Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Nikisikia mwanafunzi wa chuo anajiuza kimafungu huwa naumia sana kwa sababu hata kama anataka kujiuza. Kuna better options maana mjini wengi wanajiuza kwa kudanga.
Unless awe vibaya kimuonekano

Sio kitu chema generally ila kujipanga barabarani ni lowest point na ninawaombea kwa Mungu awasaidie
Option ipii? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kipindi napoa tabata matumbi, siku Moja usingizi uka kata nikasema ngoja nijishushe buguruni hapo, nimefika nikazama kwenye bar Moja wanapiga mziki, la haula nika MUONA dada Mmoja anacheza uchi wa mnyama, nilipo muuliza jamaa akanambia unamnunulia bia mbili tu una cheza nae, akiwa uchi daah
 
Nikisikia mwanafunzi wa chuo anajiuza kimafungu huwa naumia sana kwa sababu hata kama anataka kujiuza. Kuna better options maana mjini wengi wanajiuza kwa kudanga.
Unless awe vibaya kimuonekano

Sio kitu chema generally ila kujipanga barabarani ni lowest point na ninawaombea kwa Mungu awasaidie
Kaka hata kama sura ni MBAYA, siku hizi kila kitu kina tengenezwa, rangi ina nunuliwa, shepu linanunuliwa, Kwa sasa ni uhai TU ndo haununuliwi na afya ila vingine, Kuna demu alikua MBAYA miaka hiyo nimekutana nae asalale trako Hilo rangi ngozi nyororo, kama humjui vizuri huwezi kubali
 
ni hatari sana... katika vitu niliapa kutokana na kile nilichoona, ni kuwa sito * malaya... yaani ni * mtu ambaye wanaume low valued wanatupia mizigo yao? nope over my dead body
Umekulia wapi wewe ndiyo unashangaa mambo ambayo yapo miaka mingi tu? Kumbe jina lako la zee_latown umejipa tu wala hujui mambo ya mjini? Umekulia Ngudu nini, ukaja Dar juzi!
 
ni hatari sana... katika vitu niliapa kutokana na kile nilichoona, ni kuwa sito * malaya... yaani ni * mtu ambaye wanaume low valued wanatupia mizigo yao? nope over my dead body
Hata mimi nilikua na mawazo kama yako, mpaka nlivoenda maeneo ya velvet club (Kona baa sinza) na picnic(shivaz), ukikaa pale unaona wanaume wenye muonekano wa heshima mbele ya jamii na magari yao k.v discovery, ford, range wananunua wadada wanaojiuza barabarani, wengine vijana ma-handsome smart wananunua wadada, mpaka nlishangaa. zee_latown
 
Kipindi napoa tabata matumbi, siku Moja usingizi uka kata nikasema ngoja nijishushe buguruni hapo, nimefika nikazama kwenye bar Moja wanapiga mziki, la haula nika MUONA dada Mmoja anacheza uchi wa mnyama, nilipo muuliza jamaa akanambia unamnunulia bia mbili tu una cheza nae, akiwa uchi daah
nando maana mimi hizo takataka( no malice intended) sitaki kuchapa.. naona ni kujidharau na kujikosea sana
 
Umekulia wapi wewe ndiyo unashangaa mambo ambayo yapo miaka mingi tu? Kumbe jina lako la zee_latown umejipa tu wala hujui mambo ya mjini? Umekulia Ngudu nini, ukaja Dar juzi!
mimi nilikuwa school boy... shule, nyumbani na wazazi walikuwa harsh sana... jamaa zangu wote walijua mapema mno hizi... na walikuwa wananiambia sana u ila sikuwa na nafasi ya ku prove at the time... so nikaamua ni prove mwenyewe at this time...
 
sasa aliyekudanganya wale wadada ni low valued ni nani? unawafananishaje na wale wa kule buguruni? ukiona mpaka ford na range zina park means ni malaya wanaojitambua wa hadhi yajuu hata kama wapo barabarani...tena nasikia mitaa ya sinza malaya wengine mpaka wana magari wanakuja nayo... so bado point yangu ipo pale pale Balqior
 
Back
Top Bottom