Nilichofanya leo Mlimani City

Nilichofanya leo Mlimani City

Ungepiga wale waliokuwa wanafanya tallying maeneo yale kipindi cha wakati nyeti ungepata sifa mara dufu. Safi sana" raia daraja la kwanza "
 
Bravoooo monaco for been patriotic. When you see people of said description, please contact your nearest precinct.
 
Last edited by a moderator:
Ulichoogopa kwa huyo jamaa ni hizo ndevu zake? Maana kama ni picha na weye umepiga tena nyingi tu.
 
Hali ishakuwa mbaya kwa kweli sio jambo la kulipuuzia kabisa
 
Hongera sana ila ninamashaka kuwa picha zilizo futwa watazipata kwa kutumia recovery software ambayo ni within 3minutes zinarejea ASKARI NAO WANAPASWA WAWE WA KISASA ZAIDI WASIFANYE KAZI KWA MAZOEA.
OVER
 
Tatizo ni kuwa alikuwa amevaa kanzu na ni mwarabu, je angekuwa mtu amevaa kawaida ungehisi hivyo, halafu m city wana CCTV camera, angalia usije ukageuziwa kibao, ila mbona nchi za ulaya na marekani watu wanajiachia kupiga picha tu,
 
hapo akienda kufanya data recovery ya storage ya camera (labda ni memory card) anazipata picha zote
 
Ni sawa kuwa na mashaka, ila kwa kupiga tu picha, tena mlimani city, si kitu cha kutilia shaka hats kidogo, sehemu km hizo duniani kote watu hupiga sana picha, haijalishi unapiga wapi, tena mmemdhalilisha sana Huyo jamaa, na amewaona washamba sana, mtu akitaka ramani ya hilo jengo ni rahisi tu, tena km ni gaidi, si kwakupiga picha, we ulivyompiga picha na kupost humu ulikuwa na lengo gani, unataka tuamini kuwa ni gaidi, au ulitaka kutuonyesha kuwa una simu ya maana, umenikera sana.
 
hamna kitu hapo!mtoa mada katilia shaka KANZU NA NDEVU!!YES KANZU NA NDEVU!!!!angekuwa MZUNGU,ndo kwanza angempa HI
 
Back
Top Bottom