Ndo maana yake, kinachovutia lazima kiliwe ndo maana alikosa sababu watu walitaka kula hata kabla ya ndege kuruka, akaleta mapoziKwahiyo mleta uzi analalama vile kakosa nafasi ya kwenda kuvutia kuliwa..?
Lete CV yako PM kama upo serious nakazi ya kuwa mhudumu wa ndege nikusaidie.Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Ndo maana yake, kinachovutia lazima kiliwe ndo maana alikosa sababu watu walitaka kula hata kabla ya ndege kuruka, akaleta mapozi
Dah pole sana mkuu.. lkn unaonaje nikikuajiri mm..Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
We unaweza kuruka?
Kinaitwaje hiko Chuo?
Swissport sio lazima form6 hata 4 unaombaSwissport Tanzania training / aviation training air Tanzania
Swissport sio mtanzania ni na sio lazima form6 hata 4 unaomba
Tuoneshe form6 kama qualification hapoUtakua ulihonga wewe ndio ukapata kupitia form 4[emoji23][emoji23][emoji23].... wp nimekwambia Swissport ni mtanzania hivi umesoma kuelewa au umekurupuka!!!!! Huyo kauliza vyuo ndio hivyo au unajingine... Cabin crew lazima uwe umemaliza form6 mimi ndio nakwambia
Tuoneshe form6 kama qualification hapoView attachment 1258144View attachment 1258145
Bado unahitaji??Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Mi sitaki kazi ya air hostess.We unalo?
tako unalo.?Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
HahahahaKha! hadi wezere wanaangalia, mimi nilidhani ni sura na urefu pekee..mtakuja kusababisha wateja wasitamani kushuka humo kwenye ndege
Nnalo la kukaliatako unalo.?
Sayari ya saluni.Mkuu hiyo course ya " hair hostess" inasomwa sayari gani?
Nilijilinganisha na air hostesses niliowakuta yaani hamna kitu. Wafupiiiii
Unajua kiingishi wewe,ukarimu je..? Na hilo jina lowasa limesimama Kama nini..? Uzuri unao chura je..? Urefu unao michuchumio utaweza..?