Niliwahi kumwambia Hayati Dkt. Magufuli, nakwambia na wewe Rais Samia; Watanzania ni masikini sana!

Hakuna umasikini mbaya Sana Katika dunia ya Leo Kama umasikini wa fikra
Mtu anayeukumbatia umasikini kama mtaji wake, ataendelea kuwa hivyo hadi kifo.
Mtu kama huyo hajiamini na akiona wengine wanachanja mbuga kimaendeleo atafanya juu chini kuwawekea kauzibe ili wawe masikini kimwili na kifikra kama alivyo yeye.
 
Mkuu nikisema upande mwingine hizi tozo tunazizingizia sana but ukweli kama tunataka kulikomboa taifa inabidi tuchek how we can save big money for our people na sio hizo petty monies
Katika hio transaction hapo tozo hazifiki buku but kama serikali ikiwekeza heavily kwenye kilimo na ufuguaji hao waTz wengi zaidi wataweza tengeneza pesa kubwa zaidi ya hio

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Mh. Samia apaswa kujua eti, mwanangu na hilo nendeni mkalitizame, sio kauli ya kiuongozi.
Kuna kiongozi mmoja alipiga picha na bibi mmoja ameweka umeme wa Tanesco kwenye nyumba ya udongo. Hawa viongozi hawana muda wa kumkwamua mtu wa chini ili awe na maish mazuri bali kumdidimiza ili awe masikini. Kuna Clip mmoja ya yule mzungu. Nilimuelewa sana. Yule bibi kazi aliyobakiza sasa hivi ni kusafiri tu mara yupo Kenya, yupo Uingereza kwa kodi na tozo za watanzania.
Sasa hivi bei ya bidhaa na huduma zipo bei juu mara 2 ya zamani. Ukitaka kuona hii serikali ya kinyonyaji kaangalie vifurushi vya TTCL halafu wanajiita wazalendo. Leo matumizi ya internet yapo juu kwa hela gani walizonazo watanzania?
 
Mkuu nikisema upande mwingine hizi tozo tunazizingizia sana but ukweli kama tunataka kulikomboa taifa inabidi tuchek how we can save big money for our people na sio hizo petty monies
Katika hio transaction hapo tozo hazifiki buku but kama serikali ikiwekeza heavily kwenye kilimo na ufuguaji hao waTz wengi zaidi wataweza tengeneza pesa kubwa zaidi ya hio

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Kama siyo tozo kwanini bei ya bidhaa na huduma zimepanda mara 2?
 
........................but kama serikali ikiwekeza heavily kwenye kilimo na ufuguaji hao waTz wengi zaidi wataweza tengeneza pesa kubwa zaidi ya hio

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Hii ndio point/hoja ya MSINGI sana ndg yangu Beberu .
-Kilimo, Kilimo, Kilimo.
-Uchakataji, Uchakataji, Uchakataji
-Nishati na Miundombinu.

Tungekuwa mbali sana
 
Wewe maskini uliyejificha nyuma ya fake ID, kuwaza wewe ni tajiri ni upumbavu. Pambana utoke kwenye umaskini Ila sio ujifanye tajiri na kufake hutafika kokote.
Huyu jamaa hata hajadili mada, anatukana wengine tu kwamba maskini. Sijui ana shida gani?!
 
Japo Dunia inapitia changamoto sana ambazo zinaathiri karibu kila Taifa, lakini ni wkt tuchukue maamuzi ya kiuongozi, kufunga mikanda wote .
Sio kuwafunga mikanda wananchi na mitozo, huku wao viongozi wakiendelea kununuliana magari ya kifahari kwa hela za maskini.
Nakumbushia zawadi ya benzi ya shilingi milioni 450 aliyopewa Rais Mstaafu Mwinyi hivi ile hela ilikuwa ya umma au ilikuwa ni kutoka mfukoni mwa mtu binafsi? nyumba za Marais wastaafu , magari ya bei mbaya ,misafara ya hatari kwenye ziara , posho za hatari, vyeo lukuki visivyo na tija ,mfano Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu ,Baraza kuubwa la Mawaziri etc, etc
 
Serikali imepunguza matumizi yasiyo ya lazima ili kufidia tozo tuache kulalamika tozo zimesaidia kuimarisha sekta muhimu ya afya na elimu
Duh! Tuna watu wenye raha, hapa Tz. Unaishi wapi ndg? Ingependeza ungetembea vjjn uone waTz wanavoishi. Hiyo sekta ya afya ni majengo tu, hakna dawa ambzo hata bima ya afya inapata shda nazo ktokana na ghrama.
Tena ujue unayoyasema yanaumiza wtu, ni kukejeli wanaoitwa wanyonge. Mnatemblea magari ya bei mbaya, watt wenu wanasoma ppte mnapotaka, na familia zenu znatibiwa ktk hosp mnazochagua wenyewe, posho mnazojipangia ni kubwa kliko kima ch chni ch mshahara, na kla mnachotaka kinalipiwa na kodi na hizo tozo za waTz...nk. hlafu unatetea waziwazi hayo...dah! Na mkiambiwa Tz ni mojawapo wa "10 saddest countries in the world", hamuelewi kwa nini, kw kuwa mnawaona watu wanacheka na kutabasamu. Jua ya kwamba hata mfiwa huwa anatabasamu na huwa anacheka pia ...au? Na mkiona waTz wako kimya mnaita ni kupenda amani! Ndo sbb suala la katiba mpya lnakuwa gumu sana kukubalika kwenu ...dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom