Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Hivi mnavidharau vyombo vyetu vya usalama?
Au mkiona ndevu tu mnajichatolia?
Hii inanikumbusha kisa cha Singh (singa singa) aliyeuliwa kwa ndevu zake tu baada ya Sept 11. Cha kushangaza katika picha zote zilizotolewa na intelijensia ya USA wale waliodhaniwa kuwa ndiyo wamezipiga zile nyumba za New York hakuna hata mmoja mwenye ndevu na kanzu fupi wala ndefu.
Wasiwasi wako ndiyo maradhi yako.
Hukufanya vibaya kwa kuwa na mawazo ya kizalendo na kujikinga, siku nyingine usitazame wenye ndevu tu na kanzu, wabaya hawana alama.
Ukiachilia mbali kutokuvaa kanzu pia inaonyesha ni watu wenye mbinu sana na mipango yenye ustadi wa hali ya juu ndo ndio sababu unakuta wanafanikiwa kwenye mipango yao.Kama angekuwa mtu mbaya asingetumia mbinu za kitoto kama hizo huyo alikuwa raia mwema tu sema huenda mavazi na ndevu vikachangia kufanya hatiliwe mashaka
punguza jazba
Bila shaka kama angekuwa mzungu asingeangaika nae kilichompa utata ni ndevu na kanzu tunawaambia hatutaacha kuziachia ndevu na....