Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,520
mkuu nililegea kama utumbo
Huyo malaya ni mchafu kiasi gani? anafua kyupi kweli?
mkuu nililegea kama utumbo
Unasali wapi?[/QUOT
mimi mkristo..
Nimeekuuliza unasali wapi, mbona majibu yako ya kunya ivo!
nimependa ile ya moyo usiokuwa na shukrani hufuta vyoteTena nasikia amesoma master's ya mapenzi!
condom "chini" ya carpet?!!!..au labda kuna kitu sijaelewa?..yaani alifunua carpet akaweka condom halafu akafunika?
Hahaaaaaaa yan mi nmecheka sana...pia nkamuonea huruma mtendwa
Hapa na shukrani zipo maana jamaa kajali!
usicheke inauma yani kuachiwa condom
Nilikutana na mdada wa chuo cha biashara CBE. Kipindi hicho nami nilikuwa nafanya degree yangu ya pili pale Mzumbe. Tulipendana sana, nilisafri mkoani kikazi.
Tuliwasiliana kila siku ila kuna siku moja nilipata sms toka kwa mwanaume ikidai nimuache mpenzi wake akimaanisha yule mpenzi wangu. Juzi nimerudi safari mpenzi wangu alinipokea vyema na kwa furaha.
Cha ajabu chini ya kapeti chumbani nimekuta kondomu 3 zilizotumika takribani siku kama 2 nyuma. nimemuuliza mpenzi wangu amesema nae hajui zimefikaje chumbani kwetu.
Nifanye nini ndugu zangu ila binafsi nimeamua nimuache huenda nitapata mwingine.
yes condom chini ya kapeti... alifunua akaitupia pale, nadhani alisahau kuitoa
CYBERTEQ ahhha si ndo hii dah hapa hakuna.ushaur ushaona.kitu used ni sawa na kuona manyoya halaf unauliza yule kuku kaliwa
Si ashukuru mungu kukuta na condom....je angekuta zmemwagiwa kitandan angefanyaje??
Nimeekuuliza unasali wapi, mbona majibu yako ya kunya ivo!
Aaa mkuu mbona kasema yy ni mkristo labda ujamuelewa tu kijana wawatu anabusara kweli yan
Na hutakaa upate like hata moja!
Join Date : 6th August 2014
Posts : 8
Rep Power : 302
Likes Received0
Likes Given0
Na hutakaa upate like hata moja!
Join Date : 6th August 2014
Posts : 8
Rep Power : 302
Likes Received0
Likes Given0