Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,020
- 2,603
- Thread starter
- #41
Thanks mkuuDogo acha uboya,yaani umwage ndani af uje kuomba ushaur hapa Na mwisho utushauri.
Thanks mkuuDogo acha uboya,yaani umwage ndani af uje kuomba ushaur hapa Na mwisho utushauri.
Mbona mnanitisha sasa wakuu!!!Maziwa ya 30000 hayakai hata week
DaaaaaHawa watoto wa shule bhana!View attachment 1577845
Next time tumieni Kinga hii kujidaganya eti unawahi kuzaa mapema sijui usilee uzeeni ni kujidaganya tu maisha sikuhizi yamechange everything is expensive tofauti na zamani tukiwa tunakua maisha yalikuwa simple tu ukienda hata shule za kawaida elimu nzuri, sikuhizi tu chekechea milion, bado mtoto kuumwa Mara nyingi hzo gharama, wewe mwenyewe utakuwa fresh graduate sikuhizi no jobs ka sikujitesa na kumtesa huyo mtoto ni kitu gani.Mbona mnanitisha sasa wakuu!!!
Njia panda ya wapi mkuu upo?
Kwa hiyo atoe????Next time tumieni Kinga hii kujidaganya eti unawahi kuzaa mapema sijui usilee uzeeni ni kujidaganya tu maisha sikuhizi yamechange everything is expensive tofauti na zamani tukiwa tunakua maisha yalikuwa simple tu ukienda hata shule za kawaida elimu nzuri, sikuhizi tu chekechea milion, bado mtoto kuumwa Mara nyingi hzo gharama, wewe mwenyewe utakuwa fresh graduate sikuhizi no jobs ka sikujitesa na kumtesa huyo mtoto ni kitu gani.
Daa kweli kinga manzi hataki aisee this time around bora nipige puli kama hatakiNext time tumieni Kinga hii kujidaganya eti unawahi kuzaa mapema sijui usilee uzeeni ni kujidaganya tu maisha sikuhizi yamechange everything is expensive tofauti na zamani tukiwa tunakua maisha yalikuwa simple tu ukienda hata shule za kawaida elimu nzuri, sikuhizi tu chekechea milion, bado mtoto kuumwa Mara nyingi hzo gharama, wewe mwenyewe utakuwa fresh graduate sikuhizi no jobs ka sikujitesa na kumtesa huyo mtoto ni kitu gani.
Aisee ila dhambiKwa hiyo atoe????
Asipotaka ni kuleta umaskini kwenu na maisha yalivo tightDaa kweli kinga manzi hataki aisee this time around bora nipige puli kama hataki
Kashafanya mistake next time awe makini akijidaganya kumtumia mifano ya wahenga eti zaa mapema blah blah atakuja kutesa kizazi chake kwa umaskini tuKwa hiyo atoe????
Habari wapendwa natumai wote mko poa kiafya.
Na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa naenda straight to the point mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu "X" hapa mkoani Dodoma naingia mwaka wa tatu,nilibahatika kumpata mwenza wa first year wa chuo fulani cha mipango.Sasa tumedumu takribani miezi sita majuzi ananiambia amepima na anaujazito wangu.
Aisee nikicheki hata chuo bado sijamaliza kazi sina,nategemea tuhela twa boom(meal and allowance).Nimemwambia asitoe huo ujauzito maana ni dhambi kubwa hata sijui nifanyaje mwenzenu majukumu hayo. Nikiwaambia wazee ndo nitakosa msaada kabisa yaani najuta kumwagia ndani..niko njia panda mpaka nahisi dunia imefika mwisho kwangu..
Ushauri kwa vijana wenzangu msimwagie ndani.
Mkuu sawa,Peleka ujinga wako huko
Wakati unaenda kuto....mbn. ulituambia
Pambana na hali yako mzee
Hivi hii tabia ya wanafunzi kufanya ngono mtaacha lini?
Mhhh kutoa nayo inataka moyoKashafanya mistake next time awe makini akijidaganya kumtumia mifano ya wahenga eti zaa mapema blah blah atakuja kutesa kizazi chake kwa umaskini tu
Ndio uzae sasa Ila mkiendelea hivo kuzaa bila plan mtatesa tu watotoMhhh kutoa nayo inataka moyo
Peleka ujinga wako huko
Wakati unaenda kuto....mbn. ulituambia
Pambana na hali yako mzee
Hivi hii tabia ya wanafunzi kufanya ngono mtaacha lini?
Mi nakupa ushauri wa jina la mtoto atakaezaliwa,mwite Degree Kalovha!! Hilo ndiyo Bonge la kumbukumbu lako hilo litakua!!Habari wapendwa natumai wote mko poa kiafya.
Na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa naenda straight to the point mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu "X" hapa mkoani Dodoma naingia mwaka wa tatu,nilibahatika kumpata mwenza wa first year wa chuo fulani cha mipango.Sasa tumedumu takribani miezi sita majuzi ananiambia amepima na anaujazito wangu.
Aisee nikicheki hata chuo bado sijamaliza kazi sina,nategemea tuhela twa boom(meal and allowance).Nimemwambia asitoe huo ujauzito maana ni dhambi kubwa hata sijui nifanyaje mwenzenu majukumu hayo. Nikiwaambia wazee ndo nitakosa msaada kabisa yaani najuta kumwagia ndani..niko njia panda mpaka nahisi dunia imefika mwisho kwangu..
Ushauri kwa vijana wenzangu msimwagie ndani.
Ukimwaga nje mishipa lazima ikuume sana!!Nikiwa mkubwa sitomwaga ndani