Lakini mwisho nilitubu na kumrudia mola wangu,
Ishu ilianzia mimi kuoa rafiki nikakaa na demu km miaka 4 ivi,nikaja kugundua yule demu sio kwenye maeneo mengi sana,km kuchukia wanangu na kuwafanyia vitendo vyakukatili ila pia alikuwa malaya nk mengine mtakuambia km tukiwa wawiliHebu niambie kwa ufupi mkuu
Aliondoka na vitu vyako akaenda kuvifanyia fearturingIshu ilianzia mimi kuoa rafiki nikakaa na demu km miaka 4 ivi,nikaja kugundua yule demu sio kwenye maeneo mengi sana,km kuchukia wanangu na kuwafanyia vitendo vyakukatili ila pia alikuwa malaya nk mengine mtakuambia km tukiwa wawili
Sasa ndio kuachana sasa weeee
Tangu apo jamaa yangu nilipita kwenye mateso makubwa mnoo mimi nakila aliyekuwa upande wangu ,kiafya,na uchumi kidogo nichanganyikiwe sasa huko kwingine nafuu zengwe limebaki uchumi aloo mambo hayaendi rafiki ,
Aaa we acha tu karibia nichanganyikiwe mzeeHicho unachopitia nakijua vizuri Sana. Ni hali ambayo huwezi kumuombea mtu aipitie labda tu awe ni adui mbaya kabisa
Nilivunja nazi makutano ya sam nujoma na coca road saa nane uzikuKuvunja nazi njiapanda ni tambiko la kale linalofanyika kwenye makutano ya njia, mahali panapoaminika kuwa kitovu cha kukutana kwa mizimu, majini, na nguvu za giza.
Katika ulimwengu wa uchawi, nazi inawakilisha kichwa au maisha ya binadamu, huku njiapanda ikitumika kama uwanja mkuu wa kuchanganyia na kuelekeza pepo wabaya ili wasijue mhusika ameelekea wapi baada ya zoezi hilo.
Lengo kuu la kuvunja nazi hiyo ni kuondoa nuksi, mikosi, na kufungua milango ya bahati iliyofungwa kwenye biashara, ndoa, au kazi.
Maji ya nazi yanapomwagika na kupasuka njiapanda, inaaminika kuwa shida na vifungo vyote vya mhusika vimepasuka na kuzikwa rasmi ardhini, na hivyo kuruhusu nuru mpya iingie katika maisha yake.
Tambiko hili lina masharti makali ambapo mara nyingi hufanyika usiku wa manane au alfajiri ya mapema kabla ya jua kuchomoza ili kuepuka macho ya watu.
Sharti kuu na la hatari zaidi ni kwamba, mara tu baada ya kuivunja nazi hiyo, mhusika anatakiwa kuondoka eneo hilo moja kwa moja bila kugeuka nyuma, hata akisikia sauti ya kutisha au mtu akimwita kwa jina lake.
Naomba unielezee kuhusu hii kitu inaitwa "ramli" ndio inakuaje kuaje mkuu?Yale yote niliyoyatafuta kwa waganga na ramli
Oyaah na mitaa ya masaki sjui ndo oyster bay bado tuu kuingia salenda bridge 😆😅Unaroho ngumu Sana😂