Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 10,017
- 5,825
Mh mkuu langu ni moja tu, kama kweli umesoma mpaka masters sioni why unaomba ushauti kwa issue kama hii! Unless otherwise! !
hata ukiwa hujasoma lakini una ufahamu wa kuyatawala mazingira huwezi omba ushauri kwa jambo hili...
elimu ni bora lakini hekima ni bora zaid