ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,235
UZI HUU BILA PICHA YAKO ,NI SAWA SAWA na mwanaume ambaye hajatahiriwa ..Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni