mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,053
- 4,825
Connection IFMHawa watoto wa shule bhana! View attachment 1577845
Connection IFMHawa watoto wa shule bhana! View attachment 1577845
Aisee we jamaa kuwa serious,Habari wapendwa natumai wote mko poa kiafya.
Na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa naenda straight to the point mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu "X" hapa mkoani Dodoma naingia mwaka wa tatu, nilibahatika kumpata mwenza wa First Year wa chuo fulani cha Mipango. Sasa tumedumu takriban miezi sita majuzi ananiambia amepima na anaujazito wangu.
Aisee nikicheki hata chuo bado sijamaliza kazi sina, nategemea tuhela twa boom (meal and allowance). Nimemwambia asitoe huo ujauzito maana ni dhambi kubwa hata sijui nifanyaje mwenzenu majukumu hayo. Nikiwaambia wazee ndo nitakosa msaada kabisa yaani najuta kumwagia ndani..niko njia panda mpaka nahisi dunia imefika mwisho kwangu..
Ushauri kwa vijana wenzangu msimwagie ndani.
Amechanganyikiwakwaiyo wewe unatoa ushauri au wewe unataka ushauri???? utakuwa UDOM wewe
Ndio niko frustratedAmechanganyikiwa
Huna haja kuogopa, mtulize mwenzio, mtoto ni baraka maisha yataenda tu, leeni mimba na mkiikubali Mungu atawateteaNdio niko frustrated
UbarikiweHuna haja kuogopa, mtulize mwenzio, mtoto ni baraka maisha yataenda tu, leeni mimba na mkiikubali Mungu atawatetea
Usithubutu kusononrka unakosea, mpende sana mkeo kipindi hiki naye atakufurahia, mkiruhusu majuto mnaharibia mtoto atakuja zaluwa mtu asiye na furaha.Ubarikiwe
Haki malezi.huggies 30,000 week 1
Ukunga 150,000 gharama za bima bila bima 750,000
Cerelac 30,000
Maziwa 30,000 mwezi
Set ya nguo,bebishow, mabeseni, chupa za maziwa andaa 500,000
Usafiri 50,000
Vingine wataongezea wadau.Tafakari chukua hatua!
C umesema dhambi,Mhhh mbona hatari na nusu wazee...bora aitoe tuu
Nataka aje kuwa somebody in this nationUsithubutu kusononrka unakosea, mpende sana mkeo kipindi hiki naye atakufurahia, mkiruhusu majuto mnaharibia mtoto atakuja zaluwa mtu asiye na furaha.
SawaaaaaC umesema dhambi,
Tamaaa huzaaa dhambi,na dhambi huzaaa mauti..kwasabab ya tamaaa zako unataka kuleta umauti.
Kitanda hakuzai haramu.. Wewe umefika mpk chuo unaogopa kisa umempa mimba,na sisi tuliozaa wapa. Mimba tukiwa form II,Tufanyeje...?
Acha utoto,nenda kapime ultrasound ujue INA miez mingap... Na upige hesab kama mwez huo mlikutana,kama kweli Jibane na boom...uleee mimba,
#alaf akili itakuwa uache kuogopa kulea uhai na kuona raha kuua# Kama ulimsikiliza umwagie ndani,basi msikilize ULEEEE#
Ya kwenda mipango ninja😂Njia panda ya wapi mkuu upo?
Ya kwenda mipango ninja
Next time tumieni Kinga hii kujidaganya eti unawahi kuzaa mapema sijui usilee uzeeni ni kujidaganya tu maisha sikuhizi yamechange everything is expensive tofauti na zamani tukiwa tunakua maisha yalikuwa simple tu ukienda hata shule za kawaida elimu nzuri, sikuhizi tu chekechea milion, bado mtoto kuumwa Mara nyingi hzo gharama, wewe mwenyewe utakuwa fresh graduate sikuhizi no jobs ka sikujitesa na kumtesa huyo mtoto ni kitu gani.