oscar classic
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 732
- 1,326
Basi salute kwa p.mawengeHuu ni wimbo wa P.Mawenge unapatikana kwenye EP yake unaitwa Customer care.
Kama ungetoa credit kwake ungepungukiwa nini??
Bila shaka wewe ni p mawenge naona umechukua hii post umeipost kwenye Instagram page yako. Leo ndio nimepata uhakika kwamba kumbe humu kuna wasanii wengi sana ila mnatumia id tofauti.
Huyo uliye m quote sio PBila shaka wewe ni p mawenge naona umechukua hii post umeipost kwenye Instagram page yako. Leo ndio nimepata uhakika kwamba kumbe humu kuna wasanii wengi sana ila mnatumia id tofauti.
Ila p atakuwepo humu mkuu. Yaani amepost huu uzi kwenye page yake immediately baada ya kupostiwa humu.Huyo uliye m quote sio P
Anajidai msiri hataki kusema kuwa yupo humuIla p atakuwepo humu mkuu. Yaani amepost huu uzi kwenye page yake immediately baada ya kupostiwa humu.
P ndio huyo huyo uliemquoteIla p atakuwepo humu mkuu. Yaani amepost huu uzi kwenye page yake immediately baada ya kupostiwa humu.
Yaaa....yaaaaa....yaaaaaaa.....yaaaaaaaa.....yaaaaaaaa......yaaaaaaaaaa......yaaaaaaaaaa.......yaaaaaaaa.......yaaaaaaaa......yaaaaaaaaa......yaaaaaaaaa.......Hii sasa ndio Trab na Trat
Jamaa sjui anatuchukuliajekwa hiyo mkuu umeamua kutupanga..
Ila kutongoza si mchezo. Ni kujinadi. Kujiweka wazi kimoyo na kimwili. Anayejuwa kutongoza sidhani kama atafeli interview ya aina yoyote ile. Kudos kwa kijanaAina hii ya vijana Wana mchango mdogo Sana kwa taifa
*****Aina hii ya vijana Wana mchango mdogo Sana kwa taifa
Mwigulu na Makamba ongezeni bei za data, vijana wa hovyo wapungue mtandaoni
Huyu kwel P mawenge the day Ep yake imetok na Mimi pia nikaw najiuliz hii idea ya hii post mbn nimetok kuisikia kweny nyimbo ya Mawenge sema EP Kali kiongozSiku moja niko zangu nimetulia tu hata sijui siku inaendaje,basi wakati nachezea simu mara paap nikapata wazo la kutongoza customer care
Chap tu nikapiga 100 kila nikisikia sauti ya kiume nakata mara paap mtoto akapokea, hello naitwa mary unaitwa nani na unapiga simu kutoka wapi?
Nikamjibu jina langu naitwa noizee napiga simu kutoka Sinza. Kwa sauti nyororo mtoto akajibu okay asante kwa kutupigia nini tatizo lako tupate kukuhudumia?
Baada ya kusikia hivyo kichwa langu likadata nkazuga kwanza, nikamjibu sms zangu zote nazotuma hazifiki sijui hata shida nn wakati nina salio kama la mwezi hivi. Kwa sauti nyororo mtoto akajibu shida hiyo ni kwenye laini hii tunayowasiliana nikamjibu ndio akasema subiri kidogo usikate simu wakati nalishughulikia tatizo lako
Baada ya sekunde kadhaa mtoto akajibu tatizo lako limeshashughulikiwa unatatizo lingine ,hapo nikajikuta naropoka tu. Ukweli kabisa nimefurahi ulivyomkarimu na nimevutiwa na nimefurahi kukusikia tu kwa simu amini ya kuwa umenitia uwazimu hebu kama upo single nipe hiyo nafasi adimu. Kwa kukazia kidogo mtoto akajibu heeeh mbona umefika mbali? Je kama nimeolewa,nikampooza kdg mm nilikuwa najaribu tu nafasi mamaaa
Akajibu noizee acha usumbufu kata simu unajua hii ni simu ya ofisini? Nikamjibu sawa hamna shida kama unataka kunipa jibu langu utanicheck humu kwa no yangu. Haukupita mda mrefu ikaingia sms "save no yangu ndo mm yule customer care " Daah kifuatacho maongezi yaliendelea kama kawaida na mpaka sasa nishamuona yupo vzr story ikaishia hapo@noizee maker
Shida kubwaSiku moja niko zangu nimetulia tu hata sijui siku inaendaje,basi wakati nachezea simu mara paap nikapata wazo la kutongoza customer care 😂
Chap tu nikapiga 100 kila nikisikia sauti ya kiume nakata mara paap mtoto akapokea, hello naitwa mary unaitwa nani na unapiga simu kutoka wapi?
Nikamjibu jina langu naitwa noizee napiga simu kutoka Sinza. Kwa sauti nyororo mtoto akajibu okay asante kwa kutupigia nini tatizo lako tupate kukuhudumia?
Baada ya kusikia hivyo kichwa langu likadata nkazuga kwanza, nikamjibu sms zangu zote nazotuma hazifiki sijui hata shida nn wakati nina salio kama la mwezi hivi. Kwa sauti nyororo mtoto akajibu shida hiyo ni kwenye laini hii tunayowasiliana nikamjibu ndio akasema subiri kidogo usikate simu wakati nalishughulikia tatizo lako
Baada ya sekunde kadhaa mtoto akajibu tatizo lako limeshashughulikiwa unatatizo lingine ,hapo nikajikuta naropoka tu. Ukweli kabisa nimefurahi ulivyomkarimu na nimevutiwa na nimefurahi kukusikia tu kwa simu amini ya kuwa umenitia uwazimu hebu kama upo single nipe hiyo nafasi adimu. Kwa kukazia kidogo mtoto akajibu heeeh mbona umefika mbali? Je kama nimeolewa,nikampooza kdg mm nilikuwa najaribu tu nafasi mamaaa
Akajibu noizee acha usumbufu kata simu unajua hii ni simu ya ofisini? Nikamjibu sawa hamna shida kama unataka kunipa jibu langu utanicheck humu kwa no yangu. Haukupita mda mrefu ikaingia sms "save no yangu ndo mm yule customer care " Daah kifuatacho maongezi yaliendelea kama kawaida na mpaka sasa nishamuona yupo vzr story ikaishia hapo@noizee maker