Nilipokosa cha kufanya kwa simu yangu nikaamua kutongoza customer care

Siku moja niko zangu nimetulia tu hata sijui siku inaendaje,basi wakati nachezea simu mara paap nikapata wazo la kutongoza customer care 😂

Chap tu nikapiga 100 kila nikisikia sauti ya kiume nakata mara paap mtoto akapokea, hello naitwa mary unaitwa nani na unapiga simu kutoka wapi?

Nikamjibu jina langu naitwa noizee napiga simu kutoka Sinza. Kwa sauti nyororo mtoto akajibu okay asante kwa kutupigia nini tatizo lako tupate kukuhudumia?

Baada ya kusikia hivyo kichwa langu likadata nkazuga kwanza, nikamjibu sms zangu zote nazotuma hazifiki sijui hata shida nn wakati nina salio kama la mwezi hivi. Kwa sauti nyororo mtoto akajibu shida hiyo ni kwenye laini hii tunayowasiliana nikamjibu ndio akasema subiri kidogo usikate simu wakati nalishughulikia tatizo lako

Baada ya sekunde kadhaa mtoto akajibu tatizo lako limeshashughulikiwa unatatizo lingine ,hapo nikajikuta naropoka tu. Ukweli kabisa nimefurahi ulivyomkarimu na nimevutiwa na nimefurahi kukusikia tu kwa simu amini ya kuwa umenitia uwazimu hebu kama upo single nipe hiyo nafasi adimu. Kwa kukazia kidogo mtoto akajibu heeeh mbona umefika mbali? Je kama nimeolewa,nikampooza kdg mm nilikuwa najaribu tu nafasi mamaaa

Akajibu noizee acha usumbufu kata simu unajua hii ni simu ya ofisini? Nikamjibu sawa hamna shida kama unataka kunipa jibu langu utanicheck humu kwa no yangu. Haukupita mda mrefu ikaingia sms "save no yangu ndo mm yule customer care " Daah kifuatacho maongezi yaliendelea kama kawaida na mpaka sasa nishamuona yupo vzr story ikaishia hapo@noizee maker
🍵 ☕️
 
Mimi nilifanyakaz call center wakat nasoma nimeish sana na wateja yaan i mean sana mpaka nikawa naogopa kuacha kaz nitapoteza access to the kingdom.

Ila Mungu ni mwema sana nilizivuka salama zile changamoto za ujana japo ziliniletea karma nyingi mno mno maana hakuna chozi litakalienda bila kulipiwa nililipia gharama kubwa za uzumbukuku wangu nakuhusia pia kijana kwamba hakuna heshima kwenye ukahaba zaid ya laana tu za hapa na pale
Karma

😅 pole sana ndugu
Hizi changamoto zipo hata kwa mtoto wa kike to agent wa kiume,wanasumbua vivyo hivyo

Umenikumbusha mbali.
 
Mimi nilifanyakaz call center wakat nasoma nimeish sana na wateja yaan i mean sana mpaka nikawa naogopa kuacha kaz nitapoteza access to the kingdom.

Ila Mungu ni mwema sana nilizivuka salama zile changamoto za ujana japo ziliniletea karma nyingi mno mno maana hakuna chozi litakalienda bila kulipiwa nililipia gharama kubwa za uzumbukuku wangu nakuhusia pia kijana kwamba hakuna heshima kwenye ukahaba zaid ya laana tu za hapa na pale
😂😂😂 ulikuwa unajilipa nje ya mshahara
 
20220917_170251.jpg
 
sasa kijana kama ww ukapewa mradi uliosimama wenye thamani ya 34m na ac bank ukawekewa salio la 12m hvi utaweza kuendeleza mradi au utaanguka. nimeweka mahesabu makubwa ili ujiamini but kwa akili ya uandishi wako naona kabisa mradi na bank ac zote zitayeyu

sasa kijana kama ww ukapewa mradi uliosimama wenye thamani ya 34m na ac bank ukawekewa salio la 12m hvi utaweza kuendeleza mradi au utaanguka. nimeweka mahesabu makubwa ili ujiamini but kwa akili ya uandishi wako naona kabisa mradi na bank ac zote zitayeyuka
Mkuu nakuhakikishia kua nikipewa hata million 2 sitaanguka hata kama nitazitumia kwenye ulevi maan nitaajiri vijana hata wawili wa kunibeba nisianguke🤣🤣
 
Kwhy kiongozi unataka kusema kuwa mtoto wa kike ashawahi kutafuta
Hahahah hapana
Namaanisha sometimes wana tabia kama hizi ulizojielezea kwa customer cares wa kiume ila si direct.
Nilifanya kazi kama call centre agent V, Mara chache inatokea “KE” anapiga simu baada ya kutatuza tatizo anaanza “Kaka unasauti nzuri ,huku anacheka Cheka n.k” so Ukiwa Fisi utajikuta unaenda zaidi ya yaliyokupeleka kazini.
 
Back
Top Bottom