TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,848
- 2,051
nijulie wapi ndugu yangu labda niombe tution kwako!
Tution ruksa je majaribio kwa vitendo ni ruksa???
nijulie wapi ndugu yangu labda niombe tution kwako!
We chini ya kapet ulikua unatafta nn??? Anyway ckiz kila mtu ana mtu inshort akuna cha pekeako
Mhhh, we unao wangapi tubamia?
Ngoj niandae mazingira fasta
Tution ruksa je majaribio kwa vitendo ni ruksa???
majaribio ruksaaa!
hakuna shida, ukiwa tayari nijuze!
Nilikutana na mdada wa chuo cha biashara CBE.
Kipindi hicho nami nilikuwa nafanya degree yangu ya pili pale Mzumbe. Tulipendana sana, nilisafri mkoani kikazi.
Tuliwasiliana kila siku ila kuna siku moja nilipata SMS toka kwa mwanaume ikidai nimuache mpenzi wake akimaanisha yule mpenzi wangu.
Juzi nimerudi safari mpenzi wangu alinipokea vyema na kwa furaha.
Ajabu chini ya kapeti chumbani nimekuta kondomu 3 zilizotumika takribani siku kama 2 nyuma.
Nimemuuliza mpenzi wangu amesema nae hajui zimefikaje chumbani kwetu.
Nifanye nini ndugu zangu ila binafsi nimeamua nimuache huenda nitapata mwingine.
Bas tution unaanza leo saa 23:59 upo tayari???
Mkuu kusoma masters hakumaanishi kuwa wewe ni kila kitu na ushauri hauitaji na kumbuka mapenzi hayana degree kiongozi wangu. but thanks kiongozi wangu
hicho cha peke yako sijui labda useme apige lakini usijue
kaka wewe kama mwanaume ukute used condom chini ya capet kwa girlfriend (remember sio mke) hivi utahitaji ushauri kweli? hapo haswaa ndo kwenye kiini cha mshangao wangu,as kusoma ni kupata mwanga au tuseme maarifa ya basic things in life plus ulichokisomea...sasa hapa sion kwa msomi wa hadi masters kushindwa kuwa na maamuzi/kutokuamini maamuz yake mpaka anakuja kuomba/kusikiliza ushauri wa humu.usisahau kuwa mshkiaji "hasomei masters ya kuhandle stress za mapenzi au masters ya kufanya maamuzi magumu"....nazi ngumu ila sio kwa jiwe itapasuka tuu....
Ni hayo tu.
Mkuu umenichekesha sana hapo kwenye kudevelop proposalSMS uliyopata pamoja na hizo condom bado hujajumlisha na kupata jibu? Bado una Masters - uli develop proposal, ikapita, ikawa na objectives, research questions, methods, findings na conclusion. Lakini hili limekushinda hadi ulete hapa?
angefua yani kakutana na madude ya mwanaume menzie h mpaka nimesisismka alafu yashaanza kuharibika
very possible kuwa peke yako
yakianza kuharibika yanakuwaje? share experience
Ohoo kwan we ni dume bikra????