Nilichokiona bado sijakitambua mpaka leo..

Nilichokiona bado sijakitambua mpaka leo..

Umesema ulikuwa mdogo,... Kuna uwezekano ulikuwa umelala kwa uchovu wa harusi, na hAyo uliyoyaona ni ndoto...achana nayo.
si rahisi kama unavyodhani na udogo sio tatizo nina kumbuka na hata majuzi nilimpigia simu mtu ambae alikuwepo kwenye hilo tukio na analikumbuka vizuri tu lkn nilivyomuuliza yeye mpk sasa anahisi ilikuwa ni nini alisema hajui..! how can a dream become like that..?
 
Niaje wadau?

Hili tukio nililishuhudia kwa macho yangu wala sio stori..

Ilikuwa ni jijini mwanza mwaka 2006 tukiwa kwenye gari tunatoka kwenye harusi usiku kama saa nane hivi ama saa tisa usiku.

Tulitoka harusini salama salimini safari ilikuwa ndefu kidogo lkn tulipokaribia kufika gari tuliokuwa tumepanda iliishiwa mafuta!

Dereva akaipaki gari pembeni mtu mmoja akashuka kukimbilia petroli ilikuwa ni maeneo ya ghana kwa wakazi wa mwanza nadhani mnapapata.

Wakati tukisubiri petroli huku wengine wakiwa wameshuka wakibalizi ghafla tuliona mwanga wa kijani umetanda pote!

Kucheki juu niliona kitu hicho kikitoa mwanga huo huku kikienda juu kwa kasi na mwanga huo ulidumu kwa sekunde kama sita hivi na kile kilichotoa mwanga huo kilipotelea angani!

Kusema kweli mapigo ya moyo yalinienda mbiombio..Watu walisema ni satelite lkn hawakuwa na uhakika.

Kutokana na utoto nliokuwa nao sikuhoji sana lkn sasa nimelifikiria tukio lile nimekosa majibu pia nimejaribu ku google ni satelite gani ilirushwa mwaka huo but no..

Kama ni satelite ni lini Afrika ama tanzania tumeirusha huko angani mwaka 2006...? but nothing!

Wadau kama kuna alieshuhudia tukio lile na anajua ni nini kile kilichotokea anijuze maana kichwa kinanikeleketa kutaka kujua ni nini kile..?

Hata leo nimekuwa nikiwauliza na kuwakumbusha tuliokuwa nao siku ile lkn jibu walitoa ni satelite! Hivi satelite ikiwa inarushwa ndo hutokea vile..?

Na tatizo jengine nililoliona hapa ni kuwa sisi waafrika sio wafuatiliaji wa mambo kiundani.. (But not all).

Wadau ni hivyo tu kama kuna anaejua anijuze and that is all...!

Karibuni
Google aurora, ni normal
 
Ebwana weweee nilishawahi kuona kitu kama ichoooo utotoni pia lakini hadi leo mimi na wenzangu niliokuwa nao hatukuwahi kujua ni nini!. Ki ukweli lilipotokea wote hatukuongea kitu kama sikunde kadhaa. Tulishtuka baada ya sekunde kila mtu akawa anamuuliza mwenzake kama kaona. Tuliogopa sana na kutetemeka na mbio zikafata.

Ilikuwa Morogoro, Boma Road sisahau lile tukio. Ingawa sijawahi kujua ni nini.
 
Niaje wadau?

Hili tukio nililishuhudia kwa macho yangu wala sio stori..

Ilikuwa ni jijini mwanza mwaka 2006 tukiwa kwenye gari tunatoka kwenye harusi usiku kama saa nane hivi ama saa tisa usiku.

Tulitoka harusini salama salimini safari ilikuwa ndefu kidogo lkn tulipokaribia kufika gari tuliokuwa tumepanda iliishiwa mafuta!

Dereva akaipaki gari pembeni mtu mmoja akashuka kukimbilia petroli ilikuwa ni maeneo ya ghana kwa wakazi wa mwanza nadhani mnapapata.

Wakati tukisubiri petroli huku wengine wakiwa wameshuka wakibalizi ghafla tuliona mwanga wa kijani umetanda pote!

Kucheki juu niliona kitu hicho kikitoa mwanga huo huku kikienda juu kwa kasi na mwanga huo ulidumu kwa sekunde kama sita hivi na kile kilichotoa mwanga huo kilipotelea angani!

Kusema kweli mapigo ya moyo yalinienda mbiombio..Watu walisema ni satelite lkn hawakuwa na uhakika.

Kutokana na utoto nliokuwa nao sikuhoji sana lkn sasa nimelifikiria tukio lile nimekosa majibu pia nimejaribu ku google ni satelite gani ilirushwa mwaka huo but no..

Kama ni satelite ni lini Afrika ama tanzania tumeirusha huko angani mwaka 2006...? but nothing!

Wadau kama kuna alieshuhudia tukio lile na anajua ni nini kile kilichotokea anijuze maana kichwa kinanikeleketa kutaka kujua ni nini kile..?

Hata leo nimekuwa nikiwauliza na kuwakumbusha tuliokuwa nao siku ile lkn jibu walitoa ni satelite! Hivi satelite ikiwa inarushwa ndo hutokea vile..?

Na tatizo jengine nililoliona hapa ni kuwa sisi waafrika sio wafuatiliaji wa mambo kiundani.. (But not all).

Wadau ni hivyo tu kama kuna anaejua anijuze and that is all...!

Karibuni
ulikuwa bado mtoto mwaka 2006 duuh!
 
Kuna viumbe vinaitwa elian vinaishi sayari nyingine na vinatumia technolijia ya hali ya juu kuna wakati vinakujaga dunia na kuviona ni nadra sana..
 
Naomba unayetaka kumjibu jiulize, kwa nini kama hao wenye arusi walijua wangeenda mbali hivyo, mbona hawakuweka mafuta ya kutosha?
Kama ni vipi, kwa nini mwanga huu utokee ghafla na kupotea?
Nadhani, kuisha mafuta ilikuwa ndio The only chance ya ujumbe flan kufikishwa kwa walengwa. Kuna kaujumbe hapo
Mkuu,
Tafuta Oxford English Readers book two kama hukusoma miaka ya 64 to 66
Abdul alitandika meza na kuweka viatu kama vile mtu amekaa.
Alianzisha hoja kuwa ameona malaika na amemkaribisha.
Kipimo cha kujua wewe ni mtu mzuri lazima umwone, usipomwona una dhambi.
Walipoingia mmoja mmoja ndani ya chumba kila alietoka alisema amemwona.hii ndio hadithi tunapewa
2006 na Leo mtu atakumbuka nini?
 
Bora ungepita kimya kimya tu kama hujui kitu na si kwa maneno hayo
Una uhakika gani kama sipo correct??
hii kitu nilifundishwa madrassa na hata mtume alivyokuwa anaenda safari yake ya baitul maqadis alikutana na vioja kama hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom