Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

Hii ime niacha hoi
Ko al takiwa ajiongeze sio mkuuu
Uliomba Kazi na ukanyimwa je, uliweza na Kutoa kitu Kingine ulichokabidhiwa na Mwenyezi Mungu chenye Ushawishi wa Kimwonekana na Kimwili kwa Wapokea Maombi hayo ambao najua ni Wanaume watupu na wakashindwa Kukusaidia uweze Kupata hiyo Kazi ambayo inaonekana unaipenda na kuitamani hadi hivi leo Mkuu?
 
Kama kwenye hiyo Dp ndio ww uko vizuri ila hizi kazi bila connection sio rahisi kupata
 
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Huu uzi bila picture haunogi
 
Pole hata mimi niliomba nikakosa nafasi
 
Upstairs? Kwani tunaenda kufanya upasuaji kwa wagonjwa pale.
Kama umeshindwa kuelewa hilo basi hukupaswa kuchaguliwa. Ila kwa taarifa yako vigezo vinavyotumika siyo mvuto peke yake kuna mambo mengi ambayo huchambuliwa kwenye uteuzi wa kazi hiyo maana wengi wanadhani kazi ya air hostess ni kugawa vinywaji na chakula tuu. Ingekuwa hivyo, mbona mitaani wako wengi tu.
 
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
JE UNA MAKALIO MAKUBWA?
 
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Leta picha na CV nikuweke kwenye mabasi ya KILIMANJARO TRUCK, tunalipa vizuri na utaolewa na mchagaa, wapenda maendeleo
 
Back
Top Bottom