The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,571
- 46,956
Vichaa kitu gani? Wapo wanaoingilia wanyama. Hapo suala ni huyo niliyemnukuu, anasema hawezi kwenda kupata huduma.Watu wanabaka hadi vichaa ndio ije kuwa hao wadada wanaojiuza
Arusha kuna sehem wadada wa kimasai wanachangisha vijana wanaweza kufika wanne au watano ndio wanapewa huduma, yaani mnapanga foleni na wateja hawakosekani.
Haya mambo ni maamuzi na utashi wa mtu binafsi.