Sema nini, wanawake ni wabinafsi sana. Siungi mkono ubakaji lakini kuna vitu vizuri kakufanyia hapo lakini macho na akili yako wala haijajishughulisha kuviona.
1. Huna undugu nae but kakupa connection za kibiashara (this is according to u)
2. Kakupa chakula na muda wake tena nyumbani kwake, mkiwa 2 tu.
3. Baada ya wewe kumkatalia ombi/takwa lake bado umetoka kwake bila kukudhuru lakini bado akatumia fedha na muda wake kukupeleka kwako (kakupeleka kwa gari lake )
Kwa mujibu wa uzi hu, hiyo safari yako kwake ilikua ni kwa shida zako, I mean wewe ndio ulimuhitaji yeye kwa mambo yako na sio yeye kwako BUT still aliweza kutumia gharama zake kukufanyia hivo..., and I can bet, endapo angeacha kuwasiliana na wewe baada ya hilo tukio, is you ambaye ungechukia tena.
Open up your eyes and see, kweli kakukosea but kuna vitu kakufanyia vizuri tu and you didn't deserve but he did