Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

Mzee hizo ni kauli za karne ya 17 hazina maana tena karne hii!

Hivi kuna binadamu gani anaweza kusema Kylie Jenner au Kim Kadashian ni wabaya?
Binadamu gani anaweza kupanda Flight za Emirates akasema kakutana na Air hostess wabaya?

Air Zimbabwe na Air Tanzania air hostess wake ni wabaya wengine wana mapua makubwa mamidomo mapana yani wana mapungufu hao hujawahi ona hahahahahahahahahahaha
Duu
 
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Hapa Mimi naona tatizo NYOTA Kama vipi jaribu kuisafisha kulingana NA imani yako imesimamia upande upi! Namaanisha kwa MAOMBI kumuomba M/Mungu au kwa mganga
 
Mambo siyo mvutu too bali upstairs kukoje?????
Upstairs ya nini. Kugawa vinywaji na vyakula kwenye ndege nako kunahitaji uwe vizuri kichwani? Hiyo kazi inahitaji ukarimu na kujua lugha ya kiingereza na kiswahili tu.
 
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Mbona wanasema we ni keusi hadi ukigusa mkaa unaacha finger prints
 
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni

hapa ndio fursa zinapo zijitokeza kukamata wajinga.ulikuwa wapi na leo hupo wapi.kama sio makumbusho stendi wewe
 
Back
Top Bottom