Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

Me hii research nliifanya mwenyewe practically kuanzia mikoa ya kaskazini
Arusha - shivas
Moshi - Malindi
Dar es salaam
Sinza africasana
Sinza maeda
Sinza kitambaa chaupe
Riverside
Uwanja wa fisi
Mwananyamala kwa wahaya
Kinondoni vijana
Kinondoni B ben pub
Sokota - sugar ray bar
Temeke sudan
Tandika
T.I.A geti la uelekeo wa darajani
Mbagala kisuma bar
Mbagala darlive
Bururuni kimboka
Buruguni sheli
Tabata the great
Mbezi mwisho bar ya lubumbashi
Goba lastanza
 
Mkuu mwanamke yeyote ambaye sio bikira ni malaya

Na wanawake karibu wote wanauza tofauti ni njia za uuzaji tu ziko nyingi sana.

Zimegawanyika katika makundi 2 DIRECT na INDIRECT

Wengine wanauza mitandaoni, wengine wanajiuza kwa mafungu kama wa Kimboka, wake za watu wanajiuza mitaani, wengine hadi makazini corporate girls kwa maboss na customers/clients, makonda wa mabasi ya masafa marefu n.k

Hata mke wako nyumbani naye anajiuza kwako kama hauna 'A' ya maths huwezi kunielewa
 
Sijui mna toa wapi ujasiri wa kununua mwenzio alipo toka kuchovya muda huo.

vipi mkimaliza wanaenda kuoga?, wakioga wana rudi tena au?
Nasikia ni bandika bandua
Ila nawahurumia sana mpaka wafanye maamuzi ya aina hii hawawezi hata kutembeza maandazi barabarani wakapata 5000 au 10000 wakaishi Kwa kadri ya kipato chao halali?
 
Nasikia ni bandika bandua
Ila nawahuria sana mpaka wafanye maamuzi ya aina hii hawawezi hata kutembea maandazi barabarani wakapata 5000 au 10000 wakaishi Kwa kadri ya kipato chao halali?
gen z mimi nina ka ego ka ajabu, so naona jau kwenda alipo enda mwingine jasho juu ya jasho.

beside nasikia una manyoya mwili mzima, Mungu nifundishe kunyamaza,
 
Back
Top Bottom