jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Msaada wa chanjo milioni moja sio msaada endelevu bali ni msaada tegemezi jambo ambalo ni sumu ya maendeleo na uhuru wa nchi.
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hivi kwa nini hatusaidiwi kwenye uwekezaji wa kiwanda cha chanjo?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 60 kamwe chanjo milioni 1 hazitanufaisha jamii kubwa unless kuwe na kakikundi flani kalicholengwa.
Tusipowekeza kwenye kiwanda cha chanjo tutaamini kuwa huu msaada ni sehemu ya udalali wa chanjo duniani.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!