Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

kwamba unaenda kwenye chumba cha mwanaume na hujui anachohitaji? hukwendea hili? tangu lini mwanaume akawa rafiki wa mwanamke? never. pia, hivi unafikiri unaongea na watoto? kwamba tuamini ulitoka bure na akakupeleka kwa gari yake hadi kwenu. acha uzinzi, ni dhambi, itakugarimu, mpokee Yesu na uache dhambi au la ujinga wako hauna mwisho mwema.
Huyo kaliwa hapa ana tupanga wanawake ni mafundi wa kuedit story
 
Kuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.

Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.

UKAMUAMIN KWA MARAINGINE AKUPELEKE TENA HOME?? huyo jmaa mpe tu n mtu mwema sana. Ningekuw mim ningepeleka gari kwa kasi mpaka utoe tuu.
 
Back
Top Bottom