
clearness
perspicuity
intelligibility
comprehensibility
coherence
simplicity
plainness
explicitness
lack of ambiguity
precision

Kinyume:
obscurity
vagueness

the quality of being certain or definite.
"it was clarity of purpose that he needed"

2. "the crystal clarity of water"

Yanayolingana:
limpidity
limpidness
clearness
transparency
translucence
pellucidity
glassiness
purity
transpicuousness

Kinyume:
opacity
murkiness

the quality of being easy to see or hear; sharpness of image or sound.
"the clarity of the picture"

na tena 'Concise'...

Nashauri, Usichukulie lugha 'Kimazoea' ama ile tabia ya 'Usahihi wa Kisiasa'... Ndiyo asili ya jamii na wasomi na kuogelea kwenye vidimbwi vya 'self inflicted mediocrity'...

Hmmm
 
Unajua 'Akili Mnemba' inavyofanya kazi?

Ndiyo, ninawakilisha mawaidha kwa sifa na hadhi ya algorathimu za 'Akili Bandia'...

Kiswahili Fasaha--OKAY, muktadha akilifu wa fasaha kwangu ni kile kwa kiingereza hutajwa ni sifa na hadhi ya 'Clarity':

noun: clarity

1. the quality of being coherent and intelligible.
"for the sake of clarity, each of these strategies is dealt with separately"

Yanayolingana:
lucidity

lucidness
clearness
perspicuity
intelligibility
comprehensibility
coherence
simplicity
plainness
explicitness
lack of ambiguity
precision

Kinyume:
obscurity
vagueness

the quality of being certain or definite.
"it was clarity of purpose that he needed"

2. "the crystal clarity of water"

Yanayolingana:
limpidity
limpidness
clearness
transparency
translucence
pellucidity
glassiness
purity
transpicuousness

Kinyume:
opacity
murkiness

the quality of being easy to see or hear; sharpness of image or sound.
"the clarity of the picture"

na tena 'Concise'...

Nashauri, Usichukulie lugha 'Kimazoea' ama ile tabia ya 'Usahihi wa Kisiasa'... Ndiyo asili ya jamii na wasomi na kuogelea kwenye vidimbwi vya 'self inflicted mediocrity'...

Hmmm
Wewe utakuwa roboti
 
Binafsi na enjoy, najifunza Kiswahili ambacho sikielewi, lakini wengi wape, kuna wengi wamecomment kuhusu lugha, mimi nashauri fupisha post halafu chini yake weka link, kama alivosema FF, ya uzi wako tutazifata kusoma hukohuko. Una madini mwengi na haitakua vyema madini yako yakabadili mwelekeo wa uzi huu.
Simba.
USHAURI UMEFIKIRIWA

Sasa, ni vema kufahamu, panapojukwaa la watu ama wanajamii wenye seti tofauti tofauti za uwezo wa 'kushughulika/kujishughulisha', kuna mambo ambayo 'huendelea' kwa minajili ya 'Ujenzi wa Ujuzi wa Mambo'.

Kwa mintarafu ya hivi, siyo kila mtu 'yupo macho' na jambo hili huchukua vipi sura yake (!)

Wakati mwingine, 'Mwenye Macho' ndiye mwenye ujuzi wa kufaragua mambo, kwa jinsi ya kawaida ama ile isiyoyakawaida.

Hili ndilo linalolingania umuhimu wa tabia ya upole, unyenyekevu na uvumilivu/ustahimilivu pale inapotokea nasibu ya kutano/makutano ya 'Wanaojua ilivyobora' na 'Wale wanaochechemea kiujuzi na maarifa'...

Uzi huu ni 'Jaribio la Kijamii'--Jaribio kwa ajili ya 'Utayari' wa wanajamii kukutanika na watu wenye uwezo wa kawaida na kupitiliza kawaida iliyozoeleka.

Hili ndilo linalolingania umuhimu wa wanajamii kutambua 'tabia zao' ambazo ni mikingamo ya kiufahamu; kuwafanya wao wasinasibike kujijengea uwezo wa ku-JUA ilivyobora.

Watu wenye uwezo wa kawaida na kupilitiza kawaida hawafikirii kwa namna za 'porojo' ama/na 'kuhorojoka'; kwa kuwa hawa wana namna ya ufikirifu uliokatika sifa na hadhi ya mbegu za u-JUA-ji.

Hili ndilo linalolingania umuhimu wa wanajamii kubadili tabia na mazoea ya kutumia akili zao; wafanyebidii kwa ajili ya 'namna mpya ya kuyaona mambo na kuyabayanisha'.

Wanajamii wenye kuchechemea kiutambuzi na fahamu, ni waja wenye nasibu ya 'kuhitaji kufundwa kiakili'; hili ndilo maana ya neno 'Rizayati', neno lenye asili ya kiarabu na tena lenye asili ya 'kumfunza farasi mdogo nidhamu/adabu/mazoea'--istilahi ya masufii.

Rizayati ya Elimu 3.0 ndiyo 'haja ya Maudhui' ya uzi huu; hili linahitaji nidhamu/adabu/mazoea 'Mapya'...

Si 'busara' mtu asiye na rizayati 'kumpangia' mtu mwenye 'Rizayati'; hili ndilo namna moja ya kutafsiri kwa nini 'Mtu wa Daraja/Watu wa Daraja' wanaweza kusita 'kujumuika humu'...

Hmmm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom