Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Usirudie Hilo kosa ,hata wanawake Huwa nawaambia ukiwa umeolewa mgeni wa kiume akija sharti mumeo awepo ,kama hayupo usimkaribushe ndani.kama ni Binti au mke wa mtu usiingie kwenye geto la mwanaume,wanawake wengi wanabakwa kisha wanakosa ujasiri wa kusema kuwa wamebakwa,
 
Kuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.

Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.

Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.

Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe.
Ulienda kwa mwanaume ambaye sio kaka yako kufanya Nini? Jamaa hana kosa, hata ungemshitaki usingeshinda kesi. Je ndivyo ulivyofunzwa kwenu kuwa mwanaume yoyote akija offisini kwenu kutaka huduma lazima uende kwake? Kimsingi ulikosa adabu
 
Mimi nimeshangaa sana huyu kijana kwanza anaonekana ana mademu kibao nikajua mimi atanichukulia kama mdogo wake tu loh! Kumbe alikuwa ananipigia mahesabu nikimaliza kula kitimoto anile na mimi
Uliona wapi swala kapita anga za Simba akabaki salama? Alichofanya kutaka game ilikuwa sahihi pia na uzuri umesema hakukubaka ikimaanisha bado alibaki kuwa mwema kwako.

Tuseme angekuwa mtu katili angekulazimisha akakutafuna ungemfanya nini wakati wewe ndio umemfuata kwenye himaya yake? Nani angeamini kuwa umebakwa na si mtu wake wakati umekaa mmepiga mdudu pamoja?

Huyo jamaa ni mstaarabu sana tu.
 
Ulienda kwa mwanaume ambaye sio kaka yako kufanya Nini? Jamaa hana kosa, hata ungemshitaki usingeshinda kesi. Je ndivyo ulivyofunzwa kwenu kuwa mwanaume yoyote akija offisini kwenu kutaka huduma lazima uende kwake? Kimsingi ulikosa adabu
Alikosa utambuzi jamaa sio kaka yake. Kuna wanawake wanaenda nyumbani kwa mwanaume na asipochukua hatua za kujiongeza wanamsema vibaya kuwa yawezekana si mwanaume. Jamaa ni mwanaume halisi.
 
Angenipa taarifa ya hilo tukio siyo kunishtukiza kama mke wake
Kwa sisi ambao umri umesonga haya mambo ya taarifa yanachelewesha mambo. Ukikaribishwa nyumbani kwa mwanaume na ukakubali kwenda jiandae kisaikolojia kuwa kuna mawili kuliwa au kurudi salama. Na possibility kubwa ni kukulana tu hakuna swala la ustaarabu.

Kama hutaki kuliwa usiende nyumbani kwa mwanaume kutana naye sehemu nyingine ya wazi ambayo hawezi kukusogelea akihitaji atakuomba kwa mfumo unaotaka wa kistaarabu.

Hata sisi wanaume kama hatutaki kuwala ukitukaribisha nyumbani au mazingira ya kuwa peke yetu hatuji tunaikwepa appointment maana tunajua kichwa cha chini kikiwa sehemu private na jinsia tofauti kinavurugwa haraka.
 
Sema nini, wanawake ni wabinafsi sana. Siungi mkono ubakaji lakini kuna vitu vizuri kakufanyia hapo lakini macho na akili yako wala haijajishughulisha kuviona.
1. Huna undugu nae but kakupa connection za kibiashara (this is according to u)
2. Kakupa chakula na muda wake tena nyumbani kwake, mkiwa 2 tu.
3. Baada ya wewe kumkatalia ombi/takwa lake bado umetoka kwake bila kukudhuru lakini bado akatumia fedha na muda wake kukupeleka kwako (kakupeleka kwa gari lake )
Kwa mujibu wa uzi hu, hiyo safari yako kwake ilikua ni kwa shida zako, I mean wewe ndio ulimuhitaji yeye kwa mambo yako na sio yeye kwako BUT still aliweza kutumia gharama zake kukufanyia hivo..., and I can bet, endapo angeacha kuwasiliana na wewe baada ya hilo tukio, is you ambaye ungechukia tena.
Open up your eyes and see, kweli kakukosea but kuna vitu kakufanyia vizuri tu and you didn't deserve but he did
 
Tatizo lenu Huwa hamjui kusoma wanaume. Huwa mnawanyima wanaowapenda kwa dhati na wenye malengo ya maana mnaenda kuwapa wajinga wajinga ambao mwisho wa sikunazaa na masanii yanayoishi maisha ya kuingiza. Ungempa tu huyo anaonekana alikuwa serious na alipnyesha viishara kwako ambavyo hukuvisoma
Hakuna mwanaume serious anaweza kufanya upuuzi wa kumlazimisha mwanamke sex
 
Hakuna mwanaume serious anaweza kufanya upuuzi wa kumlazimisha mwanamke sex
Kulazimisha Huwa kunakuja baada ya kujaribu all available options kwake kwa hisia na maneno kushindikana lakini moyo ukiwa unamsukuma kuwa ni wewe tuu.
 
Kulazimisha Huwa kunakuja baada ya kujaribu all available options kwake kwa hisia na maneno kushindikana lakini moyo ukiwa unamsukuma kuwa ni wewe tuu.
Sikubaliani na wewe kwenye hili
 
Back
Top Bottom