Niliyoyaona Jijini Mwanza

Huwezi pinga hili.

Utalii na mwingiliano mkubwa na wageni toka nje imesaidia bakubwa wakazi wa A town kujifunza mambo mapya mazuri tofauti na wewe kijana hapo Nyamagana Mwanza.

Arusha ni safari capital hapa Tanzania.

Kwanamna yoyote ile wakazi wa Arusha wanapata advantage yakuwa mbele kwa mambo mengi "exposure" ukilinganisha na wakazi wa maeneo mengine Tanzania.

Ukishindwa kuona ukweli huu utakuwa na shida mahali.
 
Safi sana, umetanabaisha maisha halisi yalivyo mtaani hapo Mwanza.
 
Labda ulikuwa Goma, maana unayoyasema hayapo Hapa Mwanza!
 
Mkuu! Vipi kuhusu samaki? By the way karibu sana jiji la miamba, nipo tayari kukutafutia kiwanja ili siku moja uishi Mwanza.
 
Hujaenda kwa zumaridi?
 
Mkuu kanda ya ziwa n balaaa yaaan kilugha popote....alafu wakiona ww hujui lugha yao wanakuita kwa jna la kabila lao
Hii kweli kanda ya ziwa nao wabadirike aiseee hasa Wasukuma, hii sehem niliyopanga kuna wasukuma kama 2 hivi, ikifika Jmosi basi nikupiga nyimbo zao yaani kelele masauti ya juu tafu mbaya zaidi sijui nyimbo zao wanarekodia studio gani hazina melody nzuri hazina nini sauti zimekaa kaa vibaya
 
Wewe unazungumzia Mwanza, sasa Arusha inahusikaje?
Hio ni battle mpya

MWANZA vs ARUSHA

Wapi ni zaidi ya kwingine?

Mleta mada anasema Mwanza ni zaidi ya Arusha na wewe unasemaje?
 
Tayari battle ushaanza uzi umebadirika rangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…