Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,641
Pole...mkuuu naamini yupo wa aina yako anakungoja...usichoke kumuomba Mungu...muda ukifika nawewe utayafaidi mahusiano ya kindoa
Hacha kumshauri ujinga mkuu....yeye kashasema kusex kwake ni Afya ww unamwambia mtu ambaye ashasex hasisex....na huyo mungu aliyemuandalia atampataje kama atasex nae?....hakuna anaye nunua gari bila kutest kama linawaka