sunola
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 2,781
- 1,741
hebu ongeza nyama kidogo kwenye maelezo yako mkuu tupate kujua hata kidogo ulishuhudia nni.Mimi haya mambo nimeyashuhudia mengi mkoani Kilimanjaro japo ni ya tofauti lakini yanashabihiana
hebu ongeza nyama kidogo kwenye maelezo yako mkuu tupate kujua hata kidogo ulishuhudia nni.Mimi haya mambo nimeyashuhudia mengi mkoani Kilimanjaro japo ni ya tofauti lakini yanashabihiana
Hicho kitu ulichokiona hata Mimi na wnzangu wanne tulikwisha wahi kukiona mwaka 1987 tulikuwa kwenye garden ya home baada ya kipindi cha marudio cha mama na mwana radio Tanzania, tulikuwa tunajiandaa kwa masomo ya usku kwa ajiri ya mtiani. Ni mwanga mkali wa bluu na ule mwanga ulipanda juu na kupotelea, ni mwanga mkubwa sana. Palepale tulikimbilia ndani tukamwuliza mzee. Akatuambia wao wanakijua kama "nyota ya jah" akasema muda ule tungeomba kitu chochote, kila mmoja wetu nasi tungefanikiwa, na kwamba ni bahati na uwezi kikiona tena maishani,,, kisayans nadhani ni U. F. ONiaje wadau?
Hili tukio nililishuhudia kwa macho yangu wala sio stori..
Ilikuwa ni jijini mwanza mwaka 2006 tukiwa kwenye gari tunatoka kwenye harusi usiku kama saa nane hivi ama saa tisa usiku.
Tulitoka harusini salama salimini safari ilikuwa ndefu kidogo lkn tulipokaribia kufika gari tuliokuwa tumepanda iliishiwa mafuta!
Dereva akaipaki gari pembeni mtu mmoja akashuka kukimbilia petroli ilikuwa ni maeneo ya ghana kwa wakazi wa mwanza nadhani mnapapata.
Wakati tukisubiri petroli huku wengine wakiwa wameshuka wakibalizi ghafla tuliona mwanga wa kijani umetanda pote!
Kucheki juu niliona kitu hicho kikitoa mwanga huo huku kikienda juu kwa kasi na mwanga huo ulidumu kwa sekunde kama sita hivi na kile kilichotoa mwanga huo kilipotelea angani!
Kusema kweli mapigo ya moyo yalinienda mbiombio..Watu walisema ni satelite lkn hawakuwa na uhakika.
Kutokana na utoto nliokuwa nao sikuhoji sana lkn sasa nimelifikiria tukio lile nimekosa majibu pia nimejaribu ku google ni satelite gani ilirushwa mwaka huo but no..
Kama ni satelite ni lini Afrika ama tanzania tumeirusha huko angani mwaka 2006...? but nothing!
Wadau kama kuna alieshuhudia tukio lile na anajua ni nini kile kilichotokea anijuze maana kichwa kinanikeleketa kutaka kujua ni nini kile..?
Hata leo nimekuwa nikiwauliza na kuwakumbusha tuliokuwa nao siku ile lkn jibu walitoa ni satelite! Hivi satelite ikiwa inarushwa ndo hutokea vile..?
Na tatizo jengine nililoliona hapa ni kuwa sisi waafrika sio wafuatiliaji wa mambo kiundani.. (But not all).
Wadau ni hivyo tu kama kuna anaejua anijuze and that is all...!
Karibuni
Ndo nimepewa dakika chache zilizopita kilichobaki ni kupiga picha fulani niambatanishe-nitazipiga saa kumi na mbili wakati airbantu ikirushwa maana hurushwa mida hiyo tu.Mkuu hujapewa kibali?
Hahahaa!Tuanzie hapa mtoa post, "unaijua airbantu??"
Nitatupia humu picha ama video fupi ili tu uone maunjanja nq kile alichoona jamaai wait for it itaonekana sehemu gani..?

Mkuu,
Tafuta Oxford English Readers book two kama hukusoma miaka ya 64 to 66
Abdul alitandika meza na kuweka viatu kama vile mtu amekaa.
Alianzisha hoja kuwa ameona malaika na amemkaribisha.
Kipimo cha kujua wewe ni mtu mzuri lazima umwone, usipomwona una dhambi.
Walipoingia mmoja mmoja ndani ya chumba kila alietoka alisema amemwona.hii ndio hadithi tunapewa
2006 na Leo mtu atakumbuka nini?
Kama ulikuwa darasa la nne 2006 ....utakuwa ulikuwa na miaka 10,11 au 12......mpaka sasa hujazidi 22 so ulikuwa Mdogo unaweza uliona kweli satellite kiongozKuna watu wanadhani mtu ukiwa mtoto basi ulikuwa unaota! duh! kuwa mtoto sio sababu wkt huo nilikuwa darasa la nne kwahiyo mnataka kuniambia mtu wa darasa la nne mwaka 2006 mpk leo hawezi kukumbuka kitu..?
nimekuwa hata nikimsimulia mama baadhi ya matukio kipindi nipo mdogo lkn hata yeye amekuwa akishangaa maana anadhani kwa umri ule(hata chekechea nilikuwa sijaanza) nisingeweza kukumbuka matukio mengine!
Nyie mnaosema umri kama kikwazo ndo mnaambiwa kitu na watoto wenu kisha mnapuuzia but inakuja kuwa tatizo mbeleni..