Niko polisi imepigwa filimbi ya kushusha bendera watu wote wakasimama! Hii maana yake nini?

Wewe utakuwa sio mtanzania halisi, swala hilo tumefundishwa na kulizoea toka tupo shule za kayamba
 
Wewe utakuwa sio mtanzania halisi, swala hilo tumefundishwa na kulizoea toka tupo shule za kayamba
Hata mimi nimefundishwa shule ya msingi na kulikuwa na bendera na huo utaratibu ulikuwepo!

Sasa
 
Ni muhimu kuheshimu alama ya Taifa lako. Kuna siku utakuja kuvunjwa miguu ndo tutajua utashtakiwa kwa kosa gani.

Nenda kambi ya Jeshi alafu ipigwe filimbi ya kushusha/kupandisha Bendera ya Taifa alafu wewe Endelea na mishe zako.
 
hizo ndio asante pekee unaweza kumpa mama Tanzania.kumheshimu na kumuenzi.

Usiwe kama ccm waliogoma kuieheshimu katiba,onyesha kwamba utaiheshimh ktk mambo madogo na hata makubwa kabisa.
 
Habari za jioni wakuu!

Niko polisi hapa kituo ambacho kipo karibu na soko! Imepigwa filimbi na watu wote wamesimama mpaka jamaa kamaliza kushusha bendera akapiga tena filimbi ndiyo watu wakaendelea na mishe!

Hivi huu si utumwa?

Maana yake nini kwa kizazi cha leo?

Mimi yote hayo yakiendelea nilikuwa nimekaa tu naperuzi!

Naweza kushtakiwa kwa kosa gani?

Nauliza maana nahitaji kujifunza zaidi, nikiwa shule ya msingi tuliwahi kufundishwa hili ila nimesahau maana yake!
Hata ukifundishwa/kukumbushwa ulichofundishwa shuleni kuna uhakika gani kwamba hautasahau tena?
 
nina kuuliza maswali matatu...
swali la kwanza, nini maana ya uzalendo?
swali la pili kati ya marekani ni tanzania unaipenda nchi gani?
Swali tatu, Ukiambiwa uishi tanzania na marekani utachagua nchi gani?
Nabashiri majibu yako.
1. sijui
2. marekani
3.marekani
kama majibu yako ni hivyo, basi ndio maana umefungua uzi wa kipuuzi namna hii ewe mtanzania usieheshimu nchi yako.
ameuliza asiposimama atashtakiwa kwa kosa gani? badala ya kumjibu unaleta ngonjera.. hii nchi ina watu wa hovyo sana
 
Kuna siku isio na jina utajichanganya TU Ndio utajua ni HARAMU au HALALI

UTII wa bendera ya nchi na wimbo wa Taifa unafundishwa kuanzia shule ya Msingi sasa sijui mwenzetu umesomea Kenya au ulaya

Na kuhusu vifungu usijali utatafutiwa pale ambapo taya ya juu na chini vikiwa havina uhusiano mdomo wa juu upo kulia wa chini upo kushoto
ngonjera tu unaimba.. upigwe eti hujasimama bendera inatolewa juu mti?
 
Back
Top Bottom