Nilichofanya leo Mlimani City

Nilichofanya leo Mlimani City

Ni sawa lkn mujahidina hawavai kanzu kwenda kwenye kuchunguza eneo kaka huyoo jamaa wa kawaida tu
 
mkuu, hilo litakuwa gaidi la wastegate. ungelichomea utambi kwa vijana wa kova...hao wagambo wa game hawajui umuhimu wa usalama.
 
Ni sawa lkn mujahidina hawavai kanzu kwenda kwenye kuchunguza eneo kaka huyoo jamaa wa kawaida tu

Ukiachilia mbali kutokuvaa kanzu pia inaonyesha ni watu wenye mbinu sana na mipango yenye ustadi wa hali ya juu ndo ndio sababu unakuta wanafanikiwa kwenye mipango yao.Kama angekuwa mtu mbaya asingetumia mbinu za kitoto kama hizo huyo alikuwa raia mwema tu sema huenda mavazi na ndevu vikachangia kufanya hatiliwe mashaka
 
Ni sawa lkn mujahidina hawavai kanzu kwenda kwenye kuchunguza eneo kaka huyoo jamaa wa kawaida tu

Mujahidina hawezi kuwa na mbinu za kitoto za kupata data kama za huyo jamaa atakuwa raia mwema tu sema huenda mavazi yake na ndevu zake vikawa vimechangia kwa kiasi kikubwa kutiliwa shaka na mtoa mada.
 
Safi sana mkuu..watu wa usalama wanaweza fatilia picha izi au zile camera za hapo mall kama zinafanya kazi maana kama zingekua zinafanya kazi kitengo cha security upande wa camera wao ndio wangekua wa kwanza kumkamata..
 
faiza foxy sijakuelewa hata!
 
Last edited by a moderator:
Uko vizuri, huo ujasili umepotea kwa askari wetu njaa.

Ila inabidi tuende zaidi ya hapo. Mtu kuonekana ni wa jamii fulani au kavaa mavazi wanayovaa washukiwa na magaidi hawezi kufanya hivyo labda kama amekuja kwa ajili ya kushambulia maana siku hizi anastukiwa kila mahala.


Uko vizuri mkuu. Nimependa hiyo spirit
 
Hivi angepiga mbongo hizo picha ungemfuatilia hivyo?
Nauliza tu wajameni. .
 
Angepiga mzungu sidhani kama ungeyafanya yote haya
 
Mujahidina hawavai kanzu na wala hawafugi ndevu haswa kwenye matukio kama hayo..na mbinu zao ni za hali yajuu sio za kitoto kama iyo alotumia jamaa kukusanya data..huyo ni jamaa wa kawaida tu ila ndevu na kanzu ndizo zilizokupa shaka.

By the way hongera sana!!
 
Angepiga mzungu sidhani kama ungeyafanya yote haya

Jamani hebu muelewe,suala sio mavazi sio mavazi eboo,Au Rangi ya mtu,Suala Hapa ni sehemu aliokuwa anapiga Picha,mbona huzijadili hizo sehemu???
Sehemu ya mbele ya Game,security camera zile zilizopo Kwenye veranda zipo kwa Juu sehemu ambayo kwa chini kuna vibenchi watu huwa wanakaa na watu wengi huwa wanapishana,Ile veranda ndeefu from Exim bank inaishia Photo shop pale Au KCB sasa kwa Juu,sasa wewe unajadili ndevu na mtu na Rangi yake...Aiseee
Anaulizwa anasema anataka ku compare na South Africa game...,Hana kibali.
Kupiga Picha pale sio Tatizo nafikiri,watu wanapiga Selfie sana tuu lakini sio Eti kwa Juu,Mara ndani ya game Kwenye shelf...
Mwisho kaambiwa Futa,kafuta...
Jadili hayo,sio Rangi ya mtu...
 
Hongera sana .good job tunaitaji watanzania wengi wa mfano wako
 
Mujahidina hawavai kanzu na wala hawafugi ndevu haswa kwenye matukio kama hayo..na mbinu zao ni za hali yajuu sio za kitoto kama iyo alotumia jamaa kukusanya data..huyo ni jamaa wa kawaida tu ila ndevu na kanzu ndizo zilizokupa shaka.

By the way hongera sana!!

Howrty Lady,Mimi na wewe ni Watanzania,
Umeinguza Suala la Imani,
Imani ya mtu haibadiliki kamwe sehemu yoyote Ile,na mwenye Imani thabiti ndo anaaminika....
Rastafarian hata akienda kanisani hanyoi Rasta Zake....
Huyo mjahidina unaemsemea akihitaji kwenda sehemu Hawezi kunyoa na Kubadili mavazi yake kisa asijulikane....Imani yake haimruhusu kubadilisha,Eti mpaka anyoe kisa asijulikane....
Anyway SIKUTAKA kuongelea suala la Imani.
Mi naongelea Usalama Nchi yetu,
Huwezi jua Mipango ya mbali ya watu wabaya ikoje....
Na huwezi jua Nani ataweza kuarhirika....
Mimi na wewe tuna wajibu wa kutoa Taarifa unapoona kuna Tukio ulilolitilia Shaka,
Then Itabidi kazi ya Mamlaka husika kufuatilia:
Jamani hebu muelewe,suala sio mavazi sio mavazi eboo,Au Rangi ya mtu,Suala Hapa ni sehemu aliokuwa anapiga Picha,mbona huzijadili hizo sehemu???

Sehemu ya mbele ya Game,security camera zile zilizopo Kwenye veranda zipo kwa Juu sehemu ambayo kwa chini kuna vibenchi watu huwa wanakaa na watu wengi huwa wanapishana,Ile veranda ndeefu from Exim bank inaishia Photo shop pale Au KCB sasa kwa Juu,sasa wewe unajadili ndevu na mtu na Rangi yake...Aiseee

Anaulizwa anasema anataka ku compare na South Africa game...,Hana kibali.

Kupiga Picha pale sio Tatizo nafikiri,watu wanapiga Selfie sana tuu lakini sio Eti kwa Juu,Mara ndani ya game Kwenye shelf...

Mwisho kaambiwa Futa,kafuta...

Jadili hayo,sio Rangi ya mtu...
 
You are so great and critical thinker! Jitahidi uwe unapata picha kwa usoni!
Natumai zitafanyiwa kazi!
 
Hongera sana kwa uzalendo mkuu, Nakuabaliana na The Boss kuwa peleka hizo picha central ili zifanyiwe kazi.

Hao security bure kabisaaaa
 
Last edited by a moderator:
nchi hii ya ajabu sana usishangae ukatafutwa na kufunguliwa mashtaka ya kutumia vibaya kamera ya cm yako na kumdhalilisha muwekezaji, sipati picha Kova akitoa maelezo ya makosa yako.
 
Back
Top Bottom