Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,053
ataondoaje na ameweka hali hyo hat akwa wanyama ila wajaamiane?
Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.
kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.
ataondoaje na ameweka hali hyo hat akwa wanyama ila wajaamiane?
Mhh unaendaga kanisani kweli wewe umepitia mafundisho kweli wewe una hofu ya Mungu kweli wewe huwa unatafakati kabla ya kutenda kweli wewe hakika unahitaji tobaataondoaje na ameweka hali hyo hat akwa wanyama ila wajaamiane?
kumwambia Mungu ukweli ni kumkufuru?
Nishakuona umeamua kujitoa ufahamu lakini nashukuru mikono yangu kuwa meupe maana hata siku ya hukumu nitaulizwa kunamzinifu alitaka msaada ulimsaidiaje nitakuwa na cha kujitetea nikiona umekuwa mzigo nakufunga kamba shingoni nakutosa baharinikwaiyo nikiwa na nyege nifanyeje?
usiishi kwa kukariri my dear ishi in reality!Kama wew ni mkristo utajua kuhsu roho mtakatfu hakuna binadam mwenye uwezo wa kuishnda dhambi ndo maana tunaambiwa tuokoke na kujazwa roho mtakatfu yeye anatusaidia kuishnda dhambi kama hyo ya uzinifu
mkuu nakuheshimu .acha unafiki !Nishakuona umeamua kujitoa ufahamu lakini nashukuru mikono yangu kuwa meupe maana hata siku ya hukumu nitaulizwa kunamzinifu alitaka msaada ulimsaidiaje nitakuwa na cha kujitetea nikiona umekuwa mzigo nakufunga kamba shingoni nakutosa baharini
Amini hivyo Miss Natafuta hata mimi nakueshimu na ndio maana nikakupa ushauri kwa kuona ndugu yangu huko uendako siko sasa wewe kuna wenye upeo hapa wamekupatia mpaka na mistari hutaki kuelewa unang'ang'ania sehemu moja tu nyege kwani umeambiwa sisi hatuna ?mkuu nakuheshimu .acha unafiki !
Utamwbiaje Mungu kuwa amekunyima wa kukuoa? Kwani hakuna alieleta pendekezo hilo au umejiweka katika hali ambayo ina repel wanaume from you?kumwambia Mungu ukweli ni kumkufuru?
Ukiwa nazo PM me tuta sort the way outkwaiyo nikiwa na nyege nifanyeje?
Mmmhh na yule unaemlipia ada mwanae exim ni nan?? Komalia ndoa, uzinzi sio mpangoMsema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Katika amri za Mwenyenzi Mungu amekataza ni kuzini ila kiafya ,kimwili binadamu anakuwa na matamanio, mojawapo ni kusex ukisema usex dhambi ya kuzini ipo pale so ili usizini inabidi uwe na ndoa.
Mimi Mungu hajanipa ndoa halafu mwili unatamani nikiwa malaya nikazini ovyo Mungu atanihukumu kweli? yeye si ndio hajanipa mume? hamna kitu huwa kinaniuma kama kusex, moyo huwa unauma kweli naweza kuwa kwenye tendo naanza kulia mtu atadhani ananipagawisha kumbe nalilia hyo dhambi .
Nashindwa hata kuwa na mpenzi maana atasema tuzini na mimi siwezi .Nimebaki tu nalia na Mungu
O GOD
YOU HAVE MADE EVERY LIVING THING IN PAIRS
THE SINCERE, BEAUTIFUL AND PIOUS PAIR THAT YOU HAVE CREATED FOR ME, PLEASE GIVE IT TO ME .THANK YOU.
Ataubeba vipi ilhali ushambebesha mchepuko??nimemtwika mbona haubebi? ataubeba lini?
Heee kumbe unamjua seriouslyMmmhh na yule unaemlipia ada mwanae exim ni nan?? Komalia ndoa, uzinzi sio mpango
Neema ya Mungu itakuwezesha.
Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
View attachment 466726
We dada umeomba ushaur wa nin sasa coz kila anaekushaur unapngana nae cjui kama wew ni mzma kweliusiishi kwa kukariri my dear ishi in reality!
Hivi huko Babati mvua zimeanza kunyesha?Dishi linashida
Hakuna mvua mkuu, tuleteeni chakula.Hivi huko Babati mvua zimeanza kunyesha?
Kalime mkuu..! Serikali haina mashamba..