😃😂😂😂Wengine tupo mbali na hicho kituo ilipopigwa flilimbi. Ebu ingia hapo kituoni uwaeleze hii habari halafu utupe majibu badala ya kutuuliza ambao hatupo hapo.
Hata ukifundishwa/kukumbushwa ulichofundishwa shuleni kuna uhakika gani kwamba hautasahau tena?Habari za jioni wakuu!
Niko polisi hapa kituo ambacho kipo karibu na soko! Imepigwa filimbi na watu wote wamesimama mpaka jamaa kamaliza kushusha bendera akapiga tena filimbi ndiyo watu wakaendelea na mishe!
Hivi huu si utumwa?
Maana yake nini kwa kizazi cha leo?
Mimi yote hayo yakiendelea nilikuwa nimekaa tu naperuzi!
Naweza kushtakiwa kwa kosa gani?
Nauliza maana nahitaji kujifunza zaidi, nikiwa shule ya msingi tuliwahi kufundishwa hili ila nimesahau maana yake!
ameuliza asiposimama atashtakiwa kwa kosa gani? badala ya kumjibu unaleta ngonjera.. hii nchi ina watu wa hovyo sananina kuuliza maswali matatu...
swali la kwanza, nini maana ya uzalendo?
swali la pili kati ya marekani ni tanzania unaipenda nchi gani?
Swali tatu, Ukiambiwa uishi tanzania na marekani utachagua nchi gani?
Nabashiri majibu yako.
1. sijui
2. marekani
3.marekani
kama majibu yako ni hivyo, basi ndio maana umefungua uzi wa kipuuzi namna hii ewe mtanzania usieheshimu nchi yako.
ukifanya hivyo jeshini lazima uchezee jandoMimi zikipigwa hizo filimbi napiga mishe as usual
ngonjera tu unaimba.. upigwe eti hujasimama bendera inatolewa juu mti?Kuna siku isio na jina utajichanganya TU Ndio utajua ni HARAMU au HALALI
UTII wa bendera ya nchi na wimbo wa Taifa unafundishwa kuanzia shule ya Msingi sasa sijui mwenzetu umesomea Kenya au ulaya
Na kuhusu vifungu usijali utatafutiwa pale ambapo taya ya juu na chini vikiwa havina uhusiano mdomo wa juu upo kulia wa chini upo kushoto
Uje ujichanganye Ndio utajua inatolewa juu ya mti au mlimangonjera tu unaimba.. upigwe eti hujasimama bendera inatolewa juu mti?
Hatashitakiwa atapewa matunda akale ili awe anaona vyema na kusikia.ngonjera tu unaimba.. upigwe eti hujasimama bendera inatolewa juu mti?
Tuondolee bangi zako hapaHapana mkuu yanga kwa Sasa ni timu Bora...mamelod atakaa