Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Habari za weekend ndugu wadau wa JF wa thamani sana!

Mimi katika balehe yangu na kukua kwangu nimesikia mengi mno kuhusiana na hili suala la dadapoa wanaojiuza maeneo mbali mbali hapa jijini Dar es Salaam. Wakati huo wote nilikuwa mbishi mno kwa sababu sikujua upande wa pili wa hili jiji la Dar, na pia sikujua kuwa kuna mpaka maeneo spesho yenye rooms ndani zilizopambwa vizuri mno.

Jamaa zangu baadhi walikuwa na experience na hizi vitu, mimi nilikuwa school boy so sikuwa na makeke ya kuzurura zurura sana nikiwa home. kiukweli mpaka hili la kujua uwepo wa hawa akina dada ndo maana lilinipita kabisa na nikawa nawabishia jamaa zangu.

Sasa imepita miaka mingi nikaona nijaribu kutafiti mwenyewe undani wa hii ishu... weekend nikavaa zangu cap zile kofia za kufunika mpaka mbele ya paji la uso..

Hii ilikuwa na jumamosi iliyopita... nikapanga ruti kwa sababu nilikuwa na maelezo ya kutosha kutoka kwa baadhi ya jamaa za rafiki zangu waliotoka mkoa kuja kuwaona ndugu zao...

Nikabeba kama laki moja cash kwa ajili ya emergency coz lolote linaweza kutokea maeneo ya namna ile... kwa taarifa nilizokuwa nimepewa ni kuwa ni maeneo hatari mno. nikasafisha silaha yangu nikaiweka vema kiunoni na kuhakikisha imefit vema..

Kuhusu mavazi nilibadilisha kabisa muonekano wa mavazi... nikavaa kama mmoja tu wa watu wa kawaida mno kutoka huko kijijini wanakolima ndizi na mpunga. ilipofika saa 1 jioni nikaanza safari na nikaenda Kimboka...

Rafiki zangu nilishawapa taarifa kuwa likitokea la kutokea nitawapigia simu naharaka waje kunichukua coz sikwenda na gari nilichukua daladala.

Kufika pale tu nikaelekea pembezoni mwa barabara. nikana wadada wengi kiasi. wengine walionekan wamedhoofu mno na sura zimebabuka kwa matumzi makali ya madawa ya kujichubua.. na baadhi walionekana bado mabi ti wabichi na si ajabu walikuwa wanafunzi wa vyuo mojawapo hapa jijini...

Wakaanza zile za aaah shemeji... mara twende hawana tafsida kabisa wanaongea kama walevi... nikawa nawapa hii nikijifanya mpia njia tu..

Kuna jambo la ajabu nikalibaini chap... kuna mateja, na wavuta bangi na boda boda wengi karibu na pale kimboka penye ile bar

Kuna wanaume wa aina tofauti wanakwenda kupata huduma... kwa nilivyoona, wengi ni masikini kimuonekano na mavazi yao ni hafifu na duni... pia walevi nao hasa wa matap tap ni wateja wakubwa wa wale wadada... niligundua hili baada ya kunusa harufu ya pombe za kienyeji walipokuwa wakinisalimia..

Kwa hali ile... sikuwa hata na hamu ya kujaribu kuingia ndani kuona kipi ni kipi.. nikatoka pale nikaelekea pale buguruni nimepasahau.. kuna akina dada wengi wana vyumba ndani vinawaka taa nyekundu nyekundu hivi.. all that time kuna jamaa alikuwa ananipa directions kupitia mesage.

Basi kufika pale baadhi wakawa wananishika mikono and so on... kumbuka ni mara yangu ya kwanza hapo kufika maeneo hayo... napo nikakuta wateja wengi waliokuwa wakija pale ni wale waliochoka hivi kimuonekano... pia harufu za pale ni kali kali mithili ya uozo uozo hivi..(nilikuwa na muda wa kuchezea sana ile siku)

basi, ile hali ikanikata stimu mno hata sikutaka kuingia ndani kabisa.. nilichukia sana.. sababu kuu za kutotaka kuingia ndani ni hizi:

1. Wale akina dada wengi ni wachafu wachafu kwa kweli hivyo niliingiwa na kinyaa sana.

2. Aina ya wateja wanaokuja kwao, wengi ni choka mbaya kimuonekano, walevi, wazee waliofeli maisha , wavuta bangi, mateja, vitoto vidogo vya form nk

Nikawaza.. yaani no share uchi na aina hii ya watu? nimekuwa desperate kisi hiki? yaani niingize shimo ambalo low valued men like those i saw there wanaingiza? nope, sikuwa tayari ku share uchi na low valued men.. niliona kama ni kujitia mikosi na nuksi tu kwa kweli.. (sina nia ya kumdharau mtu yeyote.. ila ndiyo mipaka niliyojiwekea maishani mwangu toka napata akili,,, i don't prefer cheap things particularly cheap girls/pussies)

3. Nilikuwa na silaha hivyo nilihofia kuwatisha na hivyo kupigiwa kelele... hali ambayo ingeleta matatizo mengine pia ambayo yangeharibu misheni yangu.

Mpaka saa 5 usiku nilikuwa nimeshakamilisha research yangu isiyo rasmi.. na nikachukua daladala na kurudi nyumbani...

Aisee,, kweli watu wana mioyo migumu...
Kwa hio hii ndio conclusion ya research yako?
 
Kimboka,kote kule ungekabwa tu ukaibiwa.
Hicho kibastola unacho hujui kutumia, na hutakiwi kwenda nacho kwa maraya..
Wewe umeenda na bastola na upwiru wako.kutawanya wale ni sekunde tu.
Fanya kitu kimoja kwa wakati sahihi,
Huyo bibie mi nakwambia nishawai kuwa na malaya kibao.
Malaya anauza puchi yake, nyumbani anaweza kukulea wewe
miaka gani hiyo mkuu ulikuwa unatembelea area zile?? usalama mdogo sana.
 
Huko wala hakutishi , tembelea kwenye vyuo vikuu, nizaidi ya huko kimboko mara 10
 
Amini nakwambia, ukiona mwanamke yeyote, ana akaunti insta fb nk, familia picha zake ukiona kapiga picha kageuza matrako kwenye kamera, au anaonesha viungo hata kama kajistiri, bro kahaba huyo achana na mambo eti ni anajiheshimu mkuu hii biashara inafanyika Kwa akili kubwa sana, huwezi kuelewa kama hujajimix na hao viumbe, eti mke wa mtu eti muheshimiwa wewe stuka dunia inakuacha

Kumbe bado mtoto m-bichi kabisa
Miaka 32 huyo ni lishangazi
 
Me hii research nliifanya mwenyewe practically kuanzia mikoa ya kaskazini
Arusha - shivas
Moshi - Malindi
Dar es salaam
Sinza africasana
Sinza maeda
Sinza kitambaa chaupe
Riverside
Uwanja wa fisi
Mwananyamala kwa wahaya
Kinondoni vijana
Kinondoni B ben pub
Sokota - sugar ray bar
Temeke sudan
Tandika
T.I.A geti la uelekeo wa darajani
Mbagala kisuma bar
Mbagala darlive
Bururuni kimboka
Buruguni sheli
Tabata the great
Mbezi mwisho bar ya lubumbashi
Goba lastanza
Unachotafuta kote huko ni nini?
 
Mbona
Me hii research nliifanya mwenyewe practically kuanzia mikoa ya kaskazini
Arusha - shivas
Moshi - Malindi
Dar es salaam
Sinza africasana
Sinza maeda
Sinza kitambaa chaupe
Riverside
Uwanja wa fisi
Mwananyamala kwa wahaya
Kinondoni vijana
Kinondoni B ben pub
Sokota - sugar ray bar
Temeke sudan
Tandika
T.I.A geti la uelekeo wa darajani
Mbagala kisuma bar
Mbagala darlive
Bururuni kimboka
Buruguni sheli
Tabata the great
Mbezi mwisho bar ya lubumbashi
Goba lastanza
Kwanini Dsm ina maeneo mengi sana ya maafisa utelezi, inaonekana hii ajira ina wateja sana kwenye hicho kijiji cha karibu na bahari.
 
Post ya mei 22, 2026. Inaonekana mtoa mada umeenda kimboka ivi karibuni. Lakini hii post ni chai chai ya rangi.. Kimboka miaka hii ni sawa na haipo, baada ya ujenzi mbalimbali na safishasafisha maeneo yale kimboka imebaki stori tu.
 
Back
Top Bottom