Nilichofanya leo Mlimani City

Nilichofanya leo Mlimani City

hongera kwa kujali usalama though naamini angekua mzungu ungechukulia poa. Waislam wana kazi kubwa sana ya kujivua tuhuma za ugaidi zinazowaandama kwaajili ya wachache.
We mtoto wa kike uliokosa mume hasira zako usituletee sisi. Laumu sura yako na malezi mabovu uliopewa.
Tujivue Lawama Za Ugaidi kuna Muislamu alikugaidi wewe?
Mijitu mingine Sura mbovu, akili mbovu na tabia pia Mbovu, halafu kufa halitaki.
Mnfnsssssssss.
Nyambaff kabisa.
 
mmh isije ikawa alshababu huyo anafanya uchunguzi kwa mda then anakinukisha? mmh nshaogopa tayari sigusi tena pale dadeki!
Acha kuropoka kijana.
Toka lini alshabab wakapige picha ndio wavamie?
Jaribu kufikiri kabla ya Kuropoka.

Wale wakitaka Kuvamia Ni Kuingia tu, hawajali camera wala Ulinzi uliopo.
Manake wale hawapigania Kushinda bali wanapigana WAFE!
Sasa mwenye kutaka Kufa ana haja ya Kupiga picha?

Mitanzania Mtihani sana Aise.
 
Ukiona ndevu na kanzu kila MTU unamuona ni Alshababi? Usiwaze vitu vilivoko nje ya uwezo wakokwakua havina msingi wala sababu.

Ivi amani kama itavunjika Tanzania icho kismati chako utakitoa mfukoni.
Watanzania MNA mambo ya ajabu sana unakwenda sehemu za matumizi huna pesa unawachunguza walokuja kutumia na kuwafatilia.
 
Hivi mnavidharau vyombo vyetu vya usalama?

Au mkiona ndevu tu mnajichatolia?

Hii inanikumbusha kisa cha Singh (singa singa) aliyeuliwa kwa ndevu zake tu baada ya Sept 11. Cha kushangaza katika picha zote zilizotolewa na intelijensia ya USA wale waliodhaniwa kuwa ndiyo wamezipiga zile nyumba za New York hakuna hata mmoja mwenye ndevu na kanzu fupi wala ndefu.

Wasiwasi wako ndiyo maradhi yako.

Hukufanya vibaya kwa kuwa na mawazo ya kizalendo na kujikinga, siku nyingine usitazame wenye ndevu tu na kanzu, wabaya hawana alama.
Ubaya ndiyo hauna alama ila matukio mengi ya maafa yanafanywa na watu wenye midevu na kanzu kama huyo mshukiwa. Kwa hiyo sioni point yako ya msingi zaidi ya kutaka kukataa ukweli kwamba waarabu ambao ni waislamu ndio wana probability kubwa ya kuwa magaidi.
 
Acha kuropoka kijana.
Toka lini alshabab wakapige picha ndio wavamie?
Jaribu kufikiri kabla ya Kuropoka.

Wale wakitaka Kuvamia Ni Kuingia tu, hawajali camera wala Ulinzi uliopo.
Manake wale hawapigania Kushinda bali wanapigana WAFE!
Sasa mwenye kutaka Kufa ana haja ya Kupiga picha?

Mitanzania Mtihani sana Aise.
Wewee acha kuwafanya alshabab kwamba ni wapumbavu kiasi hicho. Yaani wavamie sehemu bila kufanya intelligence za mwanzo? Kupiga picha tu ni mbinu hatari kabisa za kufanya uvamizi sehemu fulani. Ndio maana kwenye kambi za jeshi ama maeneo ya serikali hairuhusiwi kupiga picha hovyo.
 
Hongera mkuu kwa kujali ila mmeniboa tu kwa sababu hamkumpeleka polisi
 
Kova atupe intelijensia report ya huyu mtu leo kwenye taarifa ya habari,ingekuwa maadamano wa ndugu zetu wale tayari intelijensia ingetoa viashiria vya uvinjifu wa amani lkn kwa mtu kama huyu anayeandaa mambo yasiyo ya kawaida haonekani kwenye camera zao
 
Usalama wa taifa upo wapi? Tahadhari kabla ya hatari Anapashwa kuhojiwa kama ni raia wa Tz kama siyo shughuli ianzie hapo. Hope usalama wa taifa wanasoma JF wachukue hatua.
 
Mmmmh !! hata mie ni mvaaji kanzu vizuri sana khaswa na ndevu full !!!!

@monaco ubarikiwe umePlay your role... Lakini mara ingine uende kiuUngwana na kistaarabu.
Good Luck. God bless Tanzania!!
 
Kova atupe intelijensia report ya huyu mtu leo kwenye taarifa ya habari,ingekuwa maadamano wa ndugu zetu wale tayari intelijensia ingetoa viashiria vya uvinjifu wa amani lkn kwa mtu kama huyu anayeandaa mambo yasiyo ya kawaida haonekani kwenye camera zao
 
Wewee acha kuwafanya alshabab kwamba ni wapumbavu kiasi hicho. Yaani wavamie sehemu bila kufanya intelligence za mwanzo? Kupiga picha tu ni mbinu hatari kabisa za kufanya uvamizi sehemu fulani. Ndio maana kwenye kambi za jeshi ama maeneo ya serikali hairuhusiwi kupiga picha hovyo.
Unafahamu sababu ya kuzuia Kupiga picha sehemu muhimu za serikali? Au unaropoka tu!
Utazuia Muuwaji kuua kwa Kuweka Camera ?
Hivi nyie viumbe mmekulia Wapi?
 
Ni jambo zuri umefanya, ila kama una Backup zitupie huko hizo picha just in case umepoteza simu, zinaweza kusaidia siku zijazo, na ukawa shujaa, japo ki-tz mhh sina uhakika. Ni kweli gaidi anazo mbinu nyingi sana, anaweza mfano akaja na gari, akalipaki asishuke na kuanza kupiga picha tokea ndani ya gari, kama ana kamera makini lakini. Yote ya yote HONGERA SANA.

Ahsante!
 
Back
Top Bottom