Nimekusoma mkuu
Natumia mdomo na meno yapo ndani ya mdomo
Tena ukija na wewe ndiyo kabisaa, we mtegemee tumboo sasa, huyo weakness yake naijua nikigusa tu keshalegea, ukishashuhudia baunsa wako anachapwa lazima na wewe usaule kwa upole tu, threesome itanogaje!
hata wanaume hatuaminiki pia!!
Halafu mkuu hiyo avatar unayotumia nakushauri uibadili, it looks gayish, samahani lakini kama nakukwaza.
kwani teeth stick zinakazi gani?
Kazi yake kichokonoa meno
Labda sikukuelewa mkuu....uyo mschana kwan mlikua mnaishi wote???.......na inamaana uyo mwanaume aliingizwa chumbani kwako???[/QUOTE
yes nilikuwa naishi nae....yes alimwingiza kwangu
We baleshi ndio itakua inakufaa ili tukinyanyue vizur icho kidevu chakoo
hahahaa, bahati mbaya ya kwangu huwezi kuipeleka deep throat, meno wala hayatafika kwenye msitu!:A S wink:
Heheheeeeeeeee we unavituko sanaa
Labda sikukuelewa mkuu....uyo mschana kwan mlikua mnaishi wote???.......na inamaana uyo mwanaume aliingizwa chumbani kwako???[/QUOTE
yes nilikuwa naishi nae....yes alimwingiza kwangu
Basi msamehe si najua tena ny.ege alipitiwa tu uyo
We chini ya kapet ulikua unatafta nn??? Anyway ckiz kila mtu ana mtu inshort akuna cha pekeako
hahahaaa, sijala mkuu utauwa mbavu zangu, si unajua kucheka na njaa ilivyo balaa!
Haaaaaa jins ilivo ndefu kama ya pundaa
lol, umeiona lakini avatar yake?!!
Haaaaa njoo nikupikiee
Nilikutana na mdada wa chuo cha biashara CBE.
Kipindi hicho nami nilikuwa nafanya degree yangu ya pili pale Mzumbe. Tulipendana sana, nilisafri mkoani kikazi.
Tuliwasiliana kila siku ila kuna siku moja nilipata SMS toka kwa mwanaume ikidai nimuache mpenzi wake akimaanisha yule mpenzi wangu.
Juzi nimerudi safari mpenzi wangu alinipokea vyema na kwa furaha.
Ajabu chini ya kapeti chumbani nimekuta kondomu 3 zilizotumika takribani siku kama 2 nyuma.
Nimemuuliza mpenzi wangu amesema nae hajui zimefikaje chumbani kwetu.
Nifanye nini ndugu zangu ila binafsi nimeamua nimuache huenda nitapata mwingine.