Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hahahaha toa asa ata ushahidi kwamba walikuwepo binadamu wengine kabla ya Adam hahahaha hii janja janja hahahahaha
Nambie Adam unaemsema wewe ana miaka mingapi duniani ili nikupe ushahidi wa Kisayansi, kua walikuwepo watu kabla. Allah hajataja kwenye Qur'an.

Labda unambie Adam ni mtu wa kwanza kwa mafunzo ulioyatoa kwenye biblia kama alivyokiri Etugrul Bey kiaina, hapo nitakukubalia.
Simba.
 
Nambie Adam unaemsema wewe ana miaka mingapi duniani ili nikupe ushahidi wa Kisayansi, kua walikuwepo watu kabla. Allah hajataja kwenye Qur'an.

Labda unambie Adam ni mtu wa kwanza kwa mafunzo ulioyatoa kwenye biblia kama alivyokiri Etugrul Bey kiaina, hapo nitakukubalia.
Simba.
Quran imefundisha Na tafsir nenda kasome tafsir ya ibn kathir kaleta mpaka Hadith ya mtume na maswahaba kama ibn abas wamelielezea Hilo
 
Nambie Adam unaemsema wewe ana miaka mingapi duniani ili nikupe ushahidi wa Kisayansi, kua walikuwepo watu kabla. Allah hajataja kwenye Qur'an.

Labda unambie Adam ni mtu wa kwanza kwa mafunzo ulioyatoa kwenye biblia kama alivyokiri Etugrul Bey kiaina, hapo nitakukubalia.
Simba.
Miaka ww ndoulete Adam na huo ushahidi wakisayansi ulete usilete janja janja ww toa hyo elimu unayosema ni sadaka acha janja janja usiwapotoshe watu
 
Kama hadithi Bora zilizomo kwenye Quran kana kwamba unazipuuza hadithi,, ntakuuliza swali je Quran imekufundisha kwamba adhuhuri utaswali rakaa nne? Umejifunzia wap Hilo kwamba adhuhuri utaswali rakaa 4?
Qur'an haijafunza hilo la saa nne, imetufunza vingine. Sasa wewe hujui kama saa nne yuako Tanzania kwa wengine ni saa nyingine? Unafikiri Allah anaweza kuleyta mkangayiko (confusion)? Haiendi hivyo. Vimetajwa vipindi kwenye Qur'an sio saa.

Adam kua ni mtu wa kwanzq umemsoma wapi kwenye Qur'an?
Hawa umemtoa wapi?

Hilo la salat, liache kwanza. tumalize hili la Adam na Hawa.
Simba.
 
Nambie Adam unaemsema wewe ana miaka mingapi duniani ili nikupe ushahidi wa Kisayansi, kua walikuwepo watu kabla. Allah hajataja kwenye Qur'an.

Labda unambie Adam ni mtu wa kwanza kwa mafunzo ulioyatoa kwenye biblia kama alivyokiri Etugrul Bey kiaina, hapo nitakukubalia.
Simba.
Nahapo ingependeza ungetumia maandiko mana sayansi kubwa imo ndani ya vitabu vyadini kama Quran ko itapendeza ukileta ushahidi kupitia kitabu hcho
 
Qur'an haijafunza hilo la saa nne, imetufunza vingine.

Adam kua ni mtu wa kwanzq umemsoma wapi kwenye Qur'an?
Hawa umemtoa wapi?

Hilo la salat, liache kwanza. tumalize hili la Adam na Hawa.
Simba.
Hahahahaha naomba nicheke kwanza hahahahaha ww ndoulete ushahidi kwamba Adam sio binadamu wakwanza Lete huo ushahidi na elimu siunajinadi unaelimu tupe hyo elimu Sasa
 
Nahapo ingependeza ungetumia maandiko mana sayansi kubwa imo ndani ya vitabu vyadini kama Quran ko itapendeza ukileta ushahidi kupitia kitabu hcho
Hapo ndipo unapokosea, Qur'an ni kitabu cha "sgns" (ayat) sio science (sayansi). Qur'an inakuhimiza ufanye utafiti na uwaulize wajuzi kwa ayat utazozisoma.
Simba.
 
Hahahahaha naomba nicheke kwanza hahahahaha ww ndoulete ushahidi kwamba Adam sio binadamu wakwanza Lete huo ushahidi na elimu siunajinadi unaelimu tupe hyo elimu Sasa
Nimekuuliza nikuletee hewa na Qur'an haijasema kua Adam ni mtu wa kwanza?

Hicho kicheko cha ufedhuli wa kishetani ni kwa sababu yanakuingia lakini hutaki kuukubali ukweli wa Qur'an, umepotezwa na mashetani.
Simba.
 
Miaka ww ndoulete Adam na huo ushahidi wakisayansi ulete usilete janja janja ww toa hyo elimu unayosema ni sadaka acha janja janja usiwapotoshe watu
Nilete wakatu wewe ndie unaesema adam ni mtu wa kwanzza? Mimi naiwambwi kwenye Qur'an hakuna hili la adam kua ni wa mtu wa kwanza kuumbwa.

Wewe kama unayo aya ndio uyakinishe usemi wako, mimi sina aya ya Qur'an inayosema adam ni mtu wa kwanza. Labda siijui, nipe elimu.
Simba.
 
Hao

Mashekh na wao wamefundishwa na Nan? Au Quran imefundisha namna ya kuswali? Na hao mashekh wamefundishwa na Nan?
Allah ndie mwenye kufundsisha, isome surat Rahman mwanzo tu utaliona hilo.
Simba.
 
Qur'an haijafunza hilo la saa nne, imetufunza vingine.

Adam kua ni mtu wa kwanzq umemsoma wapi kwenye Qur'an?
Hawa umemtoa wapi?

Hilo la salat, liache kwanza. tumalize hili la Adam na Hawa.
Simba.
Kuhusu Adam liko wazi surat baqara Aya 30 na ulijenga hoja huko mwanzo huko nyumba kuwa wanaadamu watakuwa waovu watatenda maovu ukauliza kuwa je malaika wanajua ghaibu?

Majibu yako yapo hivi malaika waliuliza swala hili sikwaajili ya kupinga amri ya Allah au kwakumuonea wivu mwanaadamu au kwamba walikuwa wakijua ghayb la hasha waliuliza hvo kwaajili yakutaka kujua hikma ya kuumbwa viumbe Hawa na hii ni kwasababu walielewa kutokana na viumbe vilivyotangulia vilivyoishi ardhini kwamba vina sifa ya ufisadi na umwagaji wa damu

Amesema ibn kathir huyu ni mwanawachuoni na maulamaa wakubwa na mfasiri mkubwa wa Quran kwamba kabla ya kuumbwa kwa wanaadamu majini na viumbe wengine wasiokuwa wanaadamu walikuwa wakiishi ardhini na kwamba walikuwa wakifanya ufisadi mkubwa pamoja na umwagaji damu

Ibn Abbas radhiallahu anhu (swahaba wa mtume ambaye wamefasiriwa Quran na mtume) amesema majini waliishi ardhini kabla ya wanaadamu na walikuwa wakifanya ufisadi mkubwa na Allah akawaondoa na kuwaleta binadamu na sisi binadamu ndio makhalifa katika Ardhi zaidi ya majini

Ulikuwa unaleta hoja ooohhh tafsiri imesema khalifa naam sisi binaadam ni makhalifa kwenye Ardhi tukiongozwa na baba yetu Adamu

Haya nimekujibu hoja yako yakwamba Adamu ndio binadamu wakwanza na ww leta ushahidi kwamba Adamu sio binadamu wakwanza

Narudi kuhusu Haswaaaa
 
Allah ndie mwenye kufundsisha, isome surat Rahman mwanzo tu utaliona hilo.
Simba.
Hahahahaha nadhani hapa watu wenye akili ndowataona kwamba ww hujui Allah katuletea mtume atufundishe na unataka kujidai unazikataa hadithi za mtume na nakusikiaga unasema unaenda kuswali utaswalije bila hadithi za mtume hadithi ndio imetafsiri Quran acha janja janja
 
Allah ndie mwenye kufundsisha, isome surat Rahman mwanzo tu utaliona hilo.
Simba.
Allah amekufundisha kuswali,,,,, kwamba adhuhuri kuswali rakaa 4 na magharib uswali rakaa 3 ,,,,Quran imefundisha kwamba swala zingine imamu aswalishe kimya kimya na nyingine asome kwasauti embu tuambie umejifunzia wap hayo na ukienda kuswali unayafata mtume kaitafsiri Quran yote uache hyo janja janja yako ya kupuuza vitu na kupotosha watu humu
 
Hadithi kuonyesha Adam ndobinadamu wakwanza kuumbwa na ndio baba wa binadamu wote na ww leta ushahidi wako kuwa Adam sio binadamu wakwanza kuumbwa
 

Attachments

  • Screenshot_20240831-014940.jpg
    Screenshot_20240831-014940.jpg
    488 KB · Views: 47
Narudi kuhusu Hawaaaaaa


Naleta ushahidi wa mwisho haf nalala na ww ulete Shahid zako usipoleta ushahidi nitaleta hypothesisi yangu juu ya ajenda yako.
 
Kuhusu Hawa Allah ameelezea katika surat baqarah Aya ya 35

{ وَقُلۡنَا يَٰٓـَٔادَمُ ٱسۡكُنۡ أَنتَ وَزَوۡجُكَ ٱلۡجَنَّةَ وَكُلَا مِنۡهَا رَغَدًا حَيۡثُ شِئۡتُمَا وَلَا تَقۡرَبَا هَٰذِهِ ٱلشَّجَرَةَ فَتَكُونَا مِنَ ٱلظَّٰلِمِينَ }
[Surah Al-Baqarah: 35]

Ali Muhsin Al-Barwani:
Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu.

{ فَأَزَلَّهُمَا ٱلشَّيۡطَٰنُ عَنۡهَا فَأَخۡرَجَهُمَا مِمَّا كَانَا فِيهِۖ وَقُلۡنَا ٱهۡبِطُواْ بَعۡضُكُمۡ لِبَعۡضٍ عَدُوّٞۖ وَلَكُمۡ فِي ٱلۡأَرۡضِ مُسۡتَقَرّٞ وَمَتَٰعٌ إِلَىٰ حِينٖ }
[Surah Al-Baqarah: 36]

Ali Muhsin Al-Barwani:
Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda.

Hivo hizi Aya mbili zinaonesha ushahidi wa kuwepo Hawa kwenye Quran hajatajwa dhahiri kwajina lake lakin mfasiri wa Quran mtume Muhammad amemtaja dhahiri kwamajina yake na pia ameenda mbali na kuelezea wasifu wa Adamu jinsi alivokuwa na kadhalika

Lakini pia unapendaga kuja na hoja zakitoto utataka kuuliza swali kwamba wapi katajwa dhahiri kwajina majibu yake ni hivi kwamba kwenye Quran Kuna baadhi ya watu Tena wengi wameongelewa ndani ya Quran lakin haikuwamention majina Yao mojakwamoja hvo usije kuja na hoja ya kitoto kama hyo kutokana

Zamu yako it's your turn tuonyeshe ushahidi kwamba kulikuwa na wanaadamu wengine waliokuwa wameumbwa kabla ya Adam na ulete hoja zenye mashiko sio janja janja

Usiku mwema.
 
Inatokea post namba 2179.

Vionjo vya Arsis 4 Kumwokoa Msukule Unguja 6.

Kwa mara ya kwanza nikawepo kwenye kesi ya Majini na Watu.

Akaanza kuongea Kamanda wa kijini, aksema:

Sisi kwa heshima na taadhima kiubwa tunamwachia Simba aendeshe hii mhakama kwa sabau oinahusisha majini na wanadamu na kwa utukufu wa cheo yeye ana cheo kuliko sisi wote hapa. Na ushahidi wa hili ni pete alioivaa. Tunaomba nyoosha mkono juu uuoneshe ushadi wa nilichokisema.

Sauti ya rsis; Nyoosha juu mkono wa pete simba usiogope, tupo salama.

Nikamwabia kwa kichwani, poa, nikanyoosha mkono juu kwa kuelekeza jiwe linapoonekana kwa kuelekea kwao. Ukatoka mwangaza kwenue ile pete kama imepigwa na miale ya jua, ikamulika rangi nyekundu kwa sekunde kadhaa.
Kijan: inatisha simba, shusha tu kono anzisha kikao, mimi siwezi kukuingilia kwa hadhi ulionayo hapa.
Kushusha mkono nikaona majini wote kama wameinamisha vichwa wansikiliz nitasema nini;

Mimi: sikilizeni nawaambia. Makosa yaliotendeka ni makubwa kwa kiwango chpochote kile, namwachia Kija hapa aendeshe hiki kikao kwa niaba yangu, mimi nitakuepo hapa kuhakikisha hadhulumiwi haki yake mtu wala jini.

Nikawa najishangaa nilivyochomoa zigo kubwa lile, kabla sijawaza kitachoendele, Kamanda akaanza...

Kamanda; Kama aliyoamrisha mkuu tunakuomba Kijana usimamie hii kadhia kwa niaba ya Simba.
Kijana; Kadhia imenza! Nimekubali kuendesha hii kashia na nitamuomba mkuu hapa aridhie tuendeshe hii kadhia mimi na Kamanda, kwani kuna binadam namajini wameshirikiana kufanya maovu. Naomba Mkuu Simba uridhie ombi langu.

Mimi: Nimerishia. Kamanda mtaendesha kushirikiana na kijana hapa.

Kamanda Nimerishia mkuu.
Kijana; Kamanda anza wewe kadhjia upade wa majini.


Kamanda: Hii kadhia ni nzito na hukumu yake ni kifo. Haya wale majini wote wasiohusika na hii kesi waondoke. Naomba iwe hivyo kwa binadam vile vile. Kasoro wanaoendesha kikao tu.

Kuna kundi la majini likachomoka pamoja na Jini 2. wakaondoka wakapotea kichakani huko, poakabaki majini wachavhe tu wale wa kichawi na binadam ni wale wachawi tu.

Kamanda: Kosa lenu mnalielwa enyi majini wote miopo hapa? Asielielewa aseme hataraka.

Wakajibu tunaloielewa.

Kamanda: Mnaelewa makosa yenu hukumu yake ni nini? Wakiajibu kw apamoja kifo au atakvyoamua mkuu wa kuendesha kashia hii.
Kamanda; Kwa kua wote mmekiri kposa na wote mnaielewa hukumu. Mimi naamuru kuwaua mara mja itakua hamjalipa adhabu ya kutosha itakua ni kama msamha kwenu hapa duniani. Naamuru mkafungwe na hapo kifungoini kila kosa moja mtafungwa miaka 10 ya kibinadamu na kila anaemaliza kifungo chake atauliwa au itakavyoamuliqa baadae na wafalme. haya wanajeshi mnajuwa cha kufanya njooni muwachukue hawa wakaanzekutumikia adhabu zalo kiuanzia dkika hii.

Mimi nikajionea ajabu, hakuna kuchelewa hakunakuramba remba. Tiuukabaki binadam na wachawi na kamanda tu.

Kamanda, : sasa zamu ya watu kuhukumiwa, haya Kijana, nakuachowa wewe, upande mmpoja tumemaliza.

Kijana; Hili kosa kibinadam vile vile hukumu yake ni kifo. Wale wanaoolewa kosa lao waseme, wote kimya. Nitauliza mara ya pili wale wasioelewa kosa lao waseme. Kuna yule mwanamke alikua kimbele mbele, kujle wakati tunamfungua yule binti, aksema mimi sifahamu kosa langu.
Kijana akasema huyu mchukueni anataka kuichelewesha kshia, akafungwe na majini na aadhibiwe mpaka akiri kosa lake.

Majini ya kijeshi yakaja kama binadam, yakambeba yakaondokja nae.

Kijana; Nyinyi mliokaa kimya nawualiza mara ya mwisho kama hjaajibu tunapitisha asdhabu.
Dereva; Mimi siijui hii kadhia kwanini nimeletwa hapa?.
Kijana; Mchukueni huyu kama yule mwanamke.
Kijana haya; Mliobaki nyinyi wachawi wakubwa hamtaki kiusema?

Wote kimya kabisa.

Kijana; Na hawa wachukueni iwe kama wale wale wa mwanzo.

Wakachukuliwa wachawi wote, hakuna aliesema lolote wala kuguna. Nadhani wote wameelewa kuja mwisho wao wa kua duniani umefika.

Kijan: haya tumemaliza kashia.
Kamanda; Tufanyie dua mkuu, kazi imefanikiwa, sisi turuhusu tuondoke turudi makwetu.
Kijana: Mimi niruhusu pia niondoke lakini naahidi tutawasiliana. Isipokua mimi nitaondoka na nyinyi mpaka alipowachwa binti, kunamaagizo nataka niwape pale nihakaikishe usalama upo lakini nikimaliza nasafiri.

Mimi: Sawa, kadhia imefungwa tuondoke.

Tukaagana na kamanda, akaondoka na majeshi yale yote akjaingia kichakani akapotea. Tukaondoka na gari ile ile iliyotuleta akaendesha yule kijana. Njiani akasema:

Kijana; Hii gari hatuoni mtu, hii gari ya kijini, wewe Mkuu haujaistukia?
Simba: Niliona kitu nikataka kuuliza, lakini n9asikia Arsis ananambia usiulize kitu. Nikaacha kuulizanione mwisho wake.
Kijana; Uliona nini?

Pale juu bububu kuna kile kizuizi cha polisi hatukusimama kabisa na hakuna polisoi alietusimamisha wala kutuuliza na gari ya mbele yetu sijui yuliipita vipi maana sikuona kuikwepa wala kuipita na yenyewe ilikua imesimama. Tumeipita kama haipo.

Kijana; Ulikua mbali na mawazo, toka tulipotoka ndio ilikua hivyo hivyo

Itaendelea
Simba.
 
Inatokea post namba 7.


Haukupita muda mrefu, tumekaa karibu na mlango wa pango kwa ndani. Mlango wa pango ulikua ni mkubwa sana, na chini ulikua ni mchanga mweupe wa pwani, Kulikua na kivuli kizuri na upepo mzuri sana.

Mwanafunzi wa babu alikua ananieleza lile pango, ni refu sana na huko ndani lina kama vyumba vyumba, vingine ukiingia unakutana na sehemu za kwenda chini zaidi.

Wakati tunaendedlea kuppiga story tukasikia, hodi, mara akaingia yule kijana mwengine waliokuja kunipokea na baiskeli. Kabeba kapu akasema haya, jamani chai ya asubuhi, na mimi mgeni wenu, bibi huko kanitoa mbio, anasema nimwahishie chai mumewe, katoka nyumbani bila kula.

Tukala pale tukamaliza, ilikua samaki wa kuchemsha na vipande vya mihogo. Chai ya rangi imekolea viungo na chupa mbili tatu za maji ya kunyea. Tulipomaliza, jamaa akakusanya vyombo, kulikua na samaki na mihogo imebaki, akasema hii mtakula mkisikia nja. Akaondoka. Nikamuita, nimueagize vitu vyangu juu, akasema, huku ndio hairuhusiwi kuja na chochote ambachoi hujaja nacho kwanza, labda akuletee babu mwenyewe. Akaondoka.

Sisi tuka kaa kaa pale kama kiusingizi kizito killinipipitia, ile nastuka, namuona babu kaja na yule kijana wana kapu lingine. Hiyo kama saa tisa mchana. Akasema haya, chakula chenu. Mmelala sana. Sisi tumekuja kama nusu saa hivi, tukasema tusiwaamshe. Wewe bwana mkubwa nafahamu ukilala, ni zile dawa ulizopakwa, zina nguvu sana. Lakini huyu mwingine, inaonesha kala mihogo mingi. Mihogo inaleta usingizi sana, hasa hii ya mbegu ya bibi yako, mwenyewe aniita dawa ya usingizi. Na kweli, imewasaidia watu wengi weye matatizo ya usingizi.

Babu akasema haya, njoo kuna dawa zingine hapa, sisi tunataka kuondoka. Babu akanipa chupa ya mfuta yenye dawa, kama inachenga inachenga. Akanambia hii utajipaka mwili mzima kikisha ingia kiza kabla hujalala. Na mizizi mingine akanambia hii utatafuna tafuna kila unaposikia mdomo mchungu. Mizizi yenyewe ilikua kama ina sukari fulani hivi kwa mbali unapoitafuna tafuna. Ina harufu nzuri sana.

Babu akatuaga, akasema mshatafuta sehemu ya kulala, pango kubwa sana hili, unaweza kulitenbea mpaka joni hujafika mwisho, linaungana na lile la Amb0ni, mkiingia nia zingine mnaweza kufika Mombasa na njia nyingine mnaweza kufika handeni. Lakini nyie tenbeeni tu ndani msijali. Huyo mwenzako mwenyeji kiasi, sema muoga. Na wewe "bwana mkubwa" muoga? Nikamwambia babu mimi si unajia "komancho" akasema "wewe ndio mroithi wangu", najua wewe uoga huna kabisa, wala sina wasi wasi na wewe simba. Wakaondoka zao.

Tukaamka pale tukaanza kuzunguka ndani pangoni, tukaenda tunaingia vinjia vya vyumba vingine, tunatoka, tunaingia kwengine, mradi tupoteze muda tu, hatujauacha mbali mlango tunayona mwangaza, mwangaza ulipoanza kufifia tukarudi. Tukakuta kiza kimeshaanza kuingia. Hakuna jipya, tukala tukakaa tunapoiga story, jamaaa ananipa story za kijijini na watu wanavyopitisha magendo kutokea Kenya, na jindi wanavyopata pesa kuwavusha wati na mizigo. Wanaingiza poesa nyingi sana, kuliko wangakua mjini. Akanambia kesho nitakuonesha tunapicha mizigo tukija nayo. Kuna oango lingine, hilo lkina kamlango jadogo na kamejaa kichaka, huwezi kujua kama kunapango. ndani pakubw sana. Mie nikajipaja dawa yangu baada ya kula nikakusanya michanga kama mtoi , nikajitupa kulala. Mwenzangu nimemwacha macho anapiga story hata simsikii kwa usingizi, sijui alilala saa ngapi.

Itaendelea.
Simba.
Hebu uwe unarejea machapisho yako na kuyahariri kabla hujayarusha kwenye kadamnasi.
 
Naam Swali zuri, hakukuwa na mtu mmoja aliekiandika kitabu hicho, pia wengine walikihifadhi kwa moyo mioyo Yao.
Na pia ipo ahadi yake Mungu juu ya kukilinda kitabu chake baada ya kwisha kubadilishwa vitabu hapo nyuma, hivyo mambo aliyasimamia yeye mwenyewe Mtume. Na wote katika maswahaba wake ni watu waaminifu mno.
Swali la msingi. Ikiwa Allah alimjalia Mohammad karama hiyo ya kuuanzisha uislam, iweje hakumjalia na muujiza wa kujua kusoma na kuandika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom