Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,780
- 9,148
Jambo jema.
Hana swaggar wala vibe?Mimi sijapoteza kitu maana sijawahi kuwa na hisia naye kabisa
Huyu kaliwaLakini na nyie mnazingua! Eti nilimuona kama kaka yangu au rafiki wa kiume ... nilienda anipe ushauri wa jinsi ya kujiajiri.... Mweeeh! Hakuna kitu kama hicho. Nyote mlizingua! Na yeye angekuandaa na kuchukulia fursa kutega nyavu akunase kimasihara! Ona sasa, kamwaga mboga, wewe ugali! Mmekosa nyote!😝
Aise hata mie ngumi humo lazima zitembee 😃Asante sana nashukuru Mungu hakutumia mabavu tulikuwa tunabishana sana na mimi nilikuwa mkali pia naona ilisaidia
Siwezi kupokea huyu ni mshenzi just imagine mtu anakwambia kesho nakununulia pochi uje basi nyumbani kuchukua kweli nirudi akanile kisa pochi, loh! AmenikosaPokea simu yake huenda iyo siku upwiru ulimkabia kwa juu .
Umeenda ghetto umekula na connection ya maokoto unataka for free ? Seriously! ungempa muungwana hata Ahadi ya chochote kitu .
Embu tuambie vizuri. Ulimnyima kweli?Mimi sijapoteza kitu maana sijawahi kuwa na hisia naye kabisa
Tena ukome kabisa, unaweza kuliwa kimasihara, kwakuona aibu watu uliowapita hapo nje watauliza umeingiaje humo!Yaani hilo siwezi kurudia kabisa
Yaani ni mpumbavu sana mambo ya kubakana ya zamani sana, wanawake walivyo jaa siku hizi unaanzaje kubakaAise hata mie ngumi humo lazima zitembee 😃
Kwa usafiri gani, hiyo boda boda😂😂Kwa macho ya ndani ameenda kwa sababu ya uyo mkaka ana usafiri wake
Nimekuja naomba uje geto tuzungumzeMshenzi sana huyu kijana kwanini hakuomba tangu sijafika si wenzie ndiyo huwa wanafanyaga hivyo
Hapana hajaliwa huyo!Huyu kaliwa
Ungempa tu kidunchuuuu.Kuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.
Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.
Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.
Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe.
Sio wanawake wote wana mvuto. Mimi nafamishe zangu maeneo mengi Dar. Kwasiku naweza kuvutiwa na bidada mmoja au nisione!Yaani ni mpumbavu sana mambo ya kubakana ya zamani sana, wanawake walivyo jaa siku hizi unaanzaje kubaka