Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Watu wanabaka hadi vichaa ndio ije kuwa hao wadada wanaojiuza
Vichaa kitu gani? Wapo wanaoingilia wanyama. Hapo suala ni huyo niliyemnukuu, anasema hawezi kwenda kupata huduma.

Arusha kuna sehem wadada wa kimasai wanachangisha vijana wanaweza kufika wanne au watano ndio wanapewa huduma, yaani mnapanga foleni na wateja hawakosekani.

Haya mambo ni maamuzi na utashi wa mtu binafsi.
 
Sampa he!!
Keshasema hataki low value, he is into high quality stuffs. Hawezi changia sehem na watu wa hadhi duni.

Mshauri aende kwa wenye bei za juu huko watakua wachache na wanaomudu ni watu wa hadhi yake.

Zingatia anamiliki silaha na gari, siku hiyo aliamua tu apande daladala na licha ya kuwa na silaha, alishawapa taarifa masela waje ku rescue in case mtu mwenye silaha akitaka kuzidiwa na mateja...
Sampa he!!
 
Hii biashara ni kubwa mno na mbaya zaidi watu hawajanielewa. Siku hizi njia ni nyingi ikiwemo hiyo ya kuwa na biashara geresha na maisha fake mtandaoni ili wapewe dau kubwa.

Kuna wengi mjini wana wake wauzaji ila hawajui. Inasikitisha
Amini nakwambia, ukiona mwanamke yeyote, ana akaunti insta fb nk, familia picha zake ukiona kapiga picha kageuza matrako kwenye kamera, au anaonesha viungo hata kama kajistiri, bro kahaba huyo achana na mambo eti ni anajiheshimu mkuu hii biashara inafanyika Kwa akili kubwa sana, huwezi kuelewa kama hujajimix na hao viumbe, eti mke wa mtu eti muheshimiwa wewe stuka dunia inakuacha
 
Najua huwezi amini ila wanaweza wakipata kampani na siku hizi issue zimekuwa rahisi kwa sababu ya mtandao, madalali wanawachagua kirahisi insta na tiktok. Na kingine sio kila mara hao madon wanakuwa 5 star hotels kuna restaurants, lounge, events etc

Nimekaa kwenye industry flani ya kudeal na freelancers na influencers. So nawaelewa vizuri

Ila nisifichue mengi nikaja kukamatwa [emoji16][emoji16]
Mahii kuna kitu hujakijua wee, unaweza ukawa uko kwenye hiyo fields, ila amini nakuambiaa kupata danga la maana ni bahati na ngekewa,
Km huna, utaishia kuswampa huko sehemu classic na usipate kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani nilijudge hivyo kwa namna ambavyo una-interact na watu humu, marafiki zako wa humu etc ….
Nakuwaga najizima data tu, si unajua humu kuna muda hutakiwi kutumia akili sana😅🤣

Kuna mdogo wangu ni binti huwa ninaishi nae mara nyingi, sitaki ajiunge jf maana atasoma navyojizimaga data wakati mm ndio huwa nampa shule ya malezi
 
Kimboka,kote kule ungekabwa tu ukaibiwa.
Hicho kibastola unacho hujui kutumia, na hutakiwi kwenda nacho kwa maraya..
Wewe umeenda na bastola na upwiru wako.kutawanya wale ni sekunde tu.
Fanya kitu kimoja kwa wakati sahihi,
Huyo bibie mi nakwambia nishawai kuwa na malaya kibao.
Malaya anauza puchi yake, nyumbani anaweza kukulea wewe
 
Back
Top Bottom