Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,295
Pole sana ukiona manyoya jua kaliwa
Nilikutana na mdada wa chuo cha biashara CBE. Kipindi hicho nami nilikuwa nafanya degree yangu ya pili pale Mzumbe. Tulipendana sana, nilisafri mkoani kikazi.
Tuliwasiliana kila siku ila kuna siku moja nilipata sms toka kwa mwanaume ikidai nimuache mpenzi wake akimaanisha yule mpenzi wangu. Juzi nimerudi safari mpenzi wangu alinipokea vyema na kwa furaha.
Cha ajabu chini ya kapeti chumbani nimekuta kondomu 3 zilizotumika takribani siku kama 2 nyuma. nimemuuliza mpenzi wangu amesema nae hajui zimefikaje chumbani kwetu.
Nifanye nini ndugu zangu ila binafsi nimeamua nimuache huenda nitapata mwingine.
Pole mwaya ila ulitegemea nini kukaa mbali out of sight out of mind usijali mange ataanza kuwauzia madildo myatumie msiwe na sababu ya michepuko hahaha madildo oyeeere saa ya ukombozi ni sasa lols
Nilikutana na mdada wa chuo cha biashara CBE. Kipindi hicho nami nilikuwa nafanya degree yangu ya pili pale Mzumbe. Tulipendana sana, nilisafri mkoani kikazi.
Tuliwasiliana kila siku ila kuna siku moja nilipata sms toka kwa mwanaume ikidai nimuache mpenzi wake akimaanisha yule mpenzi wangu. Juzi nimerudi safari mpenzi wangu alinipokea vyema na kwa furaha.
Cha ajabu chini ya kapeti chumbani nimekuta kondomu 3 zilizotumika takribani siku kama 2 nyuma. nimemuuliza mpenzi wangu amesema nae hajui zimefikaje chumbani kwetu.
Nifanye nini ndugu zangu ila binafsi nimeamua nimuache huenda nitapata mwingine.
We chini ya kapet ulikua unatafta nn??? Anyway ckiz kila mtu ana mtu inshort akuna cha pekeako
chumbani kwenu au kwake?
Usikopesekopese!
ila na huyo mwanamke inaonekana jamaa anachapa kitu mpaka kumbu kumbu zinaruka kabisa kiasi cha kuacha condom zilizotumiki chini ni tatizo kwa kweli
kwangu! nilimuacha kwangu na siyo kwake
condom "chini" ya carpet?!!!..au labda kuna kitu sijaelewa?..yaani alifunua carpet akaweka condom halafu akafunika?
SMS uliyopata pamoja na hizo condom bado hujajumlisha na kupata jibu? Bado una Masters - uli develop proposal, ikapita, ikawa na objectives, research questions, methods, findings na conclusion. Lakini hili limekushinda hadi ulete hapa?[/QUOT
ni kweli mkuu lakini kumbuka mapenzi na elimu ni vitu viwili tofauti! ni dhahili kuwa mapenzi hayana phd but elimu ina phd, unahitaji kufanya maamzi sahihi kwa kila kitu
Unasali wapi?[/QUOT
mimi mkristo..
Hahaaaaaaa yan mi nmecheka sana...pia nkamuonea huruma mtendwa
Hahaaaaaaa yan mi nmecheka sana...pia nkamuonea huruma mtendwa
condom "chini" ya carpet?!!!..au labda kuna kitu sijaelewa?..yaani alifunua carpet akaweka condom halafu akafunika?
CYBERTEQ ahhha si ndo hii dah hapa hakuna.ushaur ushaona.kitu used ni sawa na kuona manyoya halaf unauliza yule kuku kaliwaNilikutana na mdada wa chuo cha biashara CBE. Kipindi hicho nami nilikuwa nafanya degree yangu ya pili pale Mzumbe. Tulipendana sana, nilisafri mkoani kikazi.
Tuliwasiliana kila siku ila kuna siku moja nilipata sms toka kwa mwanaume ikidai nimuache mpenzi wake akimaanisha yule mpenzi wangu. Juzi nimerudi safari mpenzi wangu alinipokea vyema na kwa furaha.
Cha ajabu chini ya kapeti chumbani nimekuta kondomu 3 zilizotumika takribani siku kama 2 nyuma. nimemuuliza mpenzi wangu amesema nae hajui zimefikaje chumbani kwetu.
Nifanye nini ndugu zangu ila binafsi nimeamua nimuache huenda nitapata mwingine.
usicheke inauma yani kuachiwa condom