Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,483
Hayo mambo yamepitwa na wakati kwani yamesemwa sana. Kwenye uteuzi wa kipindi hiki kuna wengi walioomba amba ni A level na wengine na graduates. Filtering ya candidates hao ilisimamiwa na vyombo vingi tu. Wacheni kugeneralise mambo. Kwenye kile chuo cha ATC kwanza ni open na pili siyo kigezo kikubwa kwani mwisho wa hizi interviews ndipo intensive cabin crew training hufanyika pamoja na mengine ya technical.Majority ya ma cabin crew wa ATCL ni form4 l na pia uwe amesoma kozi yao ya mambo ya aviation, na upate leseni kutoka TCAA, Tatizo ni kwamba unaweza kuwa na vigezo vyote lakini huna Godfather sasa hapo uandike umeumia.
Kwanza ukuitwa kwenye interview shukuru maana wana bin maalum kama huna mtu barua yako ni straight kwenye bin. Barua nyingine zinapolelewa na watchman, kama yako imepokelewe na watchman andika umeumia hawana muda ya kuifungua
Uzuri siyo sifa pekee bali upstairs pia.