Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,898
- 944
"MCHAKATO UJENZI WA KIWANDA CHA KUCHAMBUA MBEGU ZA PAMBA IGUNGA WAANZA "
Mhe. Bashe (MB) ametoa rai hiyo wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa kuhusu maendeleo ya ujenzi wa kiwanda cha kuchambua pamba kwenye Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Hotel ya Morena Jijini Dodoma.
Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweka mkazo wa ujenzi wa kiwanda cha kuchambua mbegu za Pamba kwenye Wilaya ya Igunga ikiwa ni ukanda unaofanya vizuri kwenye kilimo cha Pamba na kufanya vizuri kama kitalu cha mbegu za Pamba.