Jinsi mwanamke anavyojua kutongoza

KIBUGAmk

Member
Jan 22, 2024
83
130
Ee bwana eeh, ilikuwa ni mwaka jana ambapo niliamua kuhama kutoka mtaa X, kwenda mtaa X,. Nilifanikiwa kupata gheto kali, ile nimefika tu nilipokelewa na binti mrembo na yeye ni mpangaji wa hapo, basi bwana akanisaidia kupanga vitu vyangu ndani, si unaelewa sisi wanaume hatuna muda wa kudesign magheto yetu, bwana eeh! yule dem alikuwa akinichangamkia mpaka nikawa sielewi.

ilifuata siku ya pili, yule dem akaja ghetto kwangu (Mida ya saa 2 usiku) akanambia "j4family naogopa kutembea usiku peke yangu naomba unisindikize dukani nisije pigwa na wahuni njiani" basi nikakubali, tulipofika dukani dem akaanza kuniuliza "j4family unatumiaga chocolate?" Nikajibu ndiyo, "na pipi swani unatumia?"Nikajibu ndiyo, "na bigG unatumia?"Nikajibu ndiyo,. Basi dem akachukua vitu vyote hivyo akanikabidhi, nikamwambia "mbona mapocho pocho ni mengi sana sito yamaliza" akanijibu, "Hapana chukua tu hizo zawadi zako nimekupatia", aisee nilipata wenge nikawa najiuliza mbona' huyu dem anani care sana na hata hatujafahamiana vizuri

Sasa wakati tukirudi kutoka dukani dem akaanza kuniuliza "Hivi j4family una mpenzi?" Nikashituka alafu nikimcheki mtoto ni mkali msabwanda kama wote' sauti laini kinoma, nikamjibu " mimi nipo single" akasema, haaaah!! yaani mkaka una kifua kizuri hivyo alafu upo single wew kabsa au unanidanganya?, Basi na mimi nikajisemea kimoyo moyo huyu mtoto lazima nimpate iwe isiwe lazima awe wangu, kwa ujasiri nikamjibu " mimi nipo single kwa sababu bado sijaona msichana mrembo, mwenye macho mazuri, mwenye sauti nyororo,na figure yenye mvuto yaani kama wewe,. basi dem akachekaaa, akasema "jamani wew j4family hizo sifa zote minazi acha basi

Nikamwambia yeah kiukweli unavutia, basi wakati tukiwa njiani usiku huo, dem akanambia "j4family unaweza ukanipa simu yako nitakurudishia baadae?", nikamuuliza "sasa wewe una simu na ya kwangu tena unaitaka ya kazi gani" akajibu, "ya kwangu imezima ghafla so nisaidie tu sito kaa nayo sana" nikamwambia usijali, basi tulipo fika nyumbani nikaingia kwenye gheto lang nikachukua simu nikampa, akanambia ahsante "Nikarudi ndani mwangu nikawa nacheki filamu huku nikisubili mrembo anirudishie simu yangu ndipo nilale

ilipo fika mida ya saa 4 usiku dem akaja akagonga mlango wangu, nikafungua akanipa simu yangu akaniambia ahsante huku aking'ata lips zake na kulegeza sauti, heee! basi nikapata wenge kinoma wakati huo nilikuwa kifua wazi,. Dem akanambia "Ngoja me nikaoge", nikamwambia poa then nikarudi ghetoni kwangu

Nilipoingia ndani nikawa naikagua ile simu ili nijue mrembo alikuwa akiifanyia nini, bwana eeh!, Nikakuta dem amesevu namba yake kwenye simu yangu ameisave "Nice figure". Wakati nikiendelea kuzikagua nikakutana na videos zake amejirekod kwenye simu yangu akiwa amevaa "Night dress" huku akilembua na madoido kama yote

Wakati nikiendelea kucheki zile video maana zilikuwa ni nyingi, nilisikia sauti ya huyo mrembo mlangoni kwangu ikibisha hodi, nikafungua mlango, alikuwa ametoka kuoga akiwa na kanga, akaniuliza unafanya nini sasa hivi, nikamwambia "nipo nakula yale mapocho pocho uliyo ninunulia dukani" mrwmbo akajibu, "ooh gud ujue hata mimi napenda kula chocolate, naweza ingia ndani mwako ili tuje tule pamoja" nikamwambia yes karibu ingia tu, basi tukaanza kula huku tukicheki filam (kumbuka dem alikuwa na kanga), basi dem akawa anapandisha ile kanga maksudi anaacha mapaja nje, mara anisogelee, hatua ya mwisho wakati nimesimama nikawa nabadilisha channel, ile nageuka nirudi kukaa katika sofa dem alinikumbatia huku akihema kama kuku mgonjwa makiss kama yote,, basi muhuni nikajikuta nimebandua mzigo kwa vocal za mrembo
 
Ee bwana eeh, ilikuwa ni mwaka jana ambapo niliamua kuhama kutoka mtaa X, kwenda mtaa X,. Nilifanikiwa kupata gheto kali, ile nimefika tu nilipokelewa na binti mrembo na yeye ni mpangaji wa hapo, basi bwana akanisaidia kupanga vitu vyangu ndani, si unaelewa sisi wanaume hatuna muda wa kudesign magheto yetu, bwana eeh! yule dem alikuwa akinichangamkia mpaka nikawa sielewi.

ilifuata siku ya pili, yule dem akaja ghetto kwangu (Mida ya saa 2 usiku) akanambia "j4family naogopa kutembea usiku peke yangu naomba unisindikize dukani nisije pigwa na wahuni njiani" basi nikakubali, tulipofika dukani dem akaanza kuniuliza "j4family unatumiaga chocolate?" Nikajibu ndiyo, "na pipi swani unatumia?"Nikajibu ndiyo, "na bigG unatumia?"Nikajibu ndiyo,. Basi dem akachukua vitu vyote hivyo akanikabidhi, nikamwambia "mbona mapocho pocho ni mengi sana sito yamaliza" akanijibu, "Hapana chukua tu hizo zawadi zako nimekupatia", aisee nilipata wenge nikawa najiuliza mbona' huyu dem anani care sana na hata hatujafahamiana vizuri

Sasa wakati tukirudi kutoka dukani dem akaanza kuniuliza "Hivi j4family una mpenzi?" Nikashituka alafu nikimcheki mtoto ni mkali msabwanda kama wote' sauti laini kinoma, nikamjibu " mimi nipo single" akasema, haaaah!! yaani mkaka una kifua kizuri hivyo alafu upo single wew kabsa au unanidanganya?, Basi na mimi nikajisemea kimoyo moyo huyu mtoto lazima nimpate iwe isiwe lazima awe wangu, kwa ujasiri nikamjibu " mimi nipo single kwa sababu bado sijaona msichana mrembo, mwenye macho mazuri, mwenye sauti nyororo,na figure yenye mvuto yaani kama wewe,. basi dem akachekaaa, akasema "jamani wew j4family hizo sifa zote minazi acha basi

Nikamwambia yeah kiukweli unavutia, basi wakati tukiwa njiani usiku huo, dem akanambia "j4family unaweza ukanipa simu yako nitakurudishia baadae?", nikamuuliza "sasa wewe una simu na ya kwangu tena unaitaka ya kazi gani" akajibu, "ya kwangu imezima ghafla so nisaidie tu sito kaa nayo sana" nikamwambia usijali, basi tulipo fika nyumbani nikaingia kwenye gheto lang nikachukua simu nikampa, akanambia ahsante "Nikarudi ndani mwangu nikawa nacheki filamu huku nikisubili mrembo anirudishie simu yangu ndipo nilale

ilipo fika mida ya saa 4 usiku dem akaja akagonga mlango wangu, nikafungua akanipa simu yangu akaniambia ahsante huku aking'ata lips zake na kulegeza sauti, heee! basi nikapata wenge kinoma wakati huo nilikuwa kifua wazi,. Dem akanambia "Ngoja me nikaoge", nikamwambia poa then nikarudi ghetoni kwangu

Nilipoingia ndani nikawa naikagua ile simu ili nijue mrembo alikuwa akiifanyia nini, bwana eeh!, Nikakuta dem amesevu namba yake kwenye simu yangu ameisave "Nice figure". Wakati nikiendelea kuzikagua nikakutana na videos zake amejirekod kwenye simu yangu akiwa amevaa "Night dress" huku akilembua na madoido kama yote

Wakati nikiendelea kucheki zile video maana zilikuwa ni nyingi, nilisikia sauti ya huyo mrembo mlangoni kwangu ikibisha hodi, nikafungua mlango, alikuwa ametoka kuoga akiwa na kanga, akaniuliza unafanya nini sasa hivi, nikamwambia "nipo nakula yale mapocho pocho uliyo ninunulia dukani" mrwmbo akajibu, "ooh gud ujue hata mimi napenda kula chocolate, naweza ingia ndani mwako ili tuje tule pamoja" nikamwambia yes karibu ingia tu, basi tukaanza kula huku tukicheki filam (kumbuka dem alikuwa na kanga), basi dem akawa anapandisha ile kanga maksudi anaacha mapaja nje, mara anisogelee, hatua ya mwisho wakati nimesimama nikawa nabadilisha channel, ile nageuka nirudi kukaa katika sofa dem alinikumbatia huku akihema kama kuku mgonjwa makiss kama yote,, basi muhuni nikajikuta nimebandua mzigo kwa vocal za mrembo
Mbakaji huyo. Ulibakwa blaza. Kachukue PF3 chap
 
Ee bwana eeh, ilikuwa ni mwaka jana ambapo niliamua kuhama kutoka mtaa X, kwenda mtaa X,. Nilifanikiwa kupata gheto kali, ile nimefika tu nilipokelewa na binti mrembo na yeye ni mpangaji wa hapo, basi bwana akanisaidia kupanga vitu vyangu ndani, si unaelewa sisi wanaume hatuna muda wa kudesign magheto yetu, bwana eeh! yule dem alikuwa akinichangamkia mpaka nikawa sielewi.

ilifuata siku ya pili, yule dem akaja ghetto kwangu (Mida ya saa 2 usiku) akanambia "j4family naogopa kutembea usiku peke yangu naomba unisindikize dukani nisije pigwa na wahuni njiani" basi nikakubali, tulipofika dukani dem akaanza kuniuliza "j4family unatumiaga chocolate?" Nikajibu ndiyo, "na pipi swani unatumia?"Nikajibu ndiyo, "na bigG unatumia?"Nikajibu ndiyo,. Basi dem akachukua vitu vyote hivyo akanikabidhi, nikamwambia "mbona mapocho pocho ni mengi sana sito yamaliza" akanijibu, "Hapana chukua tu hizo zawadi zako nimekupatia", aisee nilipata wenge nikawa najiuliza mbona' huyu dem anani care sana na hata hatujafahamiana vizuri

Sasa wakati tukirudi kutoka dukani dem akaanza kuniuliza "Hivi j4family una mpenzi?" Nikashituka alafu nikimcheki mtoto ni mkali msabwanda kama wote' sauti laini kinoma, nikamjibu " mimi nipo single" akasema, haaaah!! yaani mkaka una kifua kizuri hivyo alafu upo single wew kabsa au unanidanganya?, Basi na mimi nikajisemea kimoyo moyo huyu mtoto lazima nimpate iwe isiwe lazima awe wangu, kwa ujasiri nikamjibu " mimi nipo single kwa sababu bado sijaona msichana mrembo, mwenye macho mazuri, mwenye sauti nyororo,na figure yenye mvuto yaani kama wewe,. basi dem akachekaaa, akasema "jamani wew j4family hizo sifa zote minazi acha basi

Nikamwambia yeah kiukweli unavutia, basi wakati tukiwa njiani usiku huo, dem akanambia "j4family unaweza ukanipa simu yako nitakurudishia baadae?", nikamuuliza "sasa wewe una simu na ya kwangu tena unaitaka ya kazi gani" akajibu, "ya kwangu imezima ghafla so nisaidie tu sito kaa nayo sana" nikamwambia usijali, basi tulipo fika nyumbani nikaingia kwenye gheto lang nikachukua simu nikampa, akanambia ahsante "Nikarudi ndani mwangu nikawa nacheki filamu huku nikisubili mrembo anirudishie simu yangu ndipo nilale

ilipo fika mida ya saa 4 usiku dem akaja akagonga mlango wangu, nikafungua akanipa simu yangu akaniambia ahsante huku aking'ata lips zake na kulegeza sauti, heee! basi nikapata wenge kinoma wakati huo nilikuwa kifua wazi,. Dem akanambia "Ngoja me nikaoge", nikamwambia poa then nikarudi ghetoni kwangu

Nilipoingia ndani nikawa naikagua ile simu ili nijue mrembo alikuwa akiifanyia nini, bwana eeh!, Nikakuta dem amesevu namba yake kwenye simu yangu ameisave "Nice figure". Wakati nikiendelea kuzikagua nikakutana na videos zake amejirekod kwenye simu yangu akiwa amevaa "Night dress" huku akilembua na madoido kama yote

Wakati nikiendelea kucheki zile video maana zilikuwa ni nyingi, nilisikia sauti ya huyo mrembo mlangoni kwangu ikibisha hodi, nikafungua mlango, alikuwa ametoka kuoga akiwa na kanga, akaniuliza unafanya nini sasa hivi, nikamwambia "nipo nakula yale mapocho pocho uliyo ninunulia dukani" mrwmbo akajibu, "ooh gud ujue hata mimi napenda kula chocolate, naweza ingia ndani mwako ili tuje tule pamoja" nikamwambia yes karibu ingia tu, basi tukaanza kula huku tukicheki filam (kumbuka dem alikuwa na kanga), basi dem akawa anapandisha ile kanga maksudi anaacha mapaja nje, mara anisogelee, hatua ya mwisho wakati nimesimama nikawa nabadilisha channel, ile nageuka nirudi kukaa katika sofa dem alinikumbatia huku akihema kama kuku mgonjwa makiss kama yote,, basi muhuni nikajikuta nimebandua mzigo kwa vocal za mrembo
Nakukumbusha upo Jamiiforums na sio facebook
 
Ee bwana eeh, ilikuwa ni mwaka jana ambapo niliamua kuhama kutoka mtaa X, kwenda mtaa X,. Nilifanikiwa kupata gheto kali, ile nimefika tu nilipokelewa na binti mrembo na yeye ni mpangaji wa hapo, basi bwana akanisaidia kupanga vitu vyangu ndani, si unaelewa sisi wanaume hatuna muda wa kudesign magheto yetu, bwana eeh! yule dem alikuwa akinichangamkia mpaka nikawa sielewi.

ilifuata siku ya pili, yule dem akaja ghetto kwangu (Mida ya saa 2 usiku) akanambia "j4family naogopa kutembea usiku peke yangu naomba unisindikize dukani nisije pigwa na wahuni njiani" basi nikakubali, tulipofika dukani dem akaanza kuniuliza "j4family unatumiaga chocolate?" Nikajibu ndiyo, "na pipi swani unatumia?"Nikajibu ndiyo, "na bigG unatumia?"Nikajibu ndiyo,. Basi dem akachukua vitu vyote hivyo akanikabidhi, nikamwambia "mbona mapocho pocho ni mengi sana sito yamaliza" akanijibu, "Hapana chukua tu hizo zawadi zako nimekupatia", aisee nilipata wenge nikawa najiuliza mbona' huyu dem anani care sana na hata hatujafahamiana vizuri

Sasa wakati tukirudi kutoka dukani dem akaanza kuniuliza "Hivi j4family una mpenzi?" Nikashituka alafu nikimcheki mtoto ni mkali msabwanda kama wote' sauti laini kinoma, nikamjibu " mimi nipo single" akasema, haaaah!! yaani mkaka una kifua kizuri hivyo alafu upo single wew kabsa au unanidanganya?, Basi na mimi nikajisemea kimoyo moyo huyu mtoto lazima nimpate iwe isiwe lazima awe wangu, kwa ujasiri nikamjibu " mimi nipo single kwa sababu bado sijaona msichana mrembo, mwenye macho mazuri, mwenye sauti nyororo,na figure yenye mvuto yaani kama wewe,. basi dem akachekaaa, akasema "jamani wew j4family hizo sifa zote minazi acha basi

Nikamwambia yeah kiukweli unavutia, basi wakati tukiwa njiani usiku huo, dem akanambia "j4family unaweza ukanipa simu yako nitakurudishia baadae?", nikamuuliza "sasa wewe una simu na ya kwangu tena unaitaka ya kazi gani" akajibu, "ya kwangu imezima ghafla so nisaidie tu sito kaa nayo sana" nikamwambia usijali, basi tulipo fika nyumbani nikaingia kwenye gheto lang nikachukua simu nikampa, akanambia ahsante "Nikarudi ndani mwangu nikawa nacheki filamu huku nikisubili mrembo anirudishie simu yangu ndipo nilale

ilipo fika mida ya saa 4 usiku dem akaja akagonga mlango wangu, nikafungua akanipa simu yangu akaniambia ahsante huku aking'ata lips zake na kulegeza sauti, heee! basi nikapata wenge kinoma wakati huo nilikuwa kifua wazi,. Dem akanambia "Ngoja me nikaoge", nikamwambia poa then nikarudi ghetoni kwangu

Nilipoingia ndani nikawa naikagua ile simu ili nijue mrembo alikuwa akiifanyia nini, bwana eeh!, Nikakuta dem amesevu namba yake kwenye simu yangu ameisave "Nice figure". Wakati nikiendelea kuzikagua nikakutana na videos zake amejirekod kwenye simu yangu akiwa amevaa "Night dress" huku akilembua na madoido kama yote

Wakati nikiendelea kucheki zile video maana zilikuwa ni nyingi, nilisikia sauti ya huyo mrembo mlangoni kwangu ikibisha hodi, nikafungua mlango, alikuwa ametoka kuoga akiwa na kanga, akaniuliza unafanya nini sasa hivi, nikamwambia "nipo nakula yale mapocho pocho uliyo ninunulia dukani" mrwmbo akajibu, "ooh gud ujue hata mimi napenda kula chocolate, naweza ingia ndani mwako ili tuje tule pamoja" nikamwambia yes karibu ingia tu, basi tukaanza kula huku tukicheki filam (kumbuka dem alikuwa na kanga), basi dem akawa anapandisha ile kanga maksudi anaacha mapaja nje, mara anisogelee, hatua ya mwisho wakati nimesimama nikawa nabadilisha channel, ile nageuka nirudi kukaa katika sofa dem alinikumbatia huku akihema kama kuku mgonjwa makiss kama yote,, basi muhuni nikajikuta nimebandua mzigo kwa vocal za mrembo
Hongera, sasa kaa mkao wa kulishwa majukumu ya kumtunza yeye na uwatunza wazazi wake pamoja na ndugu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom