Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

ulipita chuo pale terminal one? kuna corse zinatolewa pale ndio unapata kazi, wanaangalia vigezo vya uzuri wa umbo na umri wako. kama umesoma vyuo vingine huwezi kupata ni lazima uwe na leseni au cheti cha hapo chuoni? kama huna trafuta pesa somo hapo sio lazima upate ATCL yapo mashirika mengine ya kimataifa ama PW or KQ unaweza kupata kazi.
 
kwenye hii kazi hawangalii chura kama wengi wanavyodhani kikubwa ni umri na elimu uliyopata kuhusu kuhudumu kwenye ndege, umri na ufaulu wako, mvuto na tabasamu pamoja na akili yako... sio unaogopa mende alafu unataka kufanyakazi angani.
 
kwenye hii kazi hawangalii chura kama wengi wanavyodhani kikubwa ni umri na elimu uliyopata kuhusu kuhudumu kwenye ndege, umri na ufaulu wako, mvuto na tabasamu pamoja na akili yako... sio unaogopa mende alafu unataka kufanyakazi angani.
wanaangalia chura sema huwa hawasemi tu
 
tatizo hana chura huyu. mi namjua vizuri tu. siku tunawafanyia interview. yupo vzr kwenye urefu, rangi na uzuri pia olila chura hamna
 
Ila hii I'd zamani ilikuwa na Moto sana😬😂😂
 
Back
Top Bottom