shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,441
- 3,613
sio livig things wote wapo in pair kuna viumbe wana asexual reproduction ngojannipitie notisi zangu vizuriall living things wapo in pairs niambie kimoja kisichoumbwa ina pair
sio livig things wote wapo in pair kuna viumbe wana asexual reproduction ngojannipitie notisi zangu vizuriall living things wapo in pairs niambie kimoja kisichoumbwa ina pair
uliniona nikizini jamani?Miss Natafuta naona kama unampa Mungu ultmatum kuwa asipokupa mume utaendelea kuzini, kama kweli unaamini Mungu kakupangia mume badili mwenendo wako.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Usiseme ukiwa malaya..!
Mbona post zako huwa zinaonesha tu kuwa wewe ni malaya!
soma vizuri thread yako umesema hata ukizini na mwanume huwa unalia na kwa ajiri ya dhambi hiyo.uliniona nikizini jamani?
zamani sio sasasoma vizuri thread yako umesema hata ukizini na mwanume huwa unalia na kwa ajiri ya dhambi hiyo.
sawazamani sio sasa
Kweli mkuuNa mimi nilipoiona post yako nilijua lazima utakuwa una njaa tu!
Baadhi ya amri na sheria zimetungwa na binadamu ili kutunza maadili ktk jamii na kusudi zikubalike zakatwa za Mungu. Me katika amri zote ni zinaa tu ininayokushinda?Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Katika amri za Mwenyenzi Mungu amekataza ni kuzini ila kiafya ,kimwili binadamu anakuwa na matamanio, mojawapo ni kusex ukisema usex dhambi ya kuzini ipo pale so ili usizini inabidi uwe na ndoa.
Mimi Mungu hajanipa ndoa halafu mwili unatamani nikiwa malaya nikazini ovyo Mungu atanihukumu kweli? yeye si ndio hajanipa mume? hamna kitu huwa kinaniuma kama kusex, moyo huwa unauma kweli naweza kuwa kwenye tendo naanza kulia mtu atadhani ananipagawisha kumbe nalilia hyo dhambi .
Nashindwa hata kuwa na mpenzi maana atasema tuzini na mimi siwezi .Nimebaki tu nalia na Mungu
O GOD
YOU HAVE MADE EVERY LIVING THING IN PAIRS
THE SINCERE, BEAUTIFUL AND PIOUS PAIR THAT YOU HAVE CREATED FOR ME, PLEASE GIVE IT TO ME .THANK YOU.
samahani kumbe sio wewe kuna mtu mnafanana avatar alinipa nambaHiki ndicho ulichotaka kusema.
Kuna tofauti kati ya kuomba Mungu,kulalamika na kulaumu.Hapo Mungu hana lawama.Utakapoanza kumuomba kwa moyo mkunjufu atakujibu.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Katika amri za Mwenyenzi Mungu amekataza ni kuzini ila kiafya ,kimwili binadamu anakuwa na matamanio, mojawapo ni kusex ukisema usex dhambi ya kuzini ipo pale so ili usizini inabidi uwe na ndoa.
Mimi Mungu hajanipa ndoa halafu mwili unatamani nikiwa malaya nikazini ovyo Mungu atanihukumu kweli? yeye si ndio hajanipa mume? hamna kitu huwa kinaniuma kama kusex, moyo huwa unauma kweli naweza kuwa kwenye tendo naanza kulia mtu atadhani ananipagawisha kumbe nalilia hyo dhambi .
Nashindwa hata kuwa na mpenzi maana atasema tuzini na mimi siwezi .Nimebaki tu nalia na Mungu
O GOD
YOU HAVE MADE EVERY LIVING THING IN PAIRS
THE SINCERE, BEAUTIFUL AND PIOUS PAIR THAT YOU HAVE CREATED FOR ME, PLEASE GIVE IT TO ME .THANK YOU.
Mungu akupatie hitaji la moyo wako.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
O GOD
YOU HAVE MADE EVERY LIVING THING IN PAIRS
THE SINCERE, BEAUTIFUL AND PIOUS PAIR THAT YOU HAVE CREATED FOR ME, PLEASE GIVE IT TO ME .THANK YOU.
Kuna thread moja mleta uzi alipendekeza ukienda pm mambo ya hi au mambo yeye hayataki.
Akasema ukifika uanze na 'hi mimi ni xxx manager wa xxxx tukutane hotel kwa ajili ya lunch naomba namba yako nikutumie nauli na hela ya usumbufu'
Ni-DM hata mie natafuta mwenza.hadi lini karucee atanipa wanakuja wa kuzini tu
Kama umejua sio mimi kulikuwa na haja gani kuandika hio reply? Siungenyamaza tu.samahani kumbe sio wewe kuna mtu mnafanana avatar alinipa namba