Hata hivyo we bado mtoto, 2006 darasa la nne ? Duh kumbe tunabishana na watoto wetu humu. Mwanangu wa kwanza nje ya ndoa 2006 alikuwa darasa 2. Kwa sababu ya utoto uliona vile vidudu vinakimbia vinawaka sisi tulikuwa tunavita vimurimuri. Ndicho ulichoona na si kingine bwana mdogo.Kuna watu wanadhani mtu ukiwa mtoto basi ulikuwa unaota! duh! kuwa mtoto sio sababu wkt huo nilikuwa darasa la nne kwahiyo mnataka kuniambia mtu wa darasa la nne mwaka 2006 mpk leo hawezi kukumbuka kitu..?
nimekuwa hata nikimsimulia mama baadhi ya matukio kipindi nipo mdogo lkn hata yeye amekuwa akishangaa maana anadhani kwa umri ule(hata chekechea nilikuwa sijaanza) nisingeweza kukumbuka matukio mengine!
Nyie mnaosema umri kama kikwazo ndo mnaambiwa kitu na watoto wenu kisha mnapuuzia but inakuja kuwa tatizo mbeleni..
kama ni utoto mbona hata wakubwa waliokuwepo siku hiyo nikiwauliza wanalikumbuka tukio hilo na wao ndio walisema ni satelite.Hata hivyo we bado mtoto, 2006 darasa la nne ? Duh kumbe tunabishana na watoto wetu humu. Mwanangu wa kwanza nje ya ndoa 2006 alikuwa darasa 2. Kwa sababu ya utoto uliona vile vidudu vinakimbia vinawaka sisi tulikuwa tunavita vimurimuri. Ndicho ulichoona na si kingine bwana mdogo.
Hapana nilipigwa stop ghafla na mzee mmoja nikiwa nachukua video, nlikawekwa kwenye kiti maalum nijieleze hiyo tabia ya kupiga picha imeanza lini na kwa nini.Fake ahadi..!!
Uongo tu.... Kwani ukisema kweli utapigwa?Hapana nilipigwa stop ghafla na mzee mmoja nikiwa nachukua video, nlikawekwa kwenye kiti maalum nijieleze hiyo tabia ya kupiga picha imeanza lini na kwa nini.
Itakua uliwaona jaduu maana mwaka huo ndio rohit mera aliwaona