Nilichofanya leo Mlimani City

Nilichofanya leo Mlimani City

Sio Polisi ni security wa Mlimani city,ningeenda Polisi nisingefanikiwa kumfuatilia!

umepiga kazi nzuri, ningekuwa magufuri kesho tayari uko payroll ya tiss.

ungeongeza juhudi kidogo na kufuatilia amekuja kwa usafiri gani ikiwezekana ukachukua na reg no zake. then tukawapa gateway wana usalama kufuatilia kwa karibu.

mpaka hapo much respect
 
umefanya la maana hao inawezekana wanapanga.mbinu kama za nairobi NAKUMAT MALL

Hii ya Nakumat sijaisikia.

Mimi naijuwa ile maarufu ya west gate mall Nairobi.

Niliifatilia sana lakini sijaona mwenye ndevu na kanzu akishikwa.
 
monaco hongera kwa moyo huo, nimesoma hii thread nikaogopa ghafla na kusikitika hao askari walivyo bure kabisa! Yani hawakuwa hata na second thought! Nachefuka kabisa nikiwafikiria :nono:
 
Last edited by a moderator:
Hivi mnavidharau vyombo vyetu vya usalama?

Au mkiona ndevu tu mnajichatolia?

Hii inanikumbusha kisa cha Singh (singa singa) aliyeuliwa kwa ndevu zake tu baada ya Sept 11. Cha kushangaza katika picha zote zilizotolewa na intelijensia ya USA wale waliodhaniwa kuwa ndiyo wamezipiga zile nyumba za New York hakuna hata mmoja mwenye ndevu na kanzu fupi wala ndefu.

Wasiwasi wako ndiyo maradhi yako.

Hukufanya vibaya kwa kuwa na mawazo ya kizalendo na kujikinga, siku nyingine usitazame wenye ndevu tu na kanzu, wabaya hawana alama.
 
Hii ya Nakumat sijaisikia.

Mimi naijuwa ile maarufu ya west gate mall Nairobi.

Niliifatilia sana lakini sijaona mwenye ndevu na kanzu akishikwa.

Westgate mall ndo kuna nakumatt kubwa zaidi nairobi ndo maana myoa comment karefer km nakumatt
 
Sio Uislam Mkuu,soma Tena nilichoandika,kilochonisukuma kumfuatilia ni zile sehemu alizokuwa anapiga Picha!
Kuipiga Picha security camera location ilipo Kwenye Ile varanda kwa Juu Ile ambayo chini yake watu hupumzika,na wengine hupishana wakitembea sasa kwa Juu kuna security camera jamaa alikuwa anapiga,
Pili,zile venting Au AC nafikiri kwa Juu Pia jamaa alikuwa anapiga Picha na alipoambiwa tuonyeshe camera yako zikakutwa na zingine Akiwa ndani shelf,Eti anataka acompere na game ya South Africa Hilo jibu Mimi halikuniridhisha Mkuu,Hapa Bongo utakinganisha vingapi na Europe Au sehemu nyingine vinavyofanana?etc.mwisho akaambiwa afute akafuta.
Jamani wewe hujiulizi tuu???
Be fair&humanity friend.
Umefanya vizur sana kaka ila ungemftilia Zaidi,hizo picha kazidelete ziko kule kwa trash atazirudisha tuu..mngechukua details zake pia.
 
Mungu akubariki sana japo hukupata suport toka kwa wale askari kwani kilichotakiwa pale siyo kufuta bali nikuchukua ile memory card na kuiharibu kufuta mmefuta lakini picha zipo akiingiza hiyo chip kwenye computer itakuwa mmefanya kazi ya bure picha bado anazo zote hakuna mlichofanya ila wewe umepiga hatua kubwa hongera sana Taifa linahitaji watu kama wewe kwani usipo jali wewe nani atajali matokeo tunakufa wote kama ni kulinganisha duka kwa nini amepiga picha security camera?
 
Sio Uislam Mkuu,soma Tena nilichoandika,kilochonisukuma kumfuatilia ni zile sehemu alizokuwa anapiga Picha!
Kuipiga Picha security camera location ilipo Kwenye Ile varanda kwa Juu Ile ambayo chini yake watu hupumzika,na wengine hupishana wakitembea sasa kwa Juu kuna security camera jamaa alikuwa anapiga,
Pili,zile venting Au AC nafikiri kwa Juu Pia jamaa alikuwa anapiga Picha na alipoambiwa tuonyeshe camera yako zikakutwa na zingine Akiwa ndani shelf,Eti anataka acompere na game ya South Africa Hilo jibu Mimi halikuniridhisha Mkuu,Hapa Bongo utakinganisha vingapi na Europe Au sehemu nyingine vinavyofanana?etc.mwisho akaambiwa afute akafuta.
Jamani wewe hujiulizi tuu???
Be fair&humanity friend.


Nenda polisi central wapelekee hizi picha
watamtafuta na kumchunguza
 
Hongera mkuu. Usalama unakufaa sana. Think about it km kazi yako ya pili.
 
Polisi jamii ndio hii" ukitilia shaka kitu ni vzr kukifatilia huwez jua litalotokea hongera mkuu.
 
Westgate mall ndo kuna nakumatt kubwa zaidi nairobi ndo maana myoa comment karefer km nakumatt

Itakuwa Nakumat supermarket lakini (shopping) mall itakuwa ni west gate - kumbuka hilo.
 
Unafikiri angekuwa na Nia ovu ange ji expose hivyo?, lala usingizi wenye kazi zao walishamuona kabla yako.
 
Angeligundua na wewe unampiga picha na yeye pia angekutilia mashaka kama ulivyofanya kwake.
Ngoma ingeenda droo.
 
Back
Top Bottom