Ye ndio akil zake mbovu ndio maana anyoi ndevu
sasa wewe endelea kuchokoza tu utapewa haki yako
hicho cha peke yako sijui labda useme apige lakini usijue
Masters hata Nape Nnauye anayo, wasomi wa Tanzania ndio vichwa maji kuliko darasa la 7.
Tena wewe mbona kaz ndogo sana.....nakunyoa ndefuu zako na fyekeoo tuu
Tena izo ni ndevu na znaonekana lakin anyoi je zisizo onekana??? Cmpatii picha
nimeipenda hiyo dada yangu...
hahahaa, fanya utafiti majiniaz wote wana midevu, sasa mwanamume kidevu kisafi ka cha demu si utata, wachawi wakiingia ndani wanapapata kidevu wanaona kikonyororo wanatupia mashine!..lool
mkuu kusoma masters hakumaanishi kuwa wewe ni kila kitu na ushauri hauitaji na kumbuka mapenzi hayana degree kiongozi wangu. But thanks kiongozi wangu
Mke wako ndo mchepuko wa mwenzako
Tena izo ni ndevu na znaonekana lakin anyoi je zisizo onekana??? Cmpatii picha
Wewe ulikimbia shule ata ukichukia wasomi haitakuongezea kidato,utabaki debe tupu.
Jipe moyo baba....samahan mkuu kama ntakua nmevuka mipaka mkeo kwenye ile stail yetu ya kunyonya dushe si nywele ztakua znabakia kwenye meno
Mwanamke lazma awe na kiburudisho cha pemben lol
Tutsmnyoa na mundu
hahahaa, sasa wewe ndiyo unamuuwa kabisa mwenzio si umpe matumaini kidogo, dada alishasema hajui zilifikaje, huenda kuna mdogo wake alimwacha getoni akapigia vya fastafasta!
wewe huwa unayonya dushe kwa kutumia meno?...teh teh!
thanks mkuu... yaani ni shida sana mtu kukwambia hajui zilipotoka