Nilipanga kumuoa Januari, nimeahirisha

Nilipanga kumuoa Januari, nimeahirisha

Nilikutana na mdada wa chuo cha biashara CBE. Kipindi hicho nami nilikuwa nafanya degree yangu ya pili pale Mzumbe. Tulipendana sana, nilisafri mkoani kikazi.
Tuliwasiliana kila siku ila kuna siku moja nilipata sms toka kwa mwanaume ikidai nimuache mpenzi wake akimaanisha yule mpenzi wangu. Juzi nimerudi safari mpenzi wangu alinipokea vyema na kwa furaha.
Cha ajabu chini ya kapeti chumbani nimekuta kondomu 3 zilizotumika takribani siku kama 2 nyuma. nimemuuliza mpenzi wangu amesema nae hajui zimefikaje chumbani kwetu.
Nifanye nini ndugu zangu ila binafsi nimeamua nimuache huenda nitapata mwingine.

Piga chini mkuu kama kaweza kukufanyia hivyo ndani ya Uchumba hashindwi ndani ya ndoa.
Ukiona MANYOYA ujue kaliwa!
 
zile stlye za chini nadhani waliangushana chini wakawa wanafanya sasa ili wasione wakatupia chini ya kapet huku wakiendelea baadae wakasahahu

hahaha, unavosimulia utafikiri ulikuwapo vile ulikuwa unawaona walivokuwa wanameng'enyuliana!
 
Huyo nae kapoteza chance ya kuolewa alafu kesho na keshokutwa anaanza kubanana kwa waume wa wenzie!
 
Ye ndio akil zake mbovu ndio maana anyoi ndevu

ha ha ha ha
avatar70718_3.gif
embu njoo mueleza kazi ya ndevu ?
 
hahahaa, mi namwogopa tumboo alitaka kushikisha ukuta kijana wa watu, huenda ni shemale!

Tena wewe mbona kaz ndogo sana.....nakunyoa ndefuu zako na fyekeoo tuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom