Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 8,551
- 22,837
Pole sana inasikitisha hasa hapo alipokuvuaa kyupi!
Pole sana inasikitisha hasa hapo alipokuvuaa kyupi!
Polee, Siku nyingine kuwa Makini Mkuu kama mtu siyo mpenzi wako, si vizuri kwenda anapoishi nendeni tu sehemu ya wazi yenye utulivu mkazungumze hukoAsante sana nashukuru Mungu hakutumia mabavu tulikuwa tunabishana sana na mimi nilikuwa mkali pia naona ilisaidia
Upo sahihi sanaKama haumpendi mtu usiende geto kwake. Hakuna urafiki wa watu walio balehe na mavuzeeeerrrr kibao
Imeisha..Kama haumpendi mtu usiende geto kwake. Hakuna urafiki wa watu walio balehe na mavuzeeeerrrr kibao
Huyo bado ni learner. Wale ma_pro ungeliwa na ukali wakoAsante sana nashukuru Mungu hakutumia mabavu tulikuwa tunabishana sana na mimi nilikuwa mkali pia naona ilisaidia
Kaona unapenda penda pochiSiwezi kupokea huyu ni mshenzi just imagine mtu anakwambia kesho nakununulia pochi uje basi nyumbani kuchukua kweli nirudi akanile kisa pochi, loh! Amenikosa
Ashakukula huyo kuwa mkweli tu 🤣... Natania mwaya anyway poleeee siku ingine usiende, sawaa?Kuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.
Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.
Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.
Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe.
Huyo ana kaushamba flan hivi. Kuna stage alieruka.Kuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.
Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.
Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.
Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe
Bado ana ujana mwingi sana huyu kakaHuyo ana kaushamba flan hivi. Kuna stage alieruka.
anyway ulikuwa sahihi pia..
Enzi za ujana wangu iwe isiwe lzm ningekupiga pu...mb unajua hakuna dharau kubwa kwa kijana kama demu anaingia geto iwe kwa makusudi au bahati mbaya alafu akatoka bila hata kumpachika kidole!!!??Kuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.
Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.
Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.
Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe.
Hawezi kujifunza maana kuna wajinga watakuwa wanampa kizembe0 sana,msamehe ashajifunza.
Ulipata faida gani sasa kwa kung'onoka na kila mwanamke anaeingia getoni kwako?Enzi za ujana wangu iwe isiwe lzm ningekupiga pu...mb unajua hakuna dharau kubwa kwa kijana kama demu anaingia geto iwe kwa makusudi au bahati mbaya alafu akatoka bila hata kumpachika kidole!!!??
Anyway Wacha sasa nitulie nihangaike na vyamaana
Angekula ningelia sana na uzi nisingeuleta😂😂 nimekoma siendi tena kwa watuAshakukula huyo kuwa mkweli tu 🤣... Natania mwaya anyway poleeee siku ingine usiende, sawaa?